Mkoa wa Mara ni moja ya mikoa ya iliyo nyuma kimaendeleo katika nchi hii

Mkoa wa Mara ni moja ya mikoa ya iliyo nyuma kimaendeleo katika nchi hii

Nimefika wilaya ya Tarime daah ni hovyo kwelikweli, stand ni mbaya. Hakuna daladala zaidi ya probox mnawekwa hata 10 hadi kwenye buti huko.

Sehemu kubwa ya wilaya na mkoa ni pori tu, ikifika saa mbili watu wamelala mji hauna watu.

Maji ni tatizo japo wamepakana na ziwa victoria.

Watu wa huko wamekaa kishari tu na hawacheki ovyo ovyo.

Yaani kutoka makutano kwenda bunda ni pori tu hata ukitekwa hupati msaada. Nimetembea baadhi ya mikoa lakini Mara hapana kupo tofauti!
Unataka wacheke cheke ili uwafanyeje?
 
Kitu ambacho ukijui labda nikupe elimu leo, Butiama ni kijiji, Nyerere hakutaka Ardhi ya Zanaki ipoteze asili yake, alijitahidi kwa akili kubwa kutunza asili kama Maasai.

Nimrod Mkono ni tajiri kitambo lakini alikuwa anakaa Nyumbani kwa baba yake Buswege, baada ya Nyerere kufa sasa Nimrod Mkono akashusha hekalu la nguvu Nyumbani kwake akahama kwa baba yake.

Nyerere angekuwa hai asingekubali Butiama kuwa wilaya, ni mtu hakutaka kabisa kuona Ardhi ya Zanaki inajengwa mahekaru.

Kitu cha msingi alichokifanya Butiama ni Kujenga hospitali ya wilaya kijijini Butiama na kanisa kubwa katoliki lilijengwa pale kitambo.

Musuguli na Butiku wote wanatoka Butiama ñilioneshwa Nyumbani zao ni za kawaida wote walimuogopa Nyerere, sijui kwa sasa kama wamefanya maajabu, hii ndio siri ya Michael ya Wazanaki kutowa wasomi na watu walioshika Madaraka makubwa lakini hakuna aliyewekeza kwao wa wala Kujenga maghorofa kama ya uchagani, mchawi wao ni Nyerere.
Mkuu kwa hili nakubaliana na wewe asilimia 100,japo kuna ukweli mdogo umepindisha nadhani kwa kutojua,na jibu nalokupa hapa lilitoka moja kwa moja mdomoni kwa Nyerere kwenda kwa aliyenipa taarifa.Sio kwamba Nyerere hakupenda Butiama iendelee,ukweli ni kwamba Nyerere aliwajua wazanaki walivyo,kuleta maendeleo makubwa Butiama ilimaanisha kuleta wageni kwa wingi.Nyerere alijua wageni wakija kwa wingi Butiama wangeshika mihimili yote ya uchumi na kuwatoa wazanaki Butiama kama vile leo hii Wazaramo walivyotolewa Dar na mifumo ya kiuchumi.Kwahiyo tukubaliane mambo yafuatayo;
1.Butiama ipo nyuma kimaendeleo
2.Nyerere hakuleta maendeleo makubwa Butiama sababu alitaka kulinda Zanaki na asili yake.
 
Mengine yapi ya ukweli?

Unasema kwa Kinywa chako mwenyewe kwamba hujafika Tarime ila tena unasema ni ukweli,hivi una akili timamu kweli?
Wewe akili yako unavyoona ni timamu? Mtoa mada kazungumzia Tarime na mkoa wa Mara.Tarime sijafika lakini naishi Mara.
Una povu jingine?
 
Acha ujinga. Mara uifananishe na Geita?

Hata Kwa takwimu za NBS huwezi
We ni makalio ya mbwa kabisa...we unadhani hapa nazungumzia pale mjini et? Nitajie manispaa yoyote inayopatikana mkoa wa Geita nilkutumie laki saiv.
 
😂🤣Binafsi nimefika Musoma ni mji mzuri umetulia nikatembelea mpk Mwigobelo Lakeshore. Wenyewe wanaita "Mwalo" nikanunua na Sato wangu kadhaa. Nikakuta wanachuna ngozi za samaki,nilipouliza wakasema wanatoa MABONDO which cjui ni kitu 😂 gani.!!??
Maana ckufanikiwa kukiona.
But Kwa huko vijijini kama tarimba,rorya na butiama cjafika asee. Nice mkweli.😀😀
 
Hujatembea kama hivyo ndio vigezo unavyotumia kupika umaskini wa watu. Hivi wewe ulishafika kigoma uone mapori? Usha fika katavi?

