Mkoa wa Arusha machinga wawapiga wenye maduka

Mkoa wa Arusha machinga wawapiga wenye maduka

Hapo vip!!

Katika pitapita zangu nilishuhudia machinga wakitaka kumchomea moto mfanyabiashara mmoja pale Ngulelo stand.

Na ugovi ulianza baada ya mfanya biashara yule kuwambia waondoe mabanda mbele ya duka lake kwasababu anashindwa kufanya biashara.

Hao machinga walimvamia jamaa kama pilipili na kuuza kurusha matusi makubwa kwa yule mfanyabiashara..na ingekuwa sio police walikuwa wanataka kuchoma duka la yulebmfanyabiashara.

Hili swala la kudhagaa kwa machinga tulisichukulie mdhaha kabisa kwasababu wafanyabiashara wanaolipa kodi ya serikali wanapata wakati mgumu sana...kiasi kwamba wengine wanaamua kufunga biashara kwa mazingira hayo.

Nina imani tokea machinga waanze kuzagaa zagaa kunawafanyabiashara wengi wafunga biashara zao kwasababu ya tatizo hili na serikali ikapoteza mapato au kodi ambayo ingetumiwa na serikali kughara elimu,afya za hao watoto wamachinga.

Ki ukweli ule ugomvi wakuta kumshambulia yule mfanyabiashara wa ngulelo ulinigusa sana..haikuwa haki hata kidogo.

Nimeona niandike hili kwasababu serikali ipo kama inaogopa kuchukua hatua katika hili swala..pasipo kupepesa macho machinga ni tatizo.
Kipo kitu ambacho kama taifa TUMEJIFUNZA KWA FAIDA YA UBORA WA KESHO NA KUENDELEA.....

#SiempreJMT
 
Naona Lile gang la wafanyabiashara na mafisaci limejipanga kweli kipropaganda kwa kueneza uzushi wa kinachodaiwa ubaya wa machinga kwamba wasifanye biashara mitaani...haya endeleeni na propaganda hizo kwani kikinuka propaganda hizo mtazifanya mkiwa uvunguni mwa vitanda...
Machinga lazima wafuate sheria kama raia wengine nchi hii, kwa nguvu ama kwa hiyari, wakileta vurugu tunawawahisha wakaungane na baba yao mwendazake
 
Yaani watu sijui wanawazaje inaweza ikawa ndiyo njia ya chaos ambayo haujawahi kutokea

Maana hao machinga ni wengi sana yaani ni wengi
Mma wa overrate wamachinga. Mnawapa too muchcredit. Hawapo wengi kiasi hiko na serikali ikiwa serious inawaondoa na hakuna vurugu wataleta.
Hii issue imekaa kisiasa zaid.. politics zikiingia kwenye mambo muhim huvuruga kila kitu
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nimecheka hadi nmepaliwa
 
Hapo vip!!

Katika pitapita zangu nilishuhudia machinga wakitaka kumchomea moto mfanyabiashara mmoja pale Ngulelo stand.

Na ugovi ulianza baada ya mfanya biashara yule kuwambia waondoe mabanda mbele ya duka lake kwasababu anashindwa kufanya biashara.

Hao machinga walimvamia jamaa kama pilipili na kuuza kurusha matusi makubwa kwa yule mfanyabiashara..na ingekuwa sio police walikuwa wanataka kuchoma duka la yulebmfanyabiashara.

Hili swala la kudhagaa kwa machinga tulisichukulie mdhaha kabisa kwasababu wafanyabiashara wanaolipa kodi ya serikali wanapata wakati mgumu sana...kiasi kwamba wengine wanaamua kufunga biashara kwa mazingira hayo.

Nina imani tokea machinga waanze kuzagaa zagaa kunawafanyabiashara wengi wafunga biashara zao kwasababu ya tatizo hili na serikali ikapoteza mapato au kodi ambayo ingetumiwa na serikali kughara elimu,afya za hao watoto wamachinga.

Ki ukweli ule ugomvi wakuta kumshambulia yule mfanyabiashara wa ngulelo ulinigusa sana..haikuwa haki hata kidogo.

Nimeona niandike hili kwasababu serikali ipo kama inaogopa kuchukua hatua katika hili swala..pasipo kupepesa macho machinga ni tatizo.
Kwanza kabisa kichwa cha habari hakifanani na kilichoandikwa ndani. Pili lugha fasaha imepaa angani
 
Hapo vip!!

Katika pitapita zangu nilishuhudia machinga wakitaka kumchomea moto mfanyabiashara mmoja pale Ngulelo stand.

Na ugovi ulianza baada ya mfanya biashara yule kuwambia waondoe mabanda mbele ya duka lake kwasababu anashindwa kufanya biashara.

Hao machinga walimvamia jamaa kama pilipili na kuuza kurusha matusi makubwa kwa yule mfanyabiashara..na ingekuwa sio police walikuwa wanataka kuchoma duka la yulebmfanyabiashara.

Hili swala la kudhagaa kwa machinga tulisichukulie mdhaha kabisa kwasababu wafanyabiashara wanaolipa kodi ya serikali wanapata wakati mgumu sana...kiasi kwamba wengine wanaamua kufunga biashara kwa mazingira hayo.

Nina imani tokea machinga waanze kuzagaa zagaa kunawafanyabiashara wengi wafunga biashara zao kwasababu ya tatizo hili na serikali ikapoteza mapato au kodi ambayo ingetumiwa na serikali kughara elimu,afya za hao watoto wamachinga.

