Mkutano maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa na wadau wa Demokrasia tarehe 04 Januari 2024

Safi sana Mzee Cheyo Uzee ni mali na hazina kuu.Huu uchaguzi wa kujaza wasanii siyo uchaguzi tume ijisahihishe.
 
Huyu Mh. Hashim wa CHADEMA namfaham vizuri sana, huyu jamaa ana mental problems.
 
Nipo na Resilience usijali. 4R nazifanyia kazi.

..4R ni ulaghai.

..kama Raisi yuko serious na 4R aunde Tume ya Ukweli, Haki, