Wazo Langu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 1,381
- 842
changia point basiChangia maada! majibu yangu yalikuwa kwa mtoa mada na malafyale.Maswala ya kubomoa benki sijaongelea mimi.
nachangia point ya mtoa mada.sio.anayeanzisha mada ndani ya Mada.changia point basi
u
upoo?
hahahaha,,mkuu akifanya yake huyu jamaa watamzika siku si zake..anaonesha anamapenz mazito asekaka hiyo ndoa unaonekana wewe ndo umeilazimisha inabidi uanze kuwa ngangari inaonekana unampenda kuzidi anavyokupenda
anakuone wewe sio type yake na bila shaka mpka sasa yeye anatype yake anagegedwa mdogomdogo
saasa cha kufanya naomba umpotezee kabisa ukifika nyumbani fanya mambo yako. mkitaka kutoka toka wewe fanya kila kitu mwenyewe
we umenisusa
Hahahaha.... Jamani ukininunia si ntakonda mie mr agome kuongozana na mimi lol..... yaan mekumiss mpk naumwa khaaaa! Mbuzi, kichane vyote umepata, sema kingine na roho yangu itapona
Nikiwa kama mwanaume mwenye mke, dada na kuelewa Kwa kituo michango yako.Kuna mambo ni lazima umsikilize mkeo. Mke akikuambia usivae hilo shati limepauka kola, ukabisha. Unajitaftia majanga bila sababu. Akikukimbia usilalame
Nikiwa kama mwanaume mwenye mke, dada na kuelewa Kwa kituo michango yako.
Kwa lugha iliyo nyepesi naikubali michango yako kwenye mada hii.
Kuna uwezekano haujatueleza ukweli kuhusu tabia yako pia. Mara nyingi Wake wenye tabia Kama ya mkeo inatokana na wanaume kuwa Malaya kupita kiasi ndio maana inapelekea Mke kuona aibu na kujisikia unyonge katika jamii haswa mkiwa mmeongozana.
Kuna jirani yangu alikuwa ana tatizo Kama hilo, lakini yeye alikuwa anatafuna mpaka madada wanaouza Bar mtaani na wadada wa kazi wa majirani zake na MKE wake alikuwa anatambua hilo. Sasa niambie hapo mke atakuwa na hamu kweli ya kuonekana nae mtaani au kwenye jamii!!?? Kuna muda huwa hatuwatendei Haki wake zetu.
Marahabaaa sista.Shkamoo blaza.
Shkamoo tena!