Mke wangu tangu abebe ujauzito hana hisia za kimapenzi. Nateseka sana

Mke wangu tangu abebe ujauzito hana hisia za kimapenzi. Nateseka sana

Kama ni ujauzito tu, muache atatulia mimba ikivuka miezi mi5 ama hata baada ya kujifungua. Ila kulala na mama kiduku miezi mi4 dunguso haigusi ndani ngumu, jitahidi mzee, au hama chumba tu kuepusha mambo(sio kwa hasira ila mueleze uhalisia)
 
Jamaa kasema ni mke wake na yy ndio mwenye hiyo mimba...sasa kama hawakupim before inasaidia nini??
Mianamake ikishajua Hali zao haiwezi kukuambia.. inameza tembe peke Yao na inakukwepa usiizidishie virusi huku ukifa taratibu.
Nammshauri Apime ajiridhishe anaweza kuwa yupo Poa pia.

Nafahamu sana siku hizi mambo yamebadilika huko vituoni na ndivyo yanavyoshauriwa yasikueleze Hadi ujue mwenyewe.
 
Halafu mwanamke aiwa na mimba huwa wa moto zaid aisee yaani huchukui mda tayri

Screenshot_2022-02-19-12-37-54-95.jpg
 
Wakuu nimiezi mi4 tangu mke wangu abebe ujauzito kitu kinachofanya mke wangu kuwa mgumu Sana pale linapokuja suala la kushiriki tendo la ndoa (minyaduano).

Nimetumia njia nyingi Sana za kumshawishi kutengeneza mazingira ya kupata Raha ya penzi lakini wapi hugoma kabsa tuwapo kitandani,nikimuuliza anadai hajiskii kabsa kushiriki nikimgusa hataki hata kufanyiwa romance hataki kabisa nikiendelea huwa ugomvi na huamua kutoka kitandani na kwenda kulala chumba kingne peke yake akidai nimuache hataki.

Hii Hali kiukweli inanipa wakati mgum hisia Kali hunitesa Kama mwanaume kamili dam bado inachemka kukosa kushirik zaidi ya miezi mitatu.

Istoshe katika hiki kipindi Cha ujauzito kazidi kuwa mzuri hatari najikuta naishia kumtamani tu Ila ndo hivyo kuguswa hataki kabisa wakuu.

Namweleza kua hisia zinanizidi nahitaji angalau anipe Mara moja kwa week hanielewi nahofu nakoelekea nisije msaliti wife wangu.

Vipi kwa wale wenzangu ambao mliwahi pitia katika kipindi Kama hiki mwanamke ama mpenzi wako kuwa mjamzito mabadiliko ya mwilli yapelekee kutopenda sex mlifanyaje wakuu?
Ah.. sasa we miezi minne tu unalia lia.. mi mwenzio mwezi wa nane huu unaenda, sio simba wala sio yanga alioona lango la mwenzie.

Kama sio michepuko mi ningekua nimeshakufa
 
Wakuu nimiezi mi4 tangu mke wangu abebe ujauzito kitu kinachofanya mke wangu kuwa mgumu Sana pale linapokuja suala la kushiriki tendo la ndoa (minyaduano).

Nimetumia njia nyingi Sana za kumshawishi kutengeneza mazingira ya kupata Raha ya penzi lakini wapi hugoma kabsa tuwapo kitandani,nikimuuliza anadai hajiskii kabsa kushiriki nikimgusa hataki hata kufanyiwa romance hataki kabisa nikiendelea huwa ugomvi na huamua kutoka kitandani na kwenda kulala chumba kingne peke yake akidai nimuache hataki.

Hii Hali kiukweli inanipa wakati mgum hisia Kali hunitesa Kama mwanaume kamili dam bado inachemka kukosa kushirik zaidi ya miezi mitatu.

Istoshe katika hiki kipindi Cha ujauzito kazidi kuwa mzuri hatari najikuta naishia kumtamani tu Ila ndo hivyo kuguswa hataki kabisa wakuu.

Namweleza kua hisia zinanizidi nahitaji angalau anipe Mara moja kwa week hanielewi nahofu nakoelekea nisije msaliti wife wangu.

Vipi kwa wale wenzangu ambao mliwahi pitia katika kipindi Kama hiki mwanamke ama mpenzi wako kuwa mjamzito mabadiliko ya mwilli yapelekee kutopenda sex mlifanyaje wakuu?
Hii changamoto nimekutana nayo hapa nimebaki tu namwangàlia tu yani anakuwa mkali balaa
 
Wanaume lazima mwelewe kubeba kiumbe tumboni si lelema mama,kuna wakati unabeba mimba inapenda kugegedana balaa kuna wakati wala huna hamu na tendo hilo kabisa hivyo msifiri wanajifanyisha haya mambo eleweni.
 
Wakuu nimiezi mi4 tangu mke wangu abebe ujauzito kitu kinachofanya mke wangu kuwa mgumu Sana pale linapokuja suala la kushiriki tendo la ndoa (minyaduano).

Nimetumia njia nyingi Sana za kumshawishi kutengeneza mazingira ya kupata Raha ya penzi lakini wapi hugoma kabsa tuwapo kitandani,nikimuuliza anadai hajiskii kabsa kushiriki nikimgusa hataki hata kufanyiwa romance hataki kabisa nikiendelea huwa ugomvi na huamua kutoka kitandani na kwenda kulala chumba kingne peke yake akidai nimuache hataki.

Hii Hali kiukweli inanipa wakati mgum hisia Kali hunitesa Kama mwanaume kamili dam bado inachemka kukosa kushirik zaidi ya miezi mitatu.

Istoshe katika hiki kipindi Cha ujauzito kazidi kuwa mzuri hatari najikuta naishia kumtamani tu Ila ndo hivyo kuguswa hataki kabisa wakuu.

Namweleza kua hisia zinanizidi nahitaji angalau anipe Mara moja kwa week hanielewi nahofu nakoelekea nisije msaliti wife wangu.

Vipi kwa wale wenzangu ambao mliwahi pitia katika kipindi Kama hiki mwanamke ama mpenzi wako kuwa mjamzito mabadiliko ya mwilli yapelekee kutopenda sex mlifanyaje wakuu?
Moja katika sababu za Waislamu kuruhusiwa kuowa wake wanne(4)..,ni kuwalinda wanaume pamoja na wanawake waepukane na Zinaa
( kuchepuka),na kumuepusha mwanamme na matatizo kama yako
 
Back
Top Bottom