Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

Hae
Yan huwez kututenga na watu wa njombe tunaoongea rugha moja au watu wa usangu tunao ongea rugha moja huo ni ukichaa
Haelewi kwamba Chief mkwawa wa uhehe alipata kuoa binti wa chief Merere wa Usangu.
 
Sababu nilizokutajia hapo Juu ndio uhalisia,wangekuwa wanaingiliana kama unavyodai wewe hata Mkoa usingegawanywa Kwa kufuata makabila..

Pili nimekwambia hata Sasa Njombe Ina Maingiliano ya Kijamii na Kiuchumi zaidi na Mbeya na Songea kuliko Iringa,wahehe ndugu zao Wagogo.
 
Hae
Haelewi kwamba Chief mkwawa wa uhehe alipata kuoa binti wa chief Merere wa Usangu.
Mzee Usangu Iko Mbeya Wala haiko Iringa,kuoleana hata Sasa watu wanaoleana ila ukweli ni kwamba Watu wa Iringa ndugu zao Wagogo.
 
unatakiwa kuwa na heshima kidogo. kwahiyo unataka kuiunganisha iringa na singida na dodoma? unaelewa maana ya nyanda za juu kusini? iringa ni nyanda za juu (milimani), dodoma kuna nyanda? singida kuna nyanda? wamekuchosha nini?
Kama issue ni Milima basi Morogoro au Kilimanjaro au Arusha zote zingekuwa Nyanda za Juu..

Nakwambia Muingiliano wa Kijamii ni mkubwa Dom kuliko Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini..

Watu wa Iringa vipi mnakataa ndugu zenu? Nendeni Dom huko
 
Mzee Usangu Iko Mbeya Wala haiko Iringa,kuoleana hata Sasa watu wanaoleana ila ukweli ni kwamba Watu wa Iringa ndugu zao Wagogo.
Mkuu yaani ukifika usangu uongee kihehe wana kisikia fresh kwa kuwa rugha yao ni kama kibena tuu. Ko sie huku ni wamoja ila hao kina Mwigulu hatuwajui. Kwanza wanatisha
 
Wabena kamwene, wahehe kamwene. Wabena Ndauli, wahehe ndauli, wabena weuli wahehe weuli. Wakinga nao ni salamu tuu ila maneno yote kama wabena tuu. Harafu wakinga tena wanakuja kufanana rugha na mnyakyusa hadi raha. Acheni kutupeleka dodoma sie hatujuani na wanyiramba
Kama mbaelewana Kwa hiyo wabena Huwa wanasalimiana kamwene au mapembero si ndio?
 
Kwa hiyo shida ya Iringa kutoendelea ni kuunganishwa na mikoa ya nyanda za juu kusini? Au siyo? Basi tuipeleke kati. Tuunganishw na Morogoro, Manyara, Singida, Iringa na Dodoma, ili kuleta maendeleo. Au siyo?
 
Mkuu yaani ukifika usangu uongee kihehe wana kisikia fresh kwa kuwa rugha yao ni kama kibena tuu. Ko sie huku ni wamoja ila hao kina Mwigulu hatuwajui. Kwanza wanatisha
Acha habari zako,ndugu zenu ni Wagogo ambao wapo Dom na Iringa,Wahehe wapi Dom na Iringa pia..

Hao wa sijui tunasikilizana na blaa blaa kama hizo sio,nimekutajia sababu Zenye mashiko kabisa hapo Kwa nini muwe Kanda ya Kati na sio Nyanda za Juu..

Nakuuliza swali jingine,ukifika stand ya Iringa Costa nyingi zinaenda wapi Kati ya Dom au Mikoa mingine?
 
Kwa hiyo shida ya Iringa kutoendelea ni kuunganishwa na mikoa ya nyanda za juu kusini? Au siyo? Basi tuipeleke kati. Tuunganishw na Morogoro, Manyara, Singida, Iringa na Dodoma, ili kuleta maendeleo. Au siyo?
Ipelekeni huko huko mnakotaka kama hamtaki ndugu zenu wa Dodoma..

Njombe imeamua kuwa na Mbeya sio Iringa.

Umewahi kuona nyumba za udongo au tembe Njombe au Mbeya au Rukwa ama Songwe? Ila Iringa na Dom zimejaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…