Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
Taifa la Tanzania ni Taifa Unique Duniani!!! Mungu muumba wa Dunia na vyote vilivyomo na anaeamua Nani kesho awepo nani afe (ata kama ana Maehela na nguvu)!! Ataijalia Tanzania tarehe 30 October 2020 Serikali ambayo Watanzania wanatakiwa kuwa nayo 2020 to 2025🙏🙏Apokei rushwa wala apendi awapendao waishi maisha mabovu kama ajataka🎂Eee Mungu uliyeumba wawepo watawala na watawaliwa,anejua kesho yetu !! uendelee kuipenda Tanzania na wala isiwe chukizo mbele yako,28.10.2020 Utupatie Viongozi tunaostaili kupewa nawe for 2020 to 2025 kwa kuwa Ufalme na Nguvu na Utukufu ni MALI YAKO SASA NA ATA MILELE🙏🙏🙏