Mkinga sio mtu wa kushindana nae kwenye Biashara!

Unajua kujisifu na showoff ni tabia za maeneo nipo kaskazini zaidi ya miaka 8 watu wa huku wanatabia ya kujiona bora hata kwenye vitu ambavyo hawana

Ila watu wa nyanda za juu kusini hawana tibia za hivyo ni vitendo tu

Ni kweli, watu wa Kaskazini sio kwamba wanamaisha mazuri Sanaa Ila ni tabia Yao kujiona superior kuliko wengine,
Na hiyo inatokana na kuwazidi wengine Kwa baadhi ya vitu.

Ila mbona hawajioni Bora kuliko Wazungu 😄😄😄
 
Kuna mstari mwembamba sana kati ya pesa na ushetani...
Pia Kuna kamba nyembamba Sana Tena sana Kati ya utajiri na umaskini, lakini kuikata kamba hiyo kunahitaji nguvu kubwa isiyo ya kawaida.
 
Pole sana mkuu nadhan wengine hatujawahi kukutana na changamoto sababu ya connection
Hebu jipige pige uyaweke sawa
 
Sijakataa maana yangu wanahang kweny biashara za middle wote jua dunia inaenda Kwa kasi nimewajua wachaga mda sana pia ni ndugu zangu yaani shemeji zangu huko moshi nimekaa

Ninachomaanisha mtoa mada jamaa wanakuja Kwa Kasi mno wakinga mi nimewajua juzi juzi tu ila nilisoma na machalii kama wanna nawafahamu mmoja tumekutana humu Kwa ishu za biashara kwanza ni muaminifu ndo nikaona nijue zaidi kabila lao alinipeleka kariakoo duh ilikuwa 2017 hata kusikia wakinga jina nilikuwa sijui dadaq machalii wanashusha containers hapo bandari Wana mpaka SUV ni wadogo nikasema Hawa jamaa ni noma elimu kidogo wanaitumia vizuri

Na hao washkaji nawafahamu Wana maisha safi machalii range 27 mpaka 30 miaka sikuwa nawajua ila hakuna ana viduka vidogo Dili zao mbao na nguo kuuza Kwa jumla wanashika pesa sema ni wachache yaani kabila lao no dogo

Unaposema wahaya wanashindna na 2achaga Kwa elimu ila biashara sio fame labda wasukuma kweny madini wako nondo

Nenda moshi kaulize madon utakuta ni wale weny ishu za madini ndo wengi akipiga trip Moja moja kashika pesa ndefu kuliko Hawa wa mabasi ni mali kauli
. The smartest guy alikuwa mengi namkubali mno alivuka mipaka Ile ya kuwa na akili za kizungu 🙏🙏🙏alituwakilishw vyema ila waliobaki

Wamiliki wa mahoteli wengi sio wote fuatilia waliibia serikali enzi izo walikuwa wajanja wakapata mitaji mirefu hata huyo ulimtaja sijui mmiliki wa prescious air walipiga mihanya serikalini japo sio wachaga tu ni wengi
 
Wakinga bado hawajafika level ya kujisifu bado wako chini huko.

Huwezi jisifu Kama huna cha kujisifia.

Huoni wahaya unafikiri wanajisifu Bure😀😀
Sawa kwani wahaya Kwa elimu Kuna wa kuwafikia hapa bongo wale hawaibi mitihani Wana damu ya elimu
 
Exactly
Pale kariakoo wakinga wanapesa ndefu mno na wanaenda wakitokea tunduma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mchaga wa tabaka lipi?

Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kwenye usafiri wa vyombo vya moto wajinga wanavyo vingi sana,mfano mdogo ni superfeo..
 
Maneno rahisi mtaji wa hawa jamaa ndio uchawi, kwa sababu wana uwezo wa kuwahudumia watu wengi kwa wakati wanaohitaji hizo bidhaa. Sasa kama mtu huna mtaji wa kutosha unawezaje kusema huuzi wakati wateja huna mtaji wa kuleta bidhaa zinazotakiwa kwenye biashara yako.

UCHAWI NI MTAJI KAMA HUNA MTAJI KILA MAHALI NI KUGUMU.
 
Wewe kwenye usafiri wa vyombo vya moto wajinga wanavyo vingi sana,mfano mdogo ni superfeo..

Wanavyo lakini bado Sana kuwafikia Wachaga tukisema tutaje hapa utabaki mdomo wazi.

Wakinga wanajitahidi wakaze buti mpaka 2050 huko watakuwa wamewafikia Wachaga, maana Wachaga wa sasa kidogo wamepoa sio kama wa zamani
 
Hakuna kitu kama hicho.

Kujimwambafai tu. Hamna lolote. Nioneshe kiwanda kimoja tu cha mkinga kinachotengeneza bidhaa maarufu inayouzika hapa Africa Mashariki. Hakuna.

Nimekuelewa sana wakinga hawana MEGA BUSINESS kama viwanda vikubwa…kulinganisha hata na wachaga…wakinga ni vile wako wengi wanafanya biashara ya aina moja thats it…
 
Ni kweli, watu wa Kaskazini sio kwamba wanamaisha mazuri Sanaa Ila ni tabia Yao kujiona superior kuliko wengine,
Na hiyo inatokana na kuwazidi wengine Kwa baadhi ya vitu.

Ila mbona hawajioni Bora kuliko Wazungu 😄😄😄
Saivi maeneo mengi tupo sawa kiasi chake ila walicho tuzidi kasikazini kulinganisha maeneo mengine ni kitu kimoja usatalabu ulianza kuingia kwao na elimu ila hawana cha ziada
 
Saivi maeneo mengi tupo sawa kiasi chake ila walicho tuzidi kasikazini kulinganisha maeneo mengine ni kitu kimoja usatalabu ulianza kuingia kwao na elimu ila hawana cha ziada
Wakwanza ni wakwanza tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…