Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
bosi haujioni kua wewe ndio zero brain, kwa akili yako ndogo hio kua ni sawa tume ambayo inatakiwa isiegemee upande wowote wala kuonesha wazi itikadi ya kisiasa badala yake ifanye kazi yake inavyopaswa, hii tu inaonyesha mgombea wa ccm hakuna jipya na wananchi maskini walishajichokea kitambo..zero kabisa, yani mnatetea mtu anaetaka kuweka rehani ardhi yetu? Unajidai upo deep kumbe umejaza manyoya tu kichwani. Mkiona hamuwezi kuisapoti CCM bora mkae kimya kuliko kutetea uovu.