Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Hahahah kwani we unaingia kwenye mahusiano ili umkere mwenzio? Au essence inakuwa ni nini?
Achana na kuingia kwenye mahusiano mkuu,hata kwenye maisha ya kawaida kukeranana kupo hakuepukiki.
Mtu akitulia na kusoma mwandiko wako wako atagundua kuwa unategemea kuja kuoa malaika asiye na mapungufu🤣🤣.

Jiulize hapo ulipo hujawahi kumkera mwenzio!jibu ni kwamba ushawahi kumkera sana tu na hiyo haiepukiki.ila kunatofauti kati ya hali ya kibinadamu na kufanya vitu kwa kukomoana ikiongozwa na makusudi.

Kukerana hakujawahi kuondoka kwenye maisha yetu na haitikuja kuondoka labda kama tutaanza kuishi na malaika wa mbinguni ndani.

😅😅😅natamani kuja kukuona ukishaoa ujue😅😅😅maana watu kama wewe extrovert hudondokeaga pua ni kinyama😆😆😆
 
Namba mbili wapo wengi balaaa


Nilivyooa ndo nikathibitisha ukweli wa kuwa mwanamke hakosei ukitaka Vita na mkeo wewe mwambie kakosea sehemu flani...

Wife bwana chochote unachomwambia ameteleza ujue lazima atakirudisha kwako mpk saivi imebidi uwe utani tu


Mke maji ya kunywa ulikumbuka kuchemsha? mtu mwenyewe hata nikichemsha hunywi.[emoji3][emoji3]

Nimerudi zangu home saa 7mchana badala ya saa 9/10 niliyozoea kurudi.Mke chakula tyr?Mke :Bado,mtu mwenyewe wewe hutabiriki unarud sa ngap nilichelewa kidogo kupika.

Mke umesahau kumpigia mama ulisema utaongea nae leo?wewe huyo hujanikumbusha...[emoji38][emoji38][emoji38]

Mimi:mke punguza sauti ya TV Kuna kazi inachanganya nahitaji umakini kdg,wewe hata ukiwa free hupendi niangalie movies za kikorea...

Mke chumvi leo imezidi kdg wewe huyo unakuja kunipigisha story wakati napika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimeamka zangu asubuh najiandaa kwenda kwenye mishe nikaanzisha story mke umeamka tyr?mbona mapema?Wewe huyo unazunguka zunguka chumbani mpk usingizi umekata

Juzi kadondosha grass ya maji mi nikageuka tu nikamuangalia nikampa pole nikasikia wewe huyo unaniangalia sanaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Maskini hata hajui keshazoea mi saivi akiboronga namwambia sio kosa lako mi Mimi huyo nimesababisha,anachekaaaa balaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Halafu ukishamjua mtu wako wala haikupi stress
 
We jamaa unaonekana umetokea Pwani. Me nimeishi na Mshua na Maza toka nakua naona maza lazma aamke abandike maji ya kuoga alfajiri...

Ataandaa chai asubuhi mzee akitoka kuoga anavaa nguo zishapigwa pasi siku nyingi kisha anaenda mezani for breakfast. Mie nnje nishafagia na kuosha gari na ilikuwa kama utamaduni wetu. Mshua akirudi akapaki namshushia bag lake la ofisini napeleka chumbani kwake.

Kufua maza anafua nguo sox ananiachia mimi namsaidia. Akiwepo beki 3 anawasha jiko anabandika maji ila ni agizo la bi mkubwa. Kupika cha mshua bi mkubwa anapika mwenyewe. Mshua akiwa kazini madhe anasafisha room kwao. Sometimes ananiomba namsaidia kusafisha akiwa anaumwa au amechoka.

