Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

Na hata akiweka kiingilio wataajazana tu

Mwamposa ni real

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hapo uwanjani kuna mtu nimemla leo na ameenda kwa Mwamposa. Sasa najiuliza ameenda kutubu au kushangaa.
 
Hajulikani huyo mwamposa nipo hp nje kuna madada poa kibao,tunakula neno + utelezi bure.
 
Watu wana shida, unazani wanajazana tuuuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…