Una kauli ngumu kweli , na nahisi ndo sababu wanazidi kuwaogopa single mothers,Ndio. Baba mzazi atalipa ada. Nani alikwambia ujipendekeze kulipa na kununua madaftari kwa gia ya kubadilisha ubini wa mtoto.
Endelea na ratiba zako huku ukineemesha mbegu za uzazi upate mtoto wa kumwita ubini wako huko mbele ya safari.
Hii ndio point kubwa ya kumfaa muhitaji.
Kwakweli JF pamevamiwa na watu wenye kukurupuka ktk kutoa ushauri.
Wako wapi ma GREAT THINKERS?
Andiko kama hili ni SPECIAL mno.
Linagusa Familia nyingi sana ktk jamii za kiafrika.
Usishauri jamaa amuache mdada, ila Ushauri uwe namna ya kutatua changamoto kama LUCKMAN1 anavyo pendekeza.
Kesi kama hii Nililetewa na shemeji yangu mdogo, mmoja wa ndugu za mke wangu,
Mimi na mke wangu tuliitatua vizuri kuliko wakwe zangu waliomtaka kijana wao aachane na demu mwenye watoto 2.
Leo hii ni miaka 14 wanaishi na wana watoto wengine 2.
Ubini wa watoto wa yule mwanamke haukubadilishwa. Watoto wanahudumiwa vema na Shemeji yangu na mmoja yupo UDSM.
Yanii nashangaaKuna watu mnamiliki mitungi ya gesi badala ya vichwa walah!!
Hili jambo ni lakukuumiza kichwa as a man??[emoji124][emoji124][emoji124]
Nimeshapata picha kwanini ulijibiwa hivyo...Sasa mkuu shida ni moja nataka kumpiga chini huyu mwanamke ila kila nikimuangalia huyu mtoto roho inaniuma sana sababu huyu mtoto nimemlea tangu akiwa na mwaka mmoja (1) na anajua kabisa mimi ndio baba yake mzazi.
Mama yake ni kichwa panzi katika kipindi chote iko cha miaka 4 hataki kuzaa mpaka nimuoe.
Dogo upstairs yupo vizuri sana Naona nikimpiga chini mama yake huyu dogo ataharibikiwa sana
Uhakika?Huna mbegu za kumzalisha mtoto wa kumwita ubini wako? Acha ubinafsi uliopindukia.
Piga chini ndio. Mwanamke amefanya maamuzi sahihi kabisa. Wanaume wapo tuu.... Tena wa kutosha kwa wanawake wanaojielewa.
Una jicho la ziada kuona mbali zaidi katika hii mada. Hongera sana.Nimeshapata picha kwanini ulijibiwa hivyo...
Kumbe kuoa hutaki ila unataka mtoto...jibu lake lilikuwa na maana nioe ili tuzae na wewe upate wa ubini wake. Huyo Ana stress za kuhisi unamtumia tu. Sasa miaka minne yote humuoi kwanini
Hawa wanaume wakishasikia mtu ni single maza wana m drag wawezavyo. Kuoa hataki anataka tu mtoto ...ssa akipiga hesabu huduma alizotoa kimahaba maana sio kwa lazima anajiona Ana haki ya kila kitu. Wewe out of nowhere unabadilishaje jina la mtu bila mjadala wa kabla kwa kisa tu eti umemhudumia?? Jaman asee single maza kuweni na vitega uchumi vyenu na kamwe usikubali Mia mbili Mia tatu za mtu Zifanye uuze utu wako na wa mwanao.Una jicho la ziada kuona mbali zaidi katika hii mada. Hongera sana.
Si kakwambia ukweli tatizo liko wapi?Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.
Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.
Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.
Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"
Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu
Wewe ni boya kweli! Mkeo yupo sahihi by 100% tena nashukuru kuwa ana msimamo haongozwi na njaa hata chembe.Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.
Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.
Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.
Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"
Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu
Akujue we nani sababu ipi!Huyo mwanamke baada ya masaa mawili angenijua mie Nani
😆😆 Hana njaa ? Simu za kuomba msamaha zimeshaanza kuingiaWewe ni boya kweli! Mkeo yupo sahihi by 100% tena nashukuru kuwa ana msimamo haongozwi na njaa hata chembe.
[emoji38][emoji38] Hana njaa ? Simu za kuomba msamaha zimeshaanza kuingia
Hakutoa sperm ila fedha za matunzo anatoa wakati mtoa sperm yupo..Wewe ndo mwenye matatizo utampaje jina mtoto asiye wako kama vile sperm zako haziwezi totolesha
Mtoto alimkataa amekata huduma tangu akiwa na mwaka 1 ,huo uchungu hautoe wapi?Bro unatkiwa uwe big thinker usz kumpa jina la ukoo wenu mtoto c wako ! Mama mtu yupo makin sana kwenye kumuoa cio sababu wala kuhudumia mtoto ndo umpe jina la kwenu ii c sawa kaka ! let's say una mtoto mama ake kaolewa afu jina lako kwa mtoto wako limekatwa anaitwa jina la baba mlezi io pain bro ackwmbie mtu !
Hapana bora alivyomuacha maana huko mbele angeisoma namba na hata jamaa mwenye mtoto Kuna uwezekano wanawasiliana na kupasha kiporo... Mtoto ni Malaika hana kosa na hajui chochote ila Mwanamke ni idiotUsimlipie ada
Akikuita baba mwambie Mimi sio baba yako
Usimpe zawadi
Mtie mimba,mama yake