Mkoa wa Mara ni moja ya mikoa ya iliyo nyuma kimaendeleo katika nchi hii

Mkoa wa Mara ni moja ya mikoa ya iliyo nyuma kimaendeleo katika nchi hii

Matajili walioikamata Mwanza ni hao watu wa Mara hasa Wakurya na wajaluo.

Mfano Gachuma, Zacharia na La Kairo hawa ni Wakurya, angalia mpaka Wenje ni Mkurya sijui mjaluo lakini alipata ubunge Nyamagana Mwanza.
Suala la mtu kupata ubunge halina uhusiano na wapi utokako. Pia umetaja wachache, ila wengi ni washamba sana.
 
Suala la mtu kupata ubunge halina uhusiano na wapi utokako. Pia umetaja wachache, ila wengi ni washamba sana.
Toka kwenu nenda ukagombee ubunge Moshi tuone.

Unadhani Wachaga ni matutusa wachaguwe mbunge muhindi au Chasaka?
 
Mtoa mada umeongea ukweli japo watu watakushambulia sababu ni kwao.Hilo la kusema kutoka Makutano mpaka Bunda ni pori umepuyanga. Mengine ni ukweli.Sijafika Tarime ila wenyeji wangu Butiama waliniambia kwa Mkoa wa Mara Tarime ndio kuzuri.
Exactly, na ndiyo wilaya yenye uchumi imara ukiringanisha na wilaya zingine za Mara
 
Toka kwenu nenda ukagombee ubunge Moshi tuone.

Unadhani Wachaga ni matutusa wachaguwe mbunge muhindi au Chasaka?
Huna akili, Tanzania hii kuna makabila kibao kuna ngozi nyeupe kibao. TABORA, MOROGORO, LINDI, MTWARA, DAR, TANGA nk hiyo mikoa kuna Ngozi nyeupe wazawa kama ulivyo wewe mlima chumvi.
 
Huna akili, Tanzania hii kuna makabila kibao kuna ngozi nyeupe kibao. TABORA, MOROGORO, LINDI, MTWARA, DAR, TANGA nk hiyo mikoa kuna Ngozi nyeupe wazawa kama ulivyo wewe mlima chumvi.
Kwahiyo unajidanganya Abood na Shabiby ni Waruguru?

Upumbavu huu huwezi kuukuta Moshi au umasaini, kuna makabila duni kama hayo uliyoyataja ndio yanajisikia fahari kutawaliwa na wahindi na Waarabu.
 
Kwahiyo unajidanganya Abood na Shabiby ni Waruguru?

Upumbavu huu huwezi kuukuta Moshi au umasaini, kuna makabila duni kama hayo uliyoyataja ndio yanajisikia fahari kutawaliwa na wahindi na Waarabu.
Tuambie wewe makabila yao.
 
HAUHTAJI TENA KUFANYIWA UPASUAJI ILI KUPONA BAWASRI..............

Kama Umekua Ukitamani Kufahamu Njia Rahisi Na Za Haraka za Kupona Bawasiri Bila Upasuaji Basi Nina Habari Njema Sana Kwako..

Tumekuandalia Mafunzo Ya Bure Kabisa Kupitia WHATSAPP Ambapo Utajifunza Bure Jinsi Ya Kumaliza Changamoto Ya Bawasiri Bila Upasuaji

Hivyo .. Utaweza Kumaliza Kabisa Changamoto Ya Bawasiri Ukiwa Nyumbani Kwako, Bila Upasuaji....

Na Hii Ina Maana kua Utaweza Kuokoa Pesa Na Gharama Kubwa Ya Kufanyiwa Upasuaji

Na Hatimae Utaweza Kufurahia Maisha Yako Kama Kawaida

[ Gusa Hapa Kujiunga ]



Mafunzo Haya Ya BUREE Yanahitaji Watu 200 tu na Mpaka Sasa Zaidi Ya Watu 100+ Wamesha Jiunga na Darasa.

Hivyo Kabla Nafasi Hazijaisha Basi Jiunge Kwa Kugusa Link Hapa Chini

 
Inawezekana umehadithiwa ndugu, kutoka makutano Hadi bunda ni pori!

Ukitoka makutano Kuna vijiji na mitaa kadhaa yenye zahanati, vituo vya afya na hata vituo vya polisi,

Mfano makutano- nyakanga- irimba- kiabakari- nyamikoma- mwibagi- bitaragulu- manyamanya unaingia bunda mjini hizi zote nimekutajia senta za barabarani Tena zilizochangamka pita kiabakari hapo mjini kabisa bro
Umechanganya mafaili ye anazungumzia kutoka makutano kwenda tarime na sio kurudi kwenda bunda.
 
Bisarya, Kiarano
Mara nimezimiss sana hizi pande bisalia , rwamkoma , kiabakari nyamuswa kule chini bwawani kialamo sijui by the way kupo vizur ila radi zinazopiga kule ikifuatiwa na miungulumo sijawahi iona aisee toka nizaliwe .
 
Kasome vizuri alichokiandika
Naomba kunukuu


"Yaani kutoka makutano kwenda bunda ni pori tu hata ukitekwa hupati msaada. Nimetembea baadhi ya mikoa lakini Mara hapana kupo tofauti!"
Mwisho wa kunukuu

Lakini hata kutoka makutano mpaka tarime mbona full burudani senta kibao njiani haumalizi km 5 Hadi kumi hajashuka mtu
 
Ondoa Mtwara hapo, huo mkoa nimekaa sana, huwezi linganisha na Mara, na Mtwara uko mbele kwa mikoa kibao nchi hii. Vijiji vya Mtwara vina utofauti sana na vya Mara. Mtwara kila kijiji kina soko, vijiji karibu vyote vinafikika.
We si mzima kabisa upstair, nimeishi na kufanya kazi Lindi na Mtwara, acha kabisa kulinganisha huo ujingaa wako na mkoa wa Mara. Acha kabisa ujuaji na usirudie tena.
 
Matajili walioikamata Mwanza ni hao watu wa Mara hasa Wakurya na wajaluo.

Mfano Gachuma, Zacharia na La Kairo hawa ni Wakurya, angalia mpaka Wenje ni Mkurya sijui mjaluo lakini alipata ubunge Nyamagana Mwanza.
La Kairo na Wenje ni wajaluo. La Kairo akitokea kijiji cha utegi na Wenje akitokea Shirati zote ziko wilaya ya Rorya.
 
Back
Top Bottom