Sasa nikija kuoa mke asiwe kama ambavyo nimekuwa nikiona mazingira ya home au akashindwa ku cope na chores zake lazma tutashindwana tu. Japo mke sio mtumwa ila nimekuzwa kuwa Dominant! Ndio utamaduni wetu ulivyo na hakuna kitu mzee alikuwa anamaindi kama kunikuta jikoni nasaidia kazi 🤣🤣🤣
Kwakweli tumetofautiana sana..mimi pia baba na mama yangu niliwashuhudia maisha yao kwanza mama alikua hali mbaka baba arudi wale wote na kama akipiga cm atachelewa kurudi basi mama atakula kidogo ili asisikie njaa lakini baba akija lazima wale wote tena wanakaa mezani pamoja wanapiga na stories mbili tatu na vicheko juu nilikua naona raha sana nikiwaangalia.
Anaporudi mzee kupokelewa mzigo ni lazima ingawa baba alikuaga hapendi kumpokea kama kuna shuuli unafanya anakwambi acha tuu.
Kingine nadhani mama alijua sana majukumu yake pamoja na ubize lakini sikuwahi kuona baba akijiandalia maji ya kuoga au kujipakulia chakula. Nimeishi kama dada mkubwa ndani ya nyumba na najua majukumu ya mwanamke hakuna ukweli kuhusiana na mama kuchoka na kutotoa baadhi ya huduma kwa baba
Anles adhawaiz mkeo ni mvivu au ameshakuchoka au mmechokana. Hivi hata kama nina watoto ndio niwe busy mbaka saa 2 au 3 usiku mme wangu anavorudi nishindwe kumuhudumia kweli!!!
Nnavojua mimi mama uwa anapangilia kazi zake vzur ikifika mida flani unakua tayar kwa ajir ya mmeo.
Siku moja mama angu alinisimuliaga kitu wakati bado wanaishi nyumba za kupanga kuna bwana mmoja alikua amejiandaa kwenda kazini akatoka nje kumfata mkewe aliekua anafagia uwanja na iyo ilikua sa 12 asubuhi akamuuliza mkewe chai mbona amna mezani mkewe akamjibu "nitafanya mangapi" hivi kweli kkabisa mume unamjibu ivo!!!
Sasa mimi mama yangu hakua na gesi kipindi hicho alikua anaamka asubuh sana yaan baba lazima ale kitu kabla hajaondoka ndo wameishi ivo maisha yote na mama hakuwahi kulalamika zaidi sana tulikua tunafurahia kua na baba mpenda familia yake.
Mama nae alikua ana amani sana na furaha kumuhudumia mmewe.
Kubwa na ndogo kuliko daily walikua wakiitana Mme wangu mke wangu yaan hilo nilikua napenda sana mama hata apokee cm anasema "mme wangu niambie".
Sometimes small things means a lot.
 
Kwakweli tumetofautiana sana..mimi pia baba na mama yangu niliwashuhudia maisha yao kwanza mama alikua hali mbaka baba arudi wale wote na kama akipiga cm atachelewa kurudi basi mama atakula kidogo ili asisikie njaa lakini baba akija lazima wale wote tena wanakaa mezani pamoja wanapiga na stories mbili tatu na vicheko juu nilikua naona raha sana nikiwaangalia.
Anaporudi mzee kupokelewa mzigo ni lazima ingawa baba alikuaga hapendi kumpokea kama kuna shuuli unafanya anakwambi acha tuu.
Kingine nadhani mama alijua sana majukumu yake pamoja na ubize lakini sikuwahi kuona baba akijiandalia maji ya kuoga au kujipakulia chakula. Nimeishi kama dada mkubwa ndani ya nyumba na najua majukumu ya mwanamke hakuna ukweli kuhusiana na mama kuchoka na kutotoa baadhi ya huduma kwa baba
Anles adhawaiz mkeo ni mvivu au ameshakuchoka au mmechokana. Hivi hata kama nina watoto ndio niwe busy mbaka saa 2 au 3 usiku mme wangu anavorudi nishindwe kumuhudumia kweli!!!
Nnavojua mimi mama uwa anapangilia kazi zake vzur ikifika mida flani unakua tayar kwa ajir ya mmeo.
Siku moja mama angu alinisimuliaga kitu wakati bado wanaishi nyumba za kupanga kuna bwana mmoja alikua amejiandaa kwenda kazini akatoka nje kumfata mkewe aliekua anafagia uwanja na iyo ilikua sa 12 asubuhi akamuuliza mkewe chai mbona amna mezani mkewe akamjibu "nitafanya mangapi" hivi kweli kkabisa mume unamjibu ivo!!!
Sasa mimi mama yangu hakua na gesi kipindi hicho alikua anaamka asubuh sana yaan baba lazima ale kitu kabla hajaondoka ndo wameishi ivo maisha yote na mama hakuwahi kulalamika zaidi sana tulikua tunafurahia kua na baba mpenda familia yake.
Mama nae alikua ana amani sana na furaha kumuhudumia mmewe.
Kubwa na ndogo kuliko daily walikua wakiitana Mme wangu mke wangu yaan hilo nilikua napenda sana mama hata apokee cm anasema "mme wangu niambie".
Sometimes small things means a lot.
Umeona sasa, hii ndio tunaita effect ya malezi. If you were properly raised that means utakuwa ulishuhudia upendo wazazi walikuwa wakioneshana and it will always stay in your head. Watu wanafikiri mtu kuwa na upendo ni swala linatokea ghafla tu kama chafya.