Usha chochora ukafika lindi na mtwara? Hebu zunguka Tanzania kwanza afu urudi kufanyia masahihisho uzi wako
Ondoa Mtwara hapo, huo mkoa nimekaa sana, huwezi linganisha na Mara, na Mtwara uko mbele kwa mikoa kibao nchi hii. Vijiji vya Mtwara vina utofauti sana na vya Mara. Mtwara kila kijiji kina soko, vijiji karibu vyote vinafikika.
 
Kwako wewe hayo ndio maendeleo?
Kwako maendeleo nini? Kwangu cha kwanza kipato cha mtu mmoja mmoja, pato la mkoa jumla, hali za maisha ya watu kwa kutazama huduma za jamii Kama shule, hospt, umeme, barabara, maji nk. Pia shughuli za uzalishaji, upatkanaj wa ajira rasm na zisizo rasmi.yapo mengi lakn uwepo wa miji, manispaa na majiji ni ishara ya maendeleo.
 
Kwako maendeleo nini? Kwangu cha kwanza kipato cha mtu mmoja mmoja, pato la mkoa jumla, hali za maisha ya watu kwa kutazama huduma za jamii Kama shule, hospt, umeme, barabara, maji nk. Pia shughuli za uzalishaji, upatkanaj wa ajira rasm na zisizo rasmi.yapo mengi lakn uwepo wa miji, manispaa na majiji ni ishara ya maendeleo.
Sawa Mimi kwetu Mbeya,, unaweza ukilinganisha Mbeya na Mara?
 
Mara ni mkoa wa kipumbavu kuanzia Mazingira na watu wake, watu wake wengi ni Uncivilised, maisha yao huko vijijini ni kama enzi za Zama za Mawe huko.

Wakifika mjini ni washamba zaidi, always ujanja wao kwa wanaume ni kupiga wake zao, na kujiua. Ndio mkoa unaongoza kwa wanaume wengi kujiua.

Ule Mkoa ulipaswa kuwa PORI LA AKIBA TU.
 
Bitozi nyangema anajiita 2 pac unawajua kina nyangema wewe ni hao kutoka kanda maalum
 
Hujatembea kama hivyo ndio vigezo unavyotumia kupika umaskini wa watu. Hivi wewe ulishafika kigoma uone mapori? Usha fika katavi?

Usha chochora ukafika lindi na mtwara? Hebu zunguka Tanzania kwanza afu urudi kufanyia masahihisho uzi wako
Daaah Yaan toka Mbagala hadi Lindi uchochore Newal ni uzumbukuku tupu, Huko Tarime nimesoma ila sijaona sehemu za hovyo kama kusini ukifika lazima ujihisi upo nje ya TZ
 
😂🤣Binafsi nimefika Musoma ni mji mzuri umetulia nikatembelea mpk Mwigobelo Lakeshore. Wenyewe wanaita "Mwalo" nikanunua na Sato wangu kadhaa. Nikakuta wanachuna ngozi za samaki,nilipouliza wakasema wanatoa MABONDO which cjui ni kitu 😂 gani.!!??
Maana ckufanikiwa kukiona.
But Kwa huko vijijini kama tarimba,rorya na butiama cjafika asee. Nice mkweli.😀😀
Mabondo ni raw material wateja wakuu ni Wachina, wananunua na kusafirisha China wanatengenezea nyuzi za oparesheni.

Ndio siri ya Kwa nini siku hizi utumbo wa Ng'ombe na mbuzi unaoitwa kitabu huwezi kupata, Wachina wameshatowa order machinjioni, utumbo wa kitabu labda uchinje mwenyewe mnyama ndio utaupata kwa sasa.

Do ur research.
 
Mara ni mkoa wa kipumbavu kuanzia Mazingira na watu wake, watu wake wengi ni Uncivilised, maisha yao huko vijijini ni kama enzi za Zama za Mawe huko.

Wakifika mjini ni washamba zaidi, always ujanja wao kwa wanaume ni kupiga wake zao, na kujiua. Ndio mkoa unaongoza kwa wanaume wengi kujiua.

Ule Mkoa ulipaswa kuwa PORI LA AKIBA TU.
Matajili walioikamata Mwanza ni hao watu wa Mara hasa Wakurya na wajaluo.

Mfano Gachuma, Zacharia na La Kairo hawa ni Wakurya, angalia mpaka Wenje ni Mkurya sijui mjaluo lakini alipata ubunge Nyamagana Mwanza.
 
Back
Top Bottom