The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
wasukuma bana eti Kahama imeipiga chini Arusha nyeyenye View attachment 2093722
Bado watakupingaNi kweli mdau anacho sema mimi nimezaliwa arusha naishi arusha napajua arusha kwa kila kitongoji mji wa arusha kwanza haujapimwa barabara za mitaa ukiwa na gari huwezi kupishana na boda sembuse makazi horera na nyumba za kale kama pele ngarenaro ni klm 1 toka katikati ya jiji hapo hujaenda matejo hukaenda esso unga ltd yani ni paajbu sana tatizo la wakazi wa arusha hawatembei sana akitembea sana kaenda dar kwahiyo hayo unayo sema lazima abishane kwakuwa hajatembea miji mingine
Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
Sasa Wilaya ya Meru unaitoaje Arumeru wakati Meru ndiyo Arumeru?
Ni kweli, najaribu kujiuliza ni kwanini?Au ni masalia ya mwendazake?maana jamaa alikuwa hakubaliki huko ndio akaamua kuteua majambazi yafanye kaziKatika mkoa/jiji linaloongoza kufunguliwa thread kila uchwao ni Arusha.
Kuna mtu ka notice jambo hapo?
Nimeishi Arusha na kutembea wilaya zote. Mleta mada anasema uongo kwa sehemu na ukweli kwa sehemu. Ngorongoro ni wilaya yenye wamasai wengi, wasonjo ni sehemu ndogo sana ya watu wa ngorongoro. Arusha hata kabla ya kugawanywa ilikuwa ni mkoa wa wafugaji kwa asilimia kubwa. Wafugaji wanamind ufugaji, maisha yao ni mifugo kwa sana sio majumba na magari, huo ndio uirithi na ufahari wao.Ni kweli mdau anacho sema mimi nimezaliwa arusha naishi arusha napajua arusha kwa kila kitongoji mji wa arusha kwanza haujapimwa barabara za mitaa ukiwa na gari huwezi kupishana na boda sembuse makazi horera na nyumba za kale kama pele ngarenaro ni klm 1 toka katikati ya jiji hapo hujaenda matejo hukaenda esso unga ltd yani ni paajbu sana tatizo la wakazi wa arusha hawatembei sana akitembea sana kaenda dar kwahiyo hayo unayo sema lazima abishane kwakuwa hajatembea miji mingine
Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
Nimewahifika ni katibu na msumbijiMatunda ya kutawaliwa na chama dola,na middle class humu inaonekana kwenye comments zao wanawalaumu wakazi wa Arusha kwa maendeleo duni,nchi hii tunahitaji mikoa 20tu na watanzania wanahitaji service delivery sio utitiri huu,huku kwetu Lingusenguse hatujawahi kutembelea hata na wale top 3 ya watawala wetu....60yrs now,maendeleo ni msamiati mpya.
Mifugo yenyewe inakufa,hapo umesahau Ngorongoro.Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni maskini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.
Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.
Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.
Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
Unaongelea miaka ya 90Kuna mitaa ya Sombetini, Ungalimited, Matejoo, Daraja mbili Kwao mkuu wa wilaya kisarawe, Ngarenaro, Uswahilini, Ngusero, na Moromboo ukifika huko unasikia harufu ya umasikini uliopitiliza watoto wa huko hawasomi wazazi ni walevi wa dadii na gongo mimba za utototoni nje nje.
Miundo mbinu mibovu nyumba za udongo wenyewe wanaziita mbavu za mbwa ukitembea hatua mbili unakutana na wavuta bangi wachafu alafu wamejazana ujinga ujinga tu kichwani kiufupi ukiishi huko nikama uko jehanamu
Hata Mwanza ina sifa kama Arusha, tofauti na mjini Mwanza ,Wilaya zake zote ni hovyo na maskini wa kutupwa.Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni maskini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.
Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.
Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.
Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
Anavuta bangi aliyetoa hiyo commentMkuu inamaana miaka 5 inatosha Karatu au Kahama kuipiku Arusha kama zikipewa attention?
Hivi mkuu umeshakwenda pale Halmashauri ya jiji wakakuonyesha mipango ya mji kama Bondeni City nk
Hii inaonyesha mipango miji ya arusga na nchi hii hawana akili kabisa matope vichwaniArusha ni mkoa makisini hilo halina ubishi.
Angalia hata pale mjini, hatua chache tu unakutana na nyumba za hovyo kuliko kawaida, mji haupanuki, mji umepangiliwa vibaya.
Arusha pamoja na potential ya utalii ambayo imekua nayo kwa miaka zaidi ya 30 lakini maendeleo hakuna.
Miji ya juzi hapa kama Kahama imekuja kuipiga chini Arusha mapema sana. Kuna senta zinakua kwa haraka miaka michache ijayo zitakua at par na arusha ama zaidi, senta kama Katoro, Runzewe, Nyakanazi, nk. Hata karatu ikipewa attention kwa miaka 5 inaifunika Arusha.
Amevuta bange achana naeumeongea kimhemuko kuliko uhalisia, hivi katika interval ya 5 years unalinganisha growth ya Arusha na Nyakanazi? wadanganye ambao hawajafika huko Nyakanazi wala Arusha!!
Na MwanzaKatika mkoa/jiji linaloongoza kufunguliwa thread kila uchwao ni Arusha.
Kuna mtu ka notice jambo hapo?
Uchochezi huuMatunda ya kutawaliwa na chama dola,na middle class humu inaonekana kwenye comments zao wanawalaumu wakazi wa Arusha kwa maendeleo duni,nchi hii tunahitaji mikoa 20tu na watanzania wanahitaji service delivery sio utitiri huu,huku kwetu Lingusenguse hatujawahi kutembelea hata na wale top 3 ya watawala wetu....60yrs now,maendeleo ni msamiati mpya.
Mkuu utakuwa hujaelewa mleta Mada anasema Arusha mjini wapo vizuri ukilinganisha na wilaya zake zina Hali mbaya kiuchumi kama monduli longido na ngorongoro tofaut na Ruvuma pale songea na wilaya zake hamna tofaut kubwa Sana ya uchumi na wilaya zake kama namtumbo mbinga tunduru na kipato cha wananchi wake hakina gape kubwa Kama Arusha mjini na longidoAcheni upuuzi uwez kufananisha arusha na mikoa ya kipuuzi puuzi pale arusha kupata kiwanja mfno moshono 20*20 huna milion ishirini hujakah hapo achilia mbali gomba estate na burka ndugu Kama huna 40 milion hupati kiwanja
Sas ruvuma huko sijui songea milion mbili tu unapata kiwanja Tena mjini kbsa hzo ishu uwez kuta Arusha babu
Ukienda namtumbo kiwanja laki tano unapata kbsa na hati juu