Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

Sema izi mambo bhana kila mtu na angke yake... Yan me ndo napata taarifa kwamba kuna hii mambo apa.

Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
 
Basi hapo utakuta mechi ya playoff kesho umeme unakatika

Yani kwenye vile vitu muhimu lazima umeme ukatike
Hii ni mechi ya imani kwa mwanadamu na Mungu lazima wajae na umeme haukatiki, ila kesho ni mechi ya warabu wa ulaya na wazungu umeme ni amri na si ombi lazime fyuuuuuuu Giza Nene.
 
Kuna demu wangu mmoja leo tu jioni nimetoka kumuonga kaenda hapo. Nimeumia pesa yangu ya kuonga itaenda kwa huyu mzee wa upako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]km umeonga 30 dem anaenda kutoa vuka na chako 20 ,ten anabaki nalo kwa ajili ya matumiz yake,yaan mwamposa anakula 20 safiiiii kupitiaa jasho lako na dem wako ..


Krb taifa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…