kasoro inaanzia kwenye jina tu. ERICK HAMISI
Hakika hana CV "kabambe" ni dogo tu alikuwa hapo TIB Mlimani City kama Manager mikopo. Magu akampeleka Mwanza kwenye yale mamiradi ya meli zake (akawa anafanya kazi kwa maelekezo ya Mkulu) In short hana CV ya kuongoza na kupambana na zile sarakasi za pale bandarini.....Niombe mwenye CV ya Mkurugenzi Mpya wa TPA lakini pia tupate experience yake pamoja na Miradi au ofisi alizowahi kuhudumu na mafanikio au mabadiliko aliyosababisha katika ofisi hizo.
Tumekuwa na wateule wa Rais ambao hawajawahi kufanikiwa popote walipowahi kufanya kazi, lakini pia utamaduni wakutumia vyeti vya taaluma nao umetukwamisha kwenye mambo mengi, utaratibu mmoja wakutumia makada wa CCM pia nao umelididimiza Taifa.
Ningependa kujua huyu Bwana huko alikokuwa alifanya nini hadi tumkabidhi bandari zetu?
Ukitafuta taarifa zake mitandaoni haupati ile flavour ya kupata nafasi ya Mkurugenzi wa bandari. Tukumbuke ili ni lango kubwa la uchumi wetu.
Basi wampeleke GwajiboyHakika hana CV "kabambe" ni dogo tu alikuwa hapo TIB Mlimani City kama Manager mikopo .Magu akampeleka Mwanza kwenye yale mamiradi ya meli zake (akawa anafanya kazi kwa maelekezo ya Mkulu) In short hana CV ya kuongoza na kupambana na zile sarakasi za pale bandarini.....
ACHA kukariri, marehemu ameua baba yako na mama yako kikatili bila sababu, leo utasema sema mazuri ya marehemu ya kuwaua baba yako na maa yako haina maana? acha jinga huo. Idd zamin aliua milioni moja maiti zinaelea kagera, leo useme tusimsema mabaya aliyoyatenda. magufuli kaua wengi akina Ben, azory sandarusi MKIRU halafu usme tusiyakumbuke? acha ujinga huo wa kukariri misemo ya kijimaMarehemu hasemwi kwa mabaya kwa sababu hayupo ili kujitetea, tumkumbuke kwa mazuri tu Raisi wetu ambayo alijitoa kwa ajili ya watanzania wote.
Na ndo sababu alifeli piaNdio maana magufuli alikuwa jeuri na kuwajibu shombo maana watanzania mna midomo sana.
CV unaitafuta mitaoni unafikiri kils mtu huwa anakesha mitandaoni kupost CV zake ?CV yake iko wapi? Ni ngumu kupatikana?
Acheni ubabaishaji na blah blah nyingi.
Sasa anae hukumu yupo huko alikokwenda, ukiambiwa uthibitishe vifo ulivyotaja utaweza??????ACHA kukariri, marehemu ameua baba yako na mama yako kikatili bila sababu, leo utasema sema mazuri ya marehemu ya kuwaua baba yako na maa yako haina maana? acha jinga huo. Idd zamin aliua milioni moja maiti zinaelea kagera, leo useme tusimsema mabaya aliyoyatenda. magufuli kaua wengi akina Ben, azory sandarusi MKIRU halafu usme tusiyakumbuke? acha ujinga huo wa kukariri misemo ya kijima
Hizi nafasi watu wanatakiwa wafanye interview na mwisho ziwe za mikataba na siyo kuteuana kishikajiNiombe mwenye CV ya Mkurugenzi Mpya wa TPA lakini pia tupate experience yake pamoja na Miradi au ofisi alizowahi kuhudumu na mafanikio au mabadiliko aliyosababisha katika ofisi hizo.
Tumekuwa na wateule wa Rais ambao hawajawahi kufanikiwa popote walipowahi kufanya kazi, lakini pia utamaduni wakutumia vyeti vya taaluma nao umetukwamisha kwenye mambo mengi, utaratibu mmoja wakutumia makada wa CCM pia nao umelididimiza Taifa.
Ningependa kujua huyu Bwana huko alikokuwa alifanya nini hadi tumkabidhi bandari zetu?
Ukitafuta taarifa zake mitandaoni haupati ile flavour ya kupata nafasi ya Mkurugenzi wa bandari. Tukumbuke ili ni lango kubwa la uchumi wetu.
Tuondoe mambo ya kuteuana, nafasi zitangazwe watu wafanye interview na mwisho iwe ni nafasi za mikataba.Wakosoaji wanatamani wao ndio wateuliwe ila na mimi ningependa kufahamu zaidi ya kutukana mitandaoni ni nini wakosoaji hawa WA kila jambo wamelifanyia Taifa hili.
Labda wanataka wapate uteuzi kwa umahiri wa kukashifu mitandaoni.
ametagulia kule ambapo hata wewe utaenda.Yuko wapi na shonbo zake?
Tasac imefanya kawaida, ukisema imefanya vizuri waambie watoe gawio hata la kipindi Cha mwaka maana wanafanya shughuli za kibiashara kama usajili wa Meli,Clearing and Fowarding,Ship Agency kwa meli za mafuta,ngano,sukari,mbolea n.k.TASAC licha ya kufanya vizuri, DG wake ameondoshwa ofisini.
Yajayo yanafurahisha.
DG aliyepita inabidi amwambie ukweli Mama Samia mapato yote yaliyokusanywa yalipelekwa wapi.TASAC licha ya kufanya vizuri, DG wake ameondoshwa ofisini.
Yajayo yanafurahisha.
....Dunia tunapita, eheee kila kitu kitabaki... majivuno ya niniiiii itabaki mileleee ni milimaaaaaaa.....ametagulia kule ambapo hata wewe utaenda.
Jamaa yupo vizuri Sana anastahili nafasi aliyopata.Kazi za Erick zinaonekana huyo wa TPDC ndio balaa
Mkuu unataka iwe kama Kenya, wao kumpata bosi wa Kenya Port Authority (KPA) inatangazwa nafasi watakao kuwa na vigezo wanaingia kwenye usahili.Tuondoe mambo ya kuteuana, nafasi zitangazwe watu wafanye interview na mwisho iwe ni nafasi za mikataba.
Leo umeongea point hicho kitu kinanikera Sana sijui wabongo wanashida ganiNdio maana magufuli alikuwa jeuri na kuwajibu shombo maana watanzania mna midomo sana.