kondoowasufi
Senior Member
- Aug 19, 2014
- 190
- 184
Huwa wana riba ya theory na practical. FuatiliaHuo mkopo wako riba yaje ni 26.36% kwa mwaka, yawezekana unalipa hivyo kama sio mfanyakazi wa serikali, maana najua riba ya sasa inacheza 19% mpaka 17%, sasa kwa nini ulipe riba kubwa hivyo?
Kwani mwaka una miezi sita mkuu?Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Kausha basiKwani mwaka una miezi sita mkuu?
12milMkopo ni shilingi ngapi? Utakatwa kwa muda gani?
Wewe ndo hujui hesabu mkuu piga hiviHuu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
12mil
Poa haina noma mkuu.Kausha basi
Labda huo ni mkopo kwa ajili ya wapita njia! Yenye maximum risk!Iko namna hii, Algebra hii na wala sio Albadiri
Kakopa 9m, malipo kila mwezi 250k , muda ni miaka 6 (mwaka 1=miezi 12, zidisha 6mara 12 unapata 72)
Hivyo, fanya namna hii, 250k mara 72=18milioni.
Na hizi bado hajaweka chaji nyingine za kibenki zinazoweza kukaribia mawe kumi
Ila kwa riba ya 100 asilimia naamini hii NMB ya kipekee (wanafanya usury)
Hii nchi kuna mambo mengi ya msingi sana hayapewi kipao mbele mana hayana madili kama ilivyo miradi mikubwa ambayo bila shaka Kuna wachache wananufaika nayo sana kwa niaba ya wengi.
Wenzetu Waarabu wana mfumo wao wa mikopo isiyo na riba wakifuata misingi ya dini ya kiislam.
Waafrika tumefuata mifumo hiyo ya mariba makubwa makubwa lakini yanazidi kutupa umaskini na watu wengi wanashindwa kulipa hasa wafanyabiashara mana riba ni kubwa sana wanaolipa kwa urahisi ni wafanyakazi na wanasiasa ambao Mara nyingine wanaahidiana kusaidiana kulipa alimradi watumikie siasa na kampeni au kuhama vyama.
Sisi tunafuata mifumo yote ya kifedha ya nchi za magaharibi lakini wakitoa ushauri wanaitwa mabeberu.
Sijui Link waafrika tutakua na mifumo wetu wa kifedha.
Waafrika sijui tulilogwa na nani?
Kasema anakatwa 250,000 kwa mwezi na atakatwa kwa miaka 6,Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
usijekuta hiyo hela ulihonga kimada na nyingine ukafadhili msiba, pole sana,Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
Ebu futa hii comment yako Mkuu inachekesha sana daaahHuu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Labda huo ni mkopo kwa ajili ya wapita njia! Yenye maximum risk!
Mkuu mbona umekua na haraka Sana?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya