KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
we jamaa kiazi sana na sina shaka kama huko nyuma uko salama 🌈 huwezi Kila kitu ukaingiza maneno majungu nyie ndio mnaoteka raia mitaani we ungekuja hapa Kwa fact na najua ww ni member wa Garda world badilikeni hata hao walinzi sio kama wa zaman asaiv walinzi wengi 60% ni graduate walio kosa kazi Kwa Sheria wanajua sio kama zaman umsukume tu kama mtt badilika mkuu
Yanayotoka mdomoni kwako yanaonesha jinsi ulivyo. Fanyeni kazi acheni kulialia. Ukiona hapakufai acha hio kazi ukatafute sehemu bora zaidi.
 
Garda world jamaaa wananhasira za kipumbavu kweli walinz wao njaa njaa sana sema tunaish nao asanteh gardabworld kuna chochobmlituletea mlinzi ana nyama nyingi tukajilia mbususu wandewa sema siku iz mnaajir mpka wacheza baikoko.
 
unamanisha nini mkuu,..kama walioko huko hawakupita hizo elimu au hawakukesha..
sema astaghagirul
Naijua kwa uchache hiyo security company ambayo chimbuko lake ni huko American nahisi, ndani Kuna wasomi kibao Kuna hadi waandisi wapo ,wapo wadada wameajiriwa leo katika balozi mfano ni Japan Embassy ila walianza kama walinzi. Kila mtu ana namna yake ya kuyafikia mafanikio. Nimewahi kutana na mfanyakazi wa Tanganyika International School ila alianza kama guard kupitia hao hao Garda.
 
Gardaworld inaendeshwa kihuni sana fika hata mwanza kwenye tawi lao ,utaona siku ya interview ,mtu mwenye Degree anafukuzwa kisa hafit 5.7 alafu mwenye 5.7 ni lasaba na ndo hupewa kipaumbele , sasa hivi rushwa imetawala GARDAWORLD kwa kiwango kikubwa, HR ALPHAXAD na TRAINEE OCHANDA OTIENO wamekuwa washenzi sana ,kutoa majibu mepesi mepesi . G4S na SGA ni kampuni zenye UBORA wa huduma nakujali wafanyakazi wake.
 
Aah kwa hapo lazma mgongano wa maslahi utakuwepo.
Mkuu,

Ametumia maneno makali sana (indecency) haya ijapokuwa ni haki yake kutoa dukuduku lako la moyoni. Uungwana huwa hauozi usemapo ukweli unaweza kucheleshwa lakini haupotei kamwe.
Je, hizo kampuni unazozitaja za KK, Ultimate, SGA, G4S na West zimeungana kwa utaratibu wa kisheria au kukodiana katika maeneo mojawapo inapoweza?

Je, hizo kampuni zilinunuliwa na kampuni ya Gardaworld asilimia 100% kwa uthibitisho upi?

Kama zimebadili majina ya mwanzo zilifuata utaratibu wa sheria za Tanzania?

Je, kampuni zenye asili ya uanzishwaji wake Tanzania ni zipi kati ya hizo?

Je, taarifa hizi hapa kuhusu asili za kila kampuni ni za kweli?
1. KK Security-Nairobi Kenya?
2. G4S-Uingereza?
3. Ultimate Security-Tanzania?
4. SGA-Uingereza?
5. Group Four-Uingereza (Ilivunjika zikaundwa SGA na G4S)?
6. West Security-Lake zone-Tanzania?
7. Gardaworld International Protective Services-Montreal/Quebec-Canada?
8. Warrior Security/Insight Security-Kenya/Tanzania?

