Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Nimefika wilaya ya Tarime daah ni hovyo kwelikweli, stand ni mbaya. Hakuna daladala zaidi ya probox mnawekwa hata 10 hadi kwenye buti huko.
Sehemu kubwa ya wilaya na mkoa ni pori tu, ikifika saa mbili watu wamelala mji hauna watu.
Maji ni tatizo japo wamepakana na ziwa victoria.
Watu wa huko wamekaa kishari tu na hawacheki ovyo ovyo.
Yaani kutoka makutano kwenda bunda ni pori tu hata ukitekwa hupati msaada. Nimetembea baadhi ya mikoa lakini Mara hapana kupo tofauti!
Sehemu kubwa ya wilaya na mkoa ni pori tu, ikifika saa mbili watu wamelala mji hauna watu.
Maji ni tatizo japo wamepakana na ziwa victoria.
Watu wa huko wamekaa kishari tu na hawacheki ovyo ovyo.
Yaani kutoka makutano kwenda bunda ni pori tu hata ukitekwa hupati msaada. Nimetembea baadhi ya mikoa lakini Mara hapana kupo tofauti!