Mkoa wa Mara ni moja ya mikoa ya iliyo nyuma kimaendeleo katika nchi hii

Mkoa wa Mara ni moja ya mikoa ya iliyo nyuma kimaendeleo katika nchi hii

Inawezekana umehadithiwa ndugu, kutoka makutano Hadi bunda ni pori!

Ukitoka makutano Kuna vijiji na mitaa kadhaa yenye zahanati, vituo vya afya na hata vituo vya polisi,

Mfano makutano- nyakanga- irimba- kiabakari- nyamikoma- mwibagi- bitaragulu- manyamanya unaingia bunda mjini hizi zote nimekutajia senta za barabarani Tena zilizochangamka pita kiabakari hapo mjini kabisa bro
Mkuu ndizi za hapo Kiabakari bado zinapatikana?
 
Kule kuna maisha magumu Sana , wachache wakipata hela wanapakimbia , na wengi hujificha Mwanza , wawekezaji wengi pale Mwanza wanatokea huko , nimewahi ishi Bunda pia humo ndani ndani aisee watu wanashindia ugali wa mhogo na mboga za majani non stop ....

Maji nayo shida tupu , watu wanaishi miserable life Kwa kweli , Sura zimechoka , wadada Wana maumbo mazuri Ila housing ya kiwango cha Tecno , wanaume Wana muonekano wa kibabe tabasamu unalitafta Kwa tochi , Ila hawa jamaa Wana msimamo Sana basi Tu walichelewa kupata elimu
 
Nimefika wilaya ya Tarime daah ni hovyo kwelikweli, stand ni mbaya. Hakuna daladala zaidi ya probox mnawekwa hata 10 hadi kwenye buti huko.

Sehemu kubwa ya wilaya na mkoa ni pori tu, ikifika saa mbili watu wamelala mji hauna watu.

Maji ni tatizo japo wamepakana na ziwa victoria.

Watu wa huko wamekaa kishari tu na hawacheki ovyo ovyo.

Yaani kutoka makutano kwenda bunda ni pori tu hata ukitekwa hupati msaada. Nimetembea baadhi ya mikoa lakini Mara hapana kupo tofauti!
Wacha mapori yashamiri huko Mara ni muhimu kwa wanyama pori wetu.
 
Mtoa mada umeongea ukweli japo watu watakushambulia sababu ni kwao.Hilo la kusema kutoka Makutano mpaka Bunda ni pori umepuyanga. Mengine ni ukweli.Sijafika Tarime ila wenyeji wangu Butiama waliniambia kwa Mkoa wa Mara Tarime ndio kuzuri.
 
Kule kuna maisha magumu Sana , wachache wakipata hela wanapakimbia , na wengi hujificha Mwanza , wawekezaji wengi pale Mwanza wanatokea huko , nimewahi ishi Bunda pia humo ndani ndani aisee watu wanashindia ugali wa mhogo na mboga za majani non stop ....

Maji nayo shida tupu , watu wanaishi miserable life Kwa kweli , Sura zimechoka , wadada Wana maumbo mazuri Ila housing ya kiwango cha Tecno , wanaume Wana muonekano wa kibabe tabasamu unalitafta Kwa tochi , Ila hawa jamaa Wana msimamo Sana basi Tu walichelewa kupata elimu
Akili zako hazikutoshi, unajuwa bei ya kilo moja ya unga wa muogo ni bei gani?

Je unaelewa faida za mboga za majani?

Kila Kabila wana vyakula vya asili, Bukoba ni ndizi na Mara ni ugali wa muhogo na ndio maana unapozungumzia Jeshi basi unazungumzia Mara, hivyo vyakula ndio vimewakuza kuwa wakakamavu.

Kwenu chakula cha asili ni kipi?
 
Nimefika wilaya ya Tarime daah ni hovyo kwelikweli, stand ni mbaya. Hakuna daladala zaidi ya probox mnawekwa hata 10 hadi kwenye buti huko.

Sehemu kubwa ya wilaya na mkoa ni pori tu, ikifika saa mbili watu wamelala mji hauna watu.

Maji ni tatizo japo wamepakana na ziwa victoria.

Watu wa huko wamekaa kishari tu na hawacheki ovyo ovyo.

Yaani kutoka makutano kwenda bunda ni pori tu hata ukitekwa hupati msaada. Nimetembea baadhi ya mikoa lakini Mara hapana kupo tofauti!
Watu Wanaogopa kuhamia na kufanya kazi huko maana panga Nje Nje GENTAMYCINE
 
Mara nilifika musoma na nyamongo kule kwenye machimbo ya dhahabu ni pazuri lakini watu wake kwa kiasi kikubwa sio wakarimu, ukiwa nao hivi unatakiwa ujiandae kwa lolote, ongea yao tuu kama wana gombana 🚶🚶🚶🚶
 
Mara nikifika musoma na nyamongo kule kwenye machimbo ya dhahabu ni pazuri lakini watu wake kwa kiasi kikubwa sio wakarimu, ukiwa nao hivi unatakiwa ujiandae kwa lolote, ongea yao tuu kama wana gombana 🚶🚶🚶🚶
UMUGHAKA
 
Mtoa mada umeongea ukweli japo watu watakushambulia sababu ni kwao.Hilo la kusema kutoka Makutano mpaka Bunda ni pori umepuyanga. Mengine ni ukweli.Sijafika Tarime ila wenyeji wangu Butiama waliniambia kwa Mkoa wa Mara Tarime ndio kuzuri.
Kitu ambacho ukijui labda nikupe elimu leo, Butiama ni kijiji, Nyerere hakutaka Ardhi ya Zanaki ipoteze asili yake, alijitahidi kwa akili kubwa kutunza asili kama Maasai.

