Mkutano kati ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Jeshi la Polisi na wadau wa siasa nchini waahirishwa

Mkutano kati ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Jeshi la Polisi na wadau wa siasa nchini waahirishwa

Lengo lao ni cdm ili wawape masharti ya kufanya siasa zisizoiumiza ccm. Wanajua Cdm ndio yenye ushawishi kwani hata kwenye chaguzi Cdm wakisusia wapiga kura halali wa ccm huwa wanaonekana maana huwa ni wachache sana. Sasa hivi tumewaachia wenyewe washiriki uchaguzi, chaguzi zimegeuka kuwa kama disco la watu jinsia moja, halinogi kabisa maana hakuna wa kumkumbatia.
🤣🤣
 
Mi nakubali lakini ugomvi wowote humalizwa kwa njia ya mazungumzo
Sio kama mazungumzo wanayotaka. vitu vya kisheria unavunja sheria kwa makusudi harafu unaita mazungumzo?? Ni rahisi tu badala ya kupoteza muda wa mazungumzo wafate katiba na sheria tu.
 
Mi nakubali lakini ugomvi wowote humalizwa kwa njia ya mazungumzo
Sahihi kabisa. Lakini kabla ya hayo mazungumzo lazima dhamira ya dhati ya kuweka uwanja sawa wa kuendesha siasa ionekane. Kama utakua na kumbukumbu ya mkutano wa ndani wa NCCR Mageuzi uliozuiwa na Polisi Msimbazi Centre hivi karibuni, pale ndipo utaona hiyo dhamira bado iko mbali sana. Elimu ya siasa ya vyama vingi ifikishwe kwa jeshi la Polisi kwanza ndipo vikao vya aina hiyo vitaeleweka. Tatizo kubwa kwa Tanzania ni elimu ya siasa iko chini sana kwa wananchi, ndiyo maana watu wanaona chama cha siasa cha upinzani hakitakiwi kuwepo, na CCM wanatumia ignorance ya watu kuonesha kama vyama vingine vyote havifai, isipokua CCM pekee na kwa sababu POLISI wetu ndo hao wa division 5, basi hali ndiyo inafika tulipo.
 
Sahihi kabisa. Lakini kabla ya hayo mazungumzo lazima dhamira ya dhati ya kuweka uwanja sawa wa kuendesha siasa ionekane. Kama utakua na kumbukumbu ya mkutano wa ndani wa NCCR Mageuzi uliozuiwa na Polisi Msimbazi Centre hivi karibuni, pale ndipo utaona hiyo dhamira bado iko mbali sana. Elimu ya siasa ya vyama vingi ifikishwe kwa jeshi la Polisi kwanza ndipo vikao vya aina hiyo vitaeleweka. Tatizo kubwa kwa Tanzania ni elimu ya siasa iko chini sana kwa wananchi, ndiyo maana watu wanaona chama cha siasa cha upinzani hakitakiwi kuwepo, na CCM wanatumia ignorance ya watu kuonesha kama vyama vingine vyote havifai, isipokua CCM pekee na kwa sababu POLISI wetu ndo hao wa division 5, basi hali ndiyo inafika tulipo.
Natamani washiriki pia mkutano huo uwe live watu wasikie hoja toka pande zote
 
Natamani washiriki pia mkutano huo uwe live watu wasikie hoja toka pande zote
Hutasikia kitu kama hicho. Kama unavyowajua ccm na serikali wanataka chadema ishiriki kama Ruber stamp. Ili kitakachoamuriwa waseme na Chadema walikuwepo. Kama wana nia nzuri si wafate sheria inavyosema?? mazungumzo ya nini?
 
Back
Top Bottom