Mke wangu hapendi kuongozana na mimi barabarani

Dah pole sana. Kwangu mimi haikuwa mke ila rafiki wa kike. Yani tukiwa kwenye kundi la marafiki au watu tumetoka nao... atanikumbati... kudeka... kunipiga mabusu.. mara aniambie nimkiss... mara nimshike kiuno... mimi nilikuwa sipendi kwa sababu nina aibu sana... kweli watu hutofautiana..
 
Mumeo utakua nae proud hadharani hata akivaa kama Koffi Olomide?
au utamtanguliza kiaina....hahaaa..

kweli labda anaandaliwa kuachwa
Ha ha ha ha kuvaa kama koffi olomide si mchezo....lkn kama tatizo na uvaaji huyo mwanamke angemwambia mume wake kua napenda uwe unavaa hv,tena ana mnunulia mwenyewe.ndivyo wanavyofanya wanawake wenzake kumbadilisha mtu mtindo wa mavazi lkn sio Ku mkwepa...huyo mwanamke Hana mapenzi na jamaa.
 
Pole sana kaka angu,
Nimeumizwa na maneno yako coz I think I feel what you feel,

Kiufupi mkeo hakupendi na anahisi hamuendani, yani ameku shusha thamani yani hata mkiwa na watu wengine anahisi unamtia aibu muda wote,

Kuzaa nae si shida, yupo na ww afanyaje tu ila anajua safari yake bado yaendelea, ana matumaini iko siku atakutana na mtu wa size yake,

Wewe sio mbaya wala sio mzuri ila kwake anakuona unakasoro flani,
Huenda ni mfupi hlf yy mrefu au wote ni wafupi so anahic km hampendezi,
Huenda ni mweusi sana hlf yy ana rangi au nyote ni weusi so anahic km hampendezi,
Huenda mnene sana una likitambi akiongozana na ww ana hic kero,

Ila kabla hujawaza kutafuta mwngn,
Kaa nae chini mzungumze kwa upole, huenda ana kitu atakwambia.

Pole sana.
 
huyo mke kiboko hata kuongea anakuminya mkono dah we siku nyingine akikuminya na wewe mminye then endelea kuchangia mada iliyopo dawa yake tafuta bodyguard wakike uwe unatembea nae around kwa mitoko yote aone wivu labda atajirekebisha
 
Reactions: nao


Hahahahahaha
 
Fanya utoke outing na Mdogo wake inapotokea ila ndo usimtongoze sasa shemejio akikuuliza why unatoka na Mdogo wake! mwambie mdogo wake yuko comfortable na wewe mtakapo akilalamika zaidi mpe white&black sasa ila kwakuanzia anzisha huu utaratibu wakutoka na shemejio na usimwache mkeo kisa kutoka wote atachange taratibu tu.
 
dah hili lako linahitaji ushauri wa hali ya juu... Nakuahidi nitarudi hapa na Ushauri ambao kiasi flani utakusaidia
 

Mkuu ukiona manyonya.....?
 
Mkuu pole sana ila nigependa kujua Hugo mke ni kabira gani??? Hapo ntakupa jibu sahihi
 

Inawezekani ni tabia yake tu. Kuna wanaume wanatamani wangekuwa kwenye viatu vyako hamna masuala ya kugandana barabarani, hamna kubebana kwa nguvu kuonana na marafiki zake ambayo stori zao hata hazivutii. Japo kwa kweli mnabidii once in a while muonekane pamoja no matter what.
 
Utamponza mtoa mada wewe! Yani katikati ya raha tena aanze maswali eti "kwanini Jumamosi iliyopita hatukuongozana kwenda arusini"
Hahaaaaaaa, kwanza atasahau swali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…