Weka ramani acha porojo Mkuu
Sasa Njombe kwamba Iko Katikati ihamishiwe Dom au? Katikati Kwa muktadha gani? Kwa kuwa tayari Makao Makuu ya Kanda yanajulikana hiyo sio kesi tena..
Mambo ya Maghala ya nrfa yapo kuanzia Katavi, Sumbawanga,Songwe, Makambako,Ruvuma ndio kabisaa..
Soko la Kanda ndio soko gani ikiwa Tunduma na Mimba wameshajenga masoko makubwa ya kimkakati ya mazao ya nafaka?
Njombe Ina Muingiliano mkubwa na Iringa ipi? Wilaya ya Makete,Ludewa na Wanging'ombe ni kama za Mbeya so no way Iringa ndugu zake Wagogo..
Hoja yangu Iko pale pale,Iringa ihamishiwe Kanda ya Kati,Dom pale wanajenga Logistics kubwa hakuna mtu wa Iringa atafuta bidhaa Mbeya au Dar Wakati anaweza pata hapo Dom Kwa bei rahisi zilizoletwa na Sgr ikizingatiwa Iringa Dom ni jirani.