Mwanamke anaejitambua hawezi kuleta excuse za ajabu ajabu ili tu akwepe majukumu yake. Ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu sana ila watu wanachukulia poa tu.

Sasa kwa mtu kama wewe ukikutana na mtu ambaye daily alikuwa akishuhudia ugomvi wa wazazi wake lazma utateseka sana kwenye mahusiano nae. Hawezi kuwa na roho ya utu hata kidogo maana anahisi mwenzie ni kama takataka flani na amekuwa akiona mama yake au baba yake anakuwa mistreated and bullied..Wanawake wa hivi nao huja kuwa wababe automatically.
 
Kwakweli tumetofautiana sana..mimi pia baba na mama yangu niliwashuhudia maisha yao kwanza mama alikua hali mbaka baba arudi wale wote na kama akipiga cm atachelewa kurudi basi mama atakula kidogo ili asisikie njaa lakini baba akija lazima wale wote tena wanakaa mezani pamoja wanapiga na stories mbili tatu na vicheko juu nilikua naona raha sana nikiwaangalia.
Anaporudi mzee kupokelewa mzigo ni lazima ingawa baba alikuaga hapendi kumpokea kama kuna shuuli unafanya anakwambi acha tuu.
Kingine nadhani mama alijua sana majukumu yake pamoja na ubize lakini sikuwahi kuona baba akijiandalia maji ya kuoga au kujipakulia chakula. Nimeishi kama dada mkubwa ndani ya nyumba na najua majukumu ya mwanamke hakuna ukweli kuhusiana na mama kuchoka na kutotoa baadhi ya huduma kwa baba
Anles adhawaiz mkeo ni mvivu au ameshakuchoka au mmechokana. Hivi hata kama nina watoto ndio niwe busy mbaka saa 2 au 3 usiku mme wangu anavorudi nishindwe kumuhudumia kweli!!!
Nnavojua mimi mama uwa anapangilia kazi zake vzur ikifika mida flani unakua tayar kwa ajir ya mmeo.
Siku moja mama angu alinisimuliaga kitu wakati bado wanaishi nyumba za kupanga kuna bwana mmoja alikua amejiandaa kwenda kazini akatoka nje kumfata mkewe aliekua anafagia uwanja na iyo ilikua sa 12 asubuhi akamuuliza mkewe chai mbona amna mezani mkewe akamjibu "nitafanya mangapi" hivi kweli kkabisa mume unamjibu ivo!!!
Sasa mimi mama yangu hakua na gesi kipindi hicho alikua anaamka asubuh sana yaan baba lazima ale kitu kabla hajaondoka ndo wameishi ivo maisha yote na mama hakuwahi kulalamika zaidi sana tulikua tunafurahia kua na baba mpenda familia yake.
Mama nae alikua ana amani sana na furaha kumuhudumia mmewe.
Kubwa na ndogo kuliko daily walikua wakiitana Mme wangu mke wangu yaan hilo nilikua napenda sana mama hata apokee cm anasema "mme wangu niambie".
Sometimes small things means a lot.
Usifananishe mama zetu mkuu na hizi Ngamia za siku hiziii...!!! Yani kwa kweli ni shidaaa... Wanawake wa siku hizi ukijichanganya ukamsaidia kazi tuu nasema hata kumlisha mtoto jua huo ndo umekuwa wajibu wakoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui ni mapepooo
 
Usifananishe mama zetu mkuu na hizi Ngamia za siku hiziii...!!! Yani kwa kweli ni shidaaa... Wanawake wa siku hizi ukijichanganya ukamsaidia kazi tuu nasema hata kumlisha mtoto jua huo ndo umekuwa wajibu wakoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui ni mapepooo
🙄ngamia😔
 
Back
Top Bottom