miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
ukiona dalili kama za jitu la mleta mada kuwa makiniMwaga mauzoefu hayo ili tukipata ndugu wa aina hiyo tufahamu namna ya kudili nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiona dalili kama za jitu la mleta mada kuwa makiniMwaga mauzoefu hayo ili tukipata ndugu wa aina hiyo tufahamu namna ya kudili nao
Rudi nyumbani folenisha familia nzima sebuleni toa tangazo kuwa hutaki kuona sura ya mtu huyu then usiruhusu maswali sometimes maamuzi magumu ni muhimu
Atashtuka binamu kumbe kinyama cha hamu
kumbe ndio zenu wanawake mnaweza kuchezea dudukila ya mtu mmoja hata muwe wanneha hahahahaha kwanza hilo jitu lisipomgonga wife wako basi wengine wenye mwonekano wa hilo jitu watamla, fanya mazoezi ya kutafuta pesa kwa bidiii zaidi achana na likifua ila piga mazoezi kishikaji usipate magonjwa....
hilo lijitu liambie liache mazoea na wife hawa tunawaita wazee wa kutengeneza mazingira anaweza kuwagonga wote wa kike humo ndani kiutani utani tu kuwa makini... huwa hawatongozi yani ..
kama unaweza liambie hilo jitu lisepe tu mazoea hutaki jitu kubwa
Duuu kweli jf tunajuana kiana
Mwenzako raia na si mjeshi., Mmabo hayo atayajulia wapi
Ina saidia Sana. Kushtuka ni moja ya kumtia hofu adui yakoHsisaidii kama mke keshalizimikia ataliambia lipunguze mazoea wafanye kmya kmya maana mzee keshapata waswas.
hapana hatuwezi tukijua ila jamaa ataplay smart atagonga wotekumbe ndio zenu wanawake mnaweza kuchezea dudukila ya mtu mmoja hata muwe wanne
naomba niwe mgeni wako hapo kwako🙄hapana hatuwezi tukijua ila jamaa ataplay smart atagonga wote
njoo na milioni tatu kwa siku tatunaomba niwe mgeni wako hapo kwako🙄
Krb musoma, ule kichuri muraOyeeeeeee