Je, kampuni iliyoasisiwa nje ya nchi na makao yake makuu bado yako nje, tawi lake linaweza kubadili jina kinyemela kabla ya mmiliki halali hajabadili kwa kufuata taratibu za nchi ilikowekeza? Kifungu cha 31(3) na 400(3), (5) cha sheria ya makampuni kuhusu kufutwa au kubadili jina vilifuatwa ipasavyo?
1. Sheria za kazi kuhusu wafanyakazi ndio zinahusika
2. Sheria za makampuni (company act, Fair Competition Commission, Business transfer na Brela) zinawahusu wamiliki wa share za ukwasi
3. Special Resolution (maazimio maalum) kutoka board of directors
3. Kusudio la kufuta kampuni, kubadili jina, kuhamisha umiliki wa ukwasi wa kampuni tanzu kwenda kampuni au taasisi mpya ni sharti kuwepo na tangazo kwenye gazeti la serikali (Government Gazette)
4. Kama mojawapo ya hatua hazikufuatwa ipasavyo hapo tayari utakuwa umezalishwa mgogoro wa mahusiano ya mmiliki ukwasi wa kampuni na wafanyakazi na suluhisho sheria imeweka bayana kitu gani kutibu madhara hayo.
Business Transfer Procedures
The process of Share Transfer
  • Notice to directors of the company.
The seller/shareholder must give notice to the directors on his intention to sell his shares to the members and the director must notify the members of the same.
  • Resolution to transfer the shares.
the company must resolve and agree on the said transfer of the share. This can be done through the extraordinary meeting of the company, where the members will be notified of the intention of the shareholder to sell his share, and if they agree they must resolve as such.

  • Sale Contract and Share Transfer instrument
Once the company has resolved that the shares can be transferred, then the shareholder and the purchaser must execute the sale contract, to save as evidence that the shares have been transferred.

In addition to the sale contract the seller and the purchaser must also execute the Share Transfer Instrument, which signifies that the transferor/seller has transferred his shares to the transferee, the transferee has accepted such transfer and the company has consented to the said transfer of a share, by executing their signature on the said document, by the transferor, transferee and two directors or director and secretary on behalf of the company.

The share transfer instrument is so important that the share transfer will be regarded as incomplete if the instrument is not executed by either party.

  • Payment of Capital Gain Tax.
Generally, the transfer of property is charged CGT by the government, and the tax is charged to the person who has earned monetary value from the transfer of property, in this case, the Seller/Transferor, however, the parties are not prohibited to make personal arrangement on who will cover the said tax.

In Tanzania, the CGT is charged at 10% of the value of the contract or the estimated value made by the taxing officer depending on the value of the share at the current market, whichever is greater.
The tax is paid to the Tanzania Revenue Authority, through the control number issued by the authority for payment of the same. After paying the CGT, the authority issues the tax clearance certificate to acknowledge full payment of the required amount of tax, by the transferor/seller.
  • Notification to the registrar of companies about Share Transfer.
Once the transfer has been completed, the next stage is to notify the registrar of companies of the same, so that he can update the company information in the registry.
The company will have to file with the registrar, the resolution which authorized the sale, the copy of the sale contract, together with the tax clearance certificate from TRA. In addition to the above notification, the said changes also have to be shown in the annual return of the company to be filed with the registrar.
  • Surrender & Issuance of Share Certificate.
A share certificate is issued to the shareholder who has fully paid for his shares and it saves as evidence that he is the owner of the fully paid-up shares indicated under the certificate. The share certificate is issued to the shareholders only if the article of association has provided for the same.

If the company issues share certificates to its shareholders, then once the transfer has been completed, the holder of the share certificate at the time of transfer i.e. the seller, has to surrender the certificate to the company as he will cease to be a member once the transfer is done.

Furthermore, upon surrender of the share certificate and completion of the share transfer the company has to issue a share certificate to acknowledge the transfer of shares and recognize the purchaser as one of its members/shareholders.

