Mke wangu kanipa wakati mgumu

Mke wangu kanipa wakati mgumu

Tupe majibu basi..afu father Acha kuhangaika na huyo ajuza,tafuta dogo dogo akutulize.
Nimemweka kikao usiku,
Ni utata mtupu,

Hii dunia mbaya sana , watu ni wabaya sana, usimwamini binadamu yeyote kwa familia yako.

Wapemba wapo vizuri kwa wake zao, ila sisi ni ngumu sana kuwa kama wapemba , na haiwezekani.

Tunatunza wanawake tu lakini sio mke,

Mke ni wa wote.
Amezidi kunichafua.

Nafikiria kuhama mji, hakuna cha kumilia hapa.

Sana sana unaweza tafuta murder case.
 
Nimemweka kikao usiku,
Ni utata mtupu,

Hii dunia mbaya sana , watu ni wabaya sana, usimwamini binadamu yeyote kwa familia yako.

Wapemba wapo vizuri kwa wake zao, ila sisi ni ngumu sana kuwa kama wapemba , na haiwezekani.

Tunatunza wanawake tu lakini sio mke,

Mke ni wa wote.
Amezidi kunichafua.

Nafikiria kuhama mji, hakuna cha kumilia hapa.

Sana sana unaweza tafuta murder case.
Ngoja nitulie kwanza , nitawajuza
 
Blaza pole sana, mapenzi bana yanasumbua/UMIZA, ukishahisi tuu kwisha.....amani na furaha yote ya 30yrs inakwisha....
hivi nini hasa kilikufanya ukagusa simu yake?....ni shetani anataka kuwavuruga na utu UZIMA wenu!!! na kwa maelezo ya hizo chatting, umeshastaafu ,,,, huna mradi wowote wa kujishughulisha, shamba/mifugo....
Nikukumbushe yule nyoka wa Bustani ya Edeni hajafa, kaa na mkeo umpendae, anza kumpenda upya.....anza kupiga hata kimoja daily......fanya mazoezi kula vizuri......utaniambia matokeo......ukiona amekaa sawa......na mvuto wa mahaba umerejea.....mpe hizo habari za udaku wote....na mkwara mzito.....hakuna majadiliano ktk hilo......
Pole kaka Mkubwa.
 
Nasikitika kukuambua mkeo ni lishangazi kwa kijana sehemu. Lakini mfumo wenu wa kuishi upoje, unawezakuta wewe ndo ukawa chanzo cha haya mkuu.
 
Nimemweka kikao usiku,
Ni utata mtupu,

Hii dunia mbaya sana , watu ni wabaya sana, usimwamini binadamu yeyote kwa familia yako.

Wapemba wapo vizuri kwa wake zao, ila sisi ni ngumu sana kuwa kama wapemba , na haiwezekani.

Tunatunza wanawake tu lakini sio mke,

Mke ni wa wote.
Amezidi kunichafua.

Nafikiria kuhama mji, hakuna cha kumilia hapa.

Sana sana unaweza tafuta murder case.
Pole aisee tuliza akili usifanye maamuzi kwa panic.
 
Watato wanne miaka ya ndoa 30 we unafikili hata akicheat anaelekea wapi hiyo ni MENOPAUSE tu inayomsumbua ndo maana kakata mzuka wa kubebishana na wewe
 
Nimemweka kikao usiku,
Ni utata mtupu,

Hii dunia mbaya sana , watu ni wabaya sana, usimwamini binadamu yeyote kwa familia yako.

Wapemba wapo vizuri kwa wake zao, ila sisi ni ngumu sana kuwa kama wapemba , na haiwezekani.

Tunatunza wanawake tu lakini sio mke,

Mke ni wa wote.
Amezidi kunichafua.

Nafikiria kuhama mji, hakuna cha kumilia hapa.

Sana sana unaweza tafuta murder case.
Pole
 
Mkuu embu nenda kapime DNA watoto kama unao,
Unaweza kuta unalea watoto ambao sio wako
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia yake kwangu aliyonionesha kwa miaka hiyo tuliyoishi, niliona si kawaida.

Mbaya zaidi hizo msg alizokuwa anatuma kwa huyo bwana( siwezi kumwita hawara kwa sasa) ilikuwa ni kama yeye anataka mahusiano yaendelee, maana mwanaume alikuwa akimjibu kwa mkato tu.

Mke- kwema, kimya
Mume/ baada ya siku tano/- kwema nipo, sawa
Mke- mmm sawa hiyo vipi,
Mume/ safi
Mke — mvua tu

Baada ya wiki
Mume— mzima wewe
Mke—upo poa wewe
Kwema tu, hofu kwako,
Kimya jamani, naona umetupa jongoo na mti wake,
Jua kali tu ee utadhani limeshuka.

Mume, nipo , hujibu SMS zangu!
Mke— saa ngapi tena wewe ndio hujibu.
Mume—- hahahaa upo!

Mke— nipo kuzeeka tu ndio kumepamba moto.

Mume—- aaa baba ajambo

Mke—- yupo tu aliacha na kazi sasa hivi yupo tu nyumbani.,
Mume—/ poa

Mke tena baada ya wiki
Mke —Upo kaka, za uzima!

Mume— poa.

Baada ya kushindwa kuvumilia na kuepusha kuona maajabu zaidi, nimeamua kulileta hili hapa ili mnisaidie, mke wangu bado nampenda, lakini nataka nijue nini kinaendelea,

Swali je nimuulize au nivumilie kidogo.

Watoto tunao wanne na wana maisha yao.
Achana na hayo mambo..angalia unastaafu vipi..umri umeenda.
 
Tatizo hapo sioni message yoyote kama ni marafiki wa kawaida tu,

Maana kama ni urafiki , labda ningeona wanazungumzia kitu fulani, lakini naona ni kama mke wangu anataka kitu kwako
Kwa kweli..je angekutana na zile chat hadi wanavuana chupi ingekuaje..hizi zake za kawaida sana hata sisi tuliozisoma hazijatuhamasisha
 
Umeongea nae..??
Hamna mshenga..?
Hana wazazi..?
Kwa mtu mwenye watoto wanne kuleta mada kama hii humu ni kujionyesha ulivyo na mapungufu tu.
Miaka 30 Mshenga kuwepo ni bahati nasibu
 
Nasikitika kukuambua mkeo ni lishangazi kwa kijana sehemu. Lakini mfumo wenu wa kuishi upoje, unawezakuta wewe ndo ukawa chanzo cha haya mkuu.
Ndio maana imeniumiza sana, maisha yalikuwa mazuri sana,
Kwangu mimi nijiamini nilikuwa mwaminifu sana kwake ,
Na kazi yangu bahati nzuri au mbaya ilikuwa ni kusafiri sana,
Hata niwe wapi ataniaga anatoka anaenda sehemu na mimi bila wasiwasi namruhusu, na mtaani ni mtu ana heshima sana.
 
Kwa umri wako huo, ukifanya lolote lile, hasara ni kubwa kuliko faida, achana nazo
DA DON,
Inaeezekana hasara ikawa ni kubwa kuliko uhai wangu? Maana inabidi kuangalia upande mwingine pia,
Kuna magonjwa na kuuana, maana ni dk sifuri hawa watu wakiendelea na mchezo wao wanaweza kusuka njama wakanimaliza
 
Back
Top Bottom