cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Naweee ππΌππΌππΌHao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini
Ni wa 1995 msomi kiasi hajawahi kuishi nje ya mjini hajui kuendesha gari japo analo ni mvivuPole sana kaka, kwanza ana umri gan? Pia anajishughulisha na Nini? Hilo suala linaboa sana umenikumbusha kipind flan tulienda Kwa in-law wetu chai ni sa5,6 na hajistukii, ndo lifestyle ndo mana cpend kufikia Kwa mtu labda iwe haiepukik lodg zmejaa
Tunakula restaurant mimi nikiwa na muwa wangu si ndio?Sihitaji kujua. Tunakula restaurant.
Basi vumiliaNilisha fanya hivo mara kadhaa inaishia kunisifia jinsi navo jua kupika chakula kitamu tu, ila hajifunzi chochote ukumuachia
Kakupiga spana wa mjini umechukia hujui kupika?Naweee ππΌππΌππΌ
Usiongelee wanawake wote wa mjini
Wengine tulifunzwa vizuri tu makwetu tangu udogoni.. Na faida tunajivunia sanaaaaaa
Ongelea wako na wenzake wa tabia hizo
Wewe unaweza kula ugali km kapikiwa mbwa?Basi vumilia
KabisaKula milo mitatu kwa siku ni hatari kwa afyaView attachment 3199570
Kosa la 11Ni wa 1995 msomi kiasi hajawahi kuishi nje ya mjini hajui kuendesha gari japo analo ni mvivu
Mkuu una watoto? Km unao wangapi mpaka sasa hivi? Wadudu wa unga unawajua?Kabisa
Hii inawezekanaje ufunge ndoa na mtu usiyejua tabia yake mmmh [emoji848]Ndiyo wa ndoa tulikua hatujawahi kuishi pamoja hata siku moja tulikua tunakutana mchana tu, ilikua sio rajisi kugundua udhaifu wake huo.
Songa wewe uonyeshe mfanoWewe unaweza kula ugali km kapikiwa mbwa?
Yaan mimi na kengele zangu nimesimamisha muwa nakusongea wewe ugali?Songa wewe uonyeshe mfano
Nilisha mpeleka sehemu akae na familia kubwa ajifunze mengi ila sikupata matokeo chanya mkuu, huyu ni kumvumilia tu sitegemee jipya hata kulima kwenye mazingira ya nyumbani hawezi mpaka tipate kibarua.Umepata mke mzuri anaehitaji marekebisho kidogo.
1:Ni dhahiri mke wako yupo hivyo kutokana na malezi yake aliyopewa na wazazi wake.
2: Mfundishe taratibu aina ya maisha unayotaka wewe na unaweza kumleta ndugu yako wewe wa kike aje amuelekeze au mpeleke chuoni akajifunze mapishi na usafi, japo hukuzungumzia swala la usafi hasa wa nyumba lakini hayo ni matatizo yanayoendana.
3: Naamini sio mvivu ila tatizo hajui namna ya kutenda analopasa kulitenda ndio maana unamuona anazungukazunguka tu.
Majibu yote ni ndio mkuu.Mkuu una watoto? Km unao wangapi mpaka sasa hivi? Wadudu wa unga unawajua?
Kashachanganyikiwa hapo ukimwambia tu hujui kupika msongo wa mawazo unapaa msongo mkali sanaNi wa ndoa ya kanisani? Kabla yakuishi alikuaje
Sasa km una watoto na wanawajua wadudu wa unga utaelewa kwanini jamaa anahimiza milo mitatu mimi nimemwelewaMajibu yote ni ndio mkuu.
Mzee mwenzangu upo serias au unataniaNdiyo wa ndoa tulikua hatujawahi kuishi pamoja hata siku moja tulikua tunakutana mchana tu, ilikua sio rajisi kugundua udhaifu wake huo.