Nimrod Mkono ni tajiri kitambo lakini alikuwa anakaa Nyumbani kwa baba yake Buswege, baada ya Nyerere kufa sasa Nimrod Mkono akashusha hekalu la nguvu Nyumbani kwake akahama kwa baba yake.

Nyerere angekuwa hai asingekubali Butiama kuwa wilaya, ni mtu hakutaka kabisa kuona Ardhi ya Zanaki inajengwa mahekaru.

Kitu cha msingi alichokifanya Butiama ni Kujenga hospitali ya wilaya kijijini Butiama na kanisa kubwa katoliki lilijengwa pale kitambo.

Musuguli na Butiku wote wanatoka Butiama ñilioneshwa Nyumbani zao ni za kawaida wote walimuogopa Nyerere, sijui kwa sasa kama wamefanya maajabu, hii ndio siri ya Michael ya Wazanaki kutowa wasomi na watu walioshika Madaraka makubwa lakini hakuna aliyewekeza kwao wa wala Kujenga maghorofa kama ya uchagani, mchawi wao ni Nyerere.
 
Mara nikifika musoma na nyamongo kule kwenye machimbo ya dhahabu ni pazuri lakini watu wake kwa kiasi kikubwa sio wakarimu, ukiwa nao hivi unatakiwa ujiandae kwa lolote, ongea yao tuu kama wana gombana 🚶🚶🚶🚶
Ulitaka waongee na wewe kama wanawake?

Huko ndiko wanakotokea wanaume halisi wa nchi hii
 
Mtoa mada umeongea ukweli japo watu watakushambulia sababu ni kwao.Hilo la kusema kutoka Makutano mpaka Bunda ni pori umepuyanga. Mengine ni ukweli.Sijafika Tarime ila wenyeji wangu Butiama waliniambia kwa Mkoa wa Mara Tarime ndio kuzuri.
Mengine yapi ya ukweli?

Unasema kwa Kinywa chako mwenyewe kwamba hujafika Tarime ila tena unasema ni ukweli,hivi una akili timamu kweli?
 
Kule kuna maisha magumu Sana , wachache wakipata hela wanapakimbia , na wengi hujificha Mwanza , wawekezaji wengi pale Mwanza wanatokea huko , nimewahi ishi Bunda pia humo ndani ndani aisee watu wanashindia ugali wa mhogo na mboga za majani non stop ....

Maji nayo shida tupu , watu wanaishi miserable life Kwa kweli , Sura zimechoka , wadada Wana maumbo mazuri Ila housing ya kiwango cha Tecno , wanaume Wana muonekano wa kibabe tabasamu unalitafta Kwa tochi , Ila hawa jamaa Wana msimamo Sana basi Tu walichelewa kupata elimu
Tuambie huko kwenu kama watu wanashindia Ugali na Nyama kila siku?

Yaani mtu alime mboga za majani kukabiliana na uchumi wewe umtake kila siku ale ugali na kuku?

Anye enilola ku mutwe gwao jitalimo kisi mwana wa jomba!.

Mboga kuu ya watu wa Bunda ni Dagaa,samaki wadogo(Madegele,furu,nembe n.k),Mkubhi,myobhyo,Samaki wakubwa,na nyama kama kifungashio.

Sasa wewe mpitaji unataka uwapangie wale nini!.

Mnapokuwa mnataka kuleta Comparison muwe mnasema mmetoka wilaya gani tuwe tunapima ili kuupata ukweli wa sehemu mnazotoka,siyo unaamka asubuhi mashavu ya uke yakiwa yanawasha unakuja unaleta ujuaji wa sehemu ambayo huifahamu.
 
Nimefika wilaya ya Tarime daah ni hovyo kwelikweli, stand ni mbaya. Hakuna daladala zaidi ya probox mnawekwa hata 10 hadi kwenye buti huko.

Sehemu kubwa ya wilaya na mkoa ni pori tu, ikifika saa mbili watu wamelala mji hauna watu.

Maji ni tatizo japo wamepakana na ziwa victoria.

Watu wa huko wamekaa kishari tu na hawacheki ovyo ovyo.

Yaani kutoka makutano kwenda bunda ni pori tu hata ukitekwa hupati msaada. Nimetembea baadhi ya mikoa lakini Mara hapana kupo tofauti!
Kweli mkoa wa mara huko nyuma tumekusikia,tunaomba ututajie kijijini kwenu tupajue na kabila lako nihayo tu
 
Back
Top Bottom