Restrictions on right of the shareholders to transfer shares are usually in two forms:

Rights of pre-emption:

If a shareholder wishes to sell some or all of his shares, such shares must first be offered to other existing members of the private limited company at a price determined by the Directors or the Auditor of the Company. The value of the shares can be determined based on the formula/method prescribed in the Articles of Association. If no existing shareholder is interested, then shares of the Company can be freely transferred to an outsider.
Powers of Directors to refuse:

The Director may have the powers to refuse registration of transfer of shares under certain circumstances – prescribed in the Articles of Association.
Only restrictions contained in the Articles of Association are considered legally binding. Any private agreement between the shareholders is not binding either on the company or on the shareholders. Further, share transfer can only be restricted by the Articles of Association. The right to transfer shares of a private limited company cannot be an total prohibition or ban on share transferability.
Company name change procedures in Tanzania
Companies need to hold a meeting of members to pass a special resolution approving the name change. This can become a lengthy process unless members holding 95% of the voting shares agree beforehand.
2.0 Alterations of the Memorandum of Association

Section 8(1) of the Companies Act, 2002 (‘the Act’) limits alteration of the memorandum of the company upon satisfaction of the following conditions:

i. The company should be intending to add or remove some or all of its objects reflected under its memorandum of association; or

ii. There should be a conversion of a company from one kind to another, either from a private one to a public one or vice versa.

3.0 Procedures for alteration of the Memorandum and Articles of Association.

The procedure for alteration of the memorandum and articles of association of the company involves the following:

(a) Convening of an extraordinary general meeting

The extra-ordinary general meeting with an object of making alteration of the memorandum and/or articles of association must be convened for a special resolution allowing the company to alter its memorandum and articles of association to be passed. This meeting shall be attended by the shareholders of the company.

(b ) Passing of a special resolution

Shareholders of the company must pass a special resolution allowing the company to make alternations of the memorandum and/or articles of association when such an extraordinary general meeting is convened. This resolution shall be lodged with the Registrar of Companies for purposes of effecting the proposed alterations.

4.0 Documents to be submitted to the Registrar of Companies for alteration of the memorandum and articles of association of the company.

i. Special Resolution of the shareholders (with all the amendments done),

ii. Copy of a memorandum and articles of association (MEMARTS),

iii. Copy of a memorandum and article of association as altered,

iv. Letter requesting a change of name of the company and a new certificate to that effect (in case of conversion of a company),

v. Form No. 29 (For a private company changing into a public company).

5.0 Timeline for submission of the documents to the Registrar (Section 8(9)).

The documents for alteration of the memorandum and/or articles of association should reach the Registrar of Companies within the following timeline:

a) Within 14 days, if there was no application to Court for cancellation of the alternations

b) Within 14 days from the date of the Court’s order canceling or confirming the alternations.

6.0 Right of objection by shareholders disagreeing with the proposed alterations to the memorandum and articles of association (Section 8(2) (a) and (b)).

Shareholders are at liberty to make an application to the High Court, objecting to the proposed alteration to the Memorandum. The application is made at the High Court of Tanzania, Commercial Division). The qualification of shareholders mandated to object to the proposed alteration of the memorandum and articles of association are the following:

a) The holders of not less in the aggregate than ten percent (10%) in nominal value of the company’s issued share capital or any class thereof or, if the company is not limited by shares, members shall be not less than ten percent (10%) of the companies members.

b) The holders of not less than 15% of the company’s debentures entitling the holders to object to alternations of its memorandum.

c) These holders mentioned in (a) and (b) should not be among those who have consented or voted in favor of the alternations.

7.0 Time for applying for objection against the proposed alteration of the memorandum and articles of association.

The application for cancellation of the said alterations needs to be lodged in the Court within 30 days from the date the resolution altering the company’s memorandum and/or articles of association was passed. The hearing and order of the application are as discussed below:

a) Notice to the Registrar of the Companies in case of applications for objection against alteration of the memorandum and articles

If an application is made for objection against the alternation of the memorandum and/or articles of association, the Registrar of the Companies must also be served the same together with a notice for his presence in the Court on the hearing of such application. The requirement for notice to the Registrar was restated by the High Court of Mwanza Registry (Nsekela J,) In the Matter of Mofaju’s Investment Company Ltd [1999] TLR 322 where it was held on page 325 that:

“The Registrar of Companies should be served with notice of and has a right to appear and be heard on applications to confirm alterations of objects and like proceedings in which his records are involved”

b) Court’s Orders for Cancellation or Confirmation of the Alterations (Section 8(4))

Upon the application to the Court against the alterations made to the memorandum and/or articles of association, the Court has the power to make an order for cancellation or confirming those alternations made. The Court’s order is made either to the wholly or in part and on such terms and conditions as it thinks fit.