Ki ukweli ule ugomvi wakuta kumshambulia yule mfanyabiashara wa ngulelo ulinigusa sana..haikuwa haki hata kidogo.

Nimeona niandike hili kwasababu serikali ipo kama inaogopa kuchukua hatua katika hili swala..pasipo kupepesa macho machinga ni tatizo.
😘😘😘😎
 
Serikali ikiamua kukaza hakuna atayetoboa
 
Hapo vip!!

Katika pitapita zangu nilishuhudia machinga wakitaka kumchomea moto mfanyabiashara mmoja pale Ngulelo stand.

Na ugomvi ulianza baada ya mfanya biashara yule kuwambia waondoe mabanda mbele ya duka lake kwasababu anashindwa kufanya biashara.

Hao machinga walimvamia jamaa kama pilipili na kuuza kurusha matusi makubwa kwa yule mfanyabiashara..na ingekuwa sio polisi walikuwa wanataka kuchoma duka la yule mfanyabiashara.

Hili swala la kudhagaa kwa machinga tulisichukulie mzaha kabisa kwasababu wafanyabiashara wanaolipa kodi ya serikali wanapata wakati mgumu sana...kiasi kwamba wengine wanaamua kufunga biashara kwa mazingira hayo.

Nina imani tokea machinga waanze kuzagaa zagaa kunawafanyabiashara wengi wafunga biashara zao kwasababu ya tatizo hili na serikali ikapoteza mapato au kodi ambayo ingetumiwa na serikali kughara elimu,afya za hao watoto wamachinga.

Ki ukweli ule ugomvi wakuta kumshambulia yule mfanyabiashara wa ngulelo ulinigusa sana..haikuwa haki hata kidogo.

Nimeona niandike hili kwasababu serikali ipo kama inaogopa kuchukua hatua katika hili swala..pasipo kupepesa macho machinga ni tatizo.
Tozo ndugu Tozo
 
Tumefikaje huku[emoji848] TRA wakunyanyase,umeongezewa na Tozo juu, halafu kumwambia mtu asifanyie biashara mbele ya fremu unayoilipia anataka kuchoma Duka lako?[emoji36]
Si jana tu tuliambiwa mnatoa kwa hisri mpaka kukusanya 1.9Tr
 
Toka miaka hiyo prof Jay anaimba ugomvi wa machinga na mgambo hadi leo tunahangaika na ishu ya machinga.

Nchi fulani ya kipumbavu sana.
Sema serikali haijawaamulia kamata kiongozi wa machinga anayewapa jeuri binya kende uone kama hawatotii sheria, huu ujinga huwezi usikia rwanda.
 
Hivi hawa machinga wanajiamini nini??
Waloshaaminishwa kwamba nchi ni ya wanyonge hii?
Cc hatuvai barakoa kwa sababu kama wamachinga tu. Magufuli alikuwa mtu wa hivyohivyo sana!
 
Hao machinga walimvamia jamaa kama pilipili na kuuza kurusha matusi makubwa kwa yule mfanyabiashara..na ingekuwa sio polisi walikuwa wanataka kuchoma duka la yule mfanyabiashara.
ukitaka kuishi kwa amani usimguse machinga hata kama atapanga bidhaa zake nje ya dirisha la chumba chako.
 
Hapo vip!!

Katika pitapita zangu nilishuhudia machinga wakitaka kumchomea moto mfanyabiashara mmoja pale Ngulelo stand.

Na ugomvi ulianza baada ya mfanya biashara yule kuwambia waondoe mabanda mbele ya duka lake kwasababu anashindwa kufanya biashara.

Hao machinga walimvamia jamaa kama pilipili na kuuza kurusha matusi makubwa kwa yule mfanyabiashara..na ingekuwa sio polisi walikuwa wanataka kuchoma duka la yule mfanyabiashara.

Hili swala la kudhagaa kwa machinga tulisichukulie mzaha kabisa kwasababu wafanyabiashara wanaolipa kodi ya serikali wanapata wakati mgumu sana...kiasi kwamba wengine wanaamua kufunga biashara kwa mazingira hayo.

Nina imani tokea machinga waanze kuzagaa zagaa kunawafanyabiashara wengi wafunga biashara zao kwasababu ya tatizo hili na serikali ikapoteza mapato au kodi ambayo ingetumiwa na serikali kughara elimu,afya za hao watoto wamachinga.

Ki ukweli ule ugomvi wakuta kumshambulia yule mfanyabiashara wa ngulelo ulinigusa sana..haikuwa haki hata kidogo.

Nimeona niandike hili kwasababu serikali ipo kama inaogopa kuchukua hatua katika hili swala..pasipo kupepesa macho machinga ni tatizo.
Tatizo chinga siyo chinga unakuta kuna mhuni anakodisha space mbele ya mwenye duka na anachukua yeye kodi na si mwenye duka
 
Sula la Machinga si la jana au juzi, tangu enzi hizo hata waliwahi kusababisha kifo cha Kiongozi wa Mgambo wa jiji.

Na tusipotumia akili tutaendelea kuteseka nalo.

Wenye Mamlaka waache kujifungua, wanunue mawazo hata kutoka nje huko ya nchi.

Nasisitiza tukitumia akili ila kitu kitakuwa sawa.
 
Back
Top Bottom