ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Tobaa wazee wa probox wanakusoma ujue....Mara ni mkoa wa kipumbavu kuanzia Mazingira na watu wake, watu wake wengi ni Uncivilised, maisha yao huko vijijini ni kama enzi za Zama za Mawe huko.
Wakifika mjini ni washamba zaidi, always ujanja wao kwa wanaume ni kupiga wake zao, na kujiua. Ndio mkoa unaongoza kwa wanaume wengi kujiua.
Ule Mkoa ulipaswa kuwa PORI LA AKIBA TU.