8.0 Conclusion

A company may alter its memorandum and articles of association in line with the statutory procedure highlighted above. This procedure is done by the sanction of the shareholders. However, shareholders in disagreement with the proposed alterations may file an objection to the High Court. The High Court shall determine such objections and may make an order to confirm the alterations or cancel the same.
 
.......umetuwekea spika ndani ya ukumbi Yani wewe na team yako ya upigaji munaongea bila kuonekana sisi tunasikia tu kwenye spika mtu hatumuoni it's ok hata kama mmeamua kutufanya wajinga lakini sio Kwa level hiyo kikao.....

Hivi hata akikaa pekeyake anajisikiaje
Hawa jamaa @KK , Ultimate na Gardaworld West watalipwa au imetoka miyeyusho na dhuluma na wameogopa kuhoji ubadilishaji kampuni jina na kuhamishiwa kwenda kampuni nyingine ya kigeni kwamba wataachishwa kazi?
Iddy, Extrovert etc
 
we jamaa kiazi sana na sina shaka kama huko nyuma uko salama 🌈 huwezi Kila kitu ukaingiza maneno majungu nyie ndio mnaoteka raia mitaani we ungekuja hapa Kwa fact na najua ww ni member wa Garda world badilikeni hata hao walinzi sio kama wa zaman asaiv walinzi wengi 60% ni graduate walio kosa kazi Kwa Sheria wanajua sio kama zaman umsukume tu kama mtt badilika mkuu
Kweli GARDAWORLD walinzi wao wanateseka kuna mmoja alijinyonga mwaka jana site ya GGML na hii isemwavyo jamaa alitembelewa na kiongozi wake akamkuta amelala ile kutaka kumpiga picha akashtuliwa na Askari polisi waliokuwa nao post moja ndo jamaa ile kushtuka anataka kupigwa picha ndo kuanza kumshambulia kiongozi huyo kwa maneno mazito ,mwisho wasiku yule kiongozi nasikia alikaza ,kilichotokea jamaa aliwaaga askari polisi akisema ngoja aende kukata KIMBA ,hakurudi mpk wenzie waliokuja kumtoa walipomkosa ndo msako ukaanza , walikuta jamaa ameshajinyonga tyr , kiukweli uongozi wa GARDAWORLD ni mbovu sana hata ukienda MWANZA utajuta ni lugha chafu chafu tu , ukimkuta OCHANDA , NA ALPHAXAD hawa watu ni ovyo sana ..
Kampuni lenye ubora la linalojali wafanyakazi ni SGA na G4S ... Hilo gardaworld halifai .
 
Kweli GARDAWORLD walinzi wao wanateseka kuna mmoja alijinyonga mwaka jana site ya GGML na hii isemwavyo jamaa alitembelewa na kiongozi wake akamkuta amelala ile kutaka kumpiga picha akashtuliwa na Askari polisi waliokuwa nao post moja ndo jamaa ile kushtuka anataka kupigwa picha ndo kuanza kumshambulia kiongozi huyo kwa maneno mazito ,mwisho wasiku yule kiongozi nasikia alikaza ,kilichotokea jamaa aliwaaga askari polisi akisema ngoja aende kukata KIMBA ,hakurudi mpk wenzie waliokuja kumtoa walipomkosa ndo msako ukaanza , walikuta jamaa ameshajinyonga tyr , kiukweli uongozi wa GARDAWORLD ni mbovu sana hata ukienda MWANZA utajuta ni lugha chafu chafu tu , ukimkuta OCHANDA , NA ALPHAXAD hawa watu ni ovyo sana ..
Kampuni lenye ubora la linalojali wafanyakazi ni SGA na G4S ... Hilo gardaworld halifai .
kweli mkuu lkn baada ya post hii jamaa aliitisha kikao tulimchana GM jamaa amekubali kutulipa lkn hii kampuni sio kabsa wanaendesha kihuni sana..
 
