Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

Lijitu linajituma sana big up kwake!hayo anayofanya na hilo lijitu ndiyo ulipaswa kufanya ..hata asingethubutu kumsogelea mkeo!chukua darasa hapo
 
Du, hiyo kali ila mm huyo ningemtimua siku hiyohiyo ninayomkuta na boxer,utashindaje na boxer n kifua wazi nyumbani kwa mwanaume mwenzako?.............ila una uvumilivu sanaaaaaaaaa bro
 
Hilo jitu liache upuuzi atakaaje na boksa tu tena kifua wazi mbele ya wife liwe na heshima.

Mkuu nachoshangaa kwanini humwambii na yuko kwenye milki yako!Au unaogopa kula nakoz joking!
 
MGENI ANAKARIBISHWA SIO KUFUKUZWA.KAMA ANA NIA MBAYA BASI NIA MBAYA NDIO ITAMKIMBIZA.
Time will tell
 
'Linamkuta wife jikon anasonga ugali linaomba limsaidie kusonga ugali' [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mgeni huyo balaa nuksi mikosi, wageni dizain hiyo ndo wale umeweka maji ya ugali yachemke unamkuta anaongeza maji[emoji1]
 
"..pia wife kaniuliza kama mimi pia naweza kufanya mazoezi nikawa kama hilo jitu badala ya kitambi... "

Usikute jamaa limeshakula mzigo. Omba likizo haraka.
 
Habari njema hilo 'jitu' lipo humu humu jF

Limeshapata ujumbe wako

Wa juu kabisa ku like hii comment ndio hilo 'jitu'
 

Unahuakika hapo kwako?? Mbona unalalamika ka ma na wewe ni mgeni hapo
 
You are jealous of your cuz.

He is there for your family when you are not.

He has a fit body.

Go work out and spend more time with your family
 
Kubwa jinga ww hata huoni kutuletea hii habari wanaume wenzako hapa?
 
Nami nimependa ulivyoandika kiutu uzima . That's great. [emoji106] [emoji106]

Cc Smart911
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…