Mazingira ya walinzi nayaelewa Sana. Garda, G4S, na SGA wanajitahidi Sana. Tatizo ni baadhi ya viongozi wao hasa watanzania, hawajitambui. Haya makampuni mengine ambayo ofisi IPO kwenye fremu, ndio kinyaa kabisa.
Ofisi kiduka kimoja, jina la ofisi ni Nyolomo enterprises. Ukiona tu jina unajua kabisa hapa kulipana tu lazima kuchimbike
 
Mkuu yaani siku hiyo zilikuja coaster tatu walikiuwa na harusi sasa Mimi nikawauliza vipi mnataka kupiga picha mna kibali ?
Na maharusi walikuwepo na wazazi na ndugu wengine na coaster moja ndio lilikuwa na hao vyura na matarumbeta yao.
Baada ya kuwaambia wanipe kibali akaja floor Man wao. Yaani ukimwangalia tu unabaki unacheka kavaa suti ya blue bahari, shati jekundu tai nyeusi na nywele kama Arturo Vidal alikuwaga mchezaji wa Barcelona.
View attachment 3094888
Huyo floor Man muonekano wake ulikuwa kama huyo Mwamba ☝️🤣🤣
Na yeye hajui kama kuna ishu ya kibali nikamwambia kama hauna kibali nyoosha goti mnajaza nzi hapa na hii ni sehemu ya Watalii na watu wenye nazo hatutaki usumbufu, akaniomba sana yule Mwamba yaani alivyokuwa anaongea mpaka nilikuwa nachekea moyoni kwanza alikuwa kalewa na amevuta sana ganja. Mustachi umepigwa piko na kiduku kimepigwa piko halafu imekosewa kosewa 🤣🤣🤣. Nikamwambia lete 50,000 mkapige picha tena sio hapa ni kule Jet. Akalia lia pale akatoa 30,000 nikawambia mpite kimya kimya sitaki kelele wakapita pale na hela washanipa. Wakaelekea Jet, huko jet ni njia ambayo imetengenezwa kutenganisha bahari ili watu wawe wanatembea kwenda kupanda boti za kwenda Mbudya Island.
View attachment 3094893
☝️ Hicho kimshale chekundu ndio kinaelekeza kwenda Jet. Na hapo kwenye Oval shape niliwakatalia wakakubali wakaenda kupiga picha wapo kama watu 80 au zaidi walichukua saa nzima. Sasa wakati wa kurudi walipo fika hapo kwenye Oval shape wakaanza kupuliza maturumbeta na kupiga mingoma yao. 🤣🤣🤣 Chura wakaanza kusaula aisee ilikuwa balaa nilitetemeka nikawa nawatuliza hawataki mpaka nikaanza kutumia Panic Burton kuwavuta lakini hawaelewi mpaka yule Mwenye Hotel ni Mmarekani Mama kibibi kizee kikaniambia Askari acha. Wazungu wakaacha kula bata wakaanza kupiga picha na kurekodi video clips . Wazungu waliinjoi sana. Sasa msala wangu ukawa na Supervisor 🤣🤣🤣🤣
Unanikumbusha zenji nimeka zangu lindo kisiwani kaja boti man wa kisiwa na boti kaipaki nje. Kuja ndani tunapiga hesabu za mafuta ndani ya dakika 15 tu, kutoka nje boti haipo 😂
 
Back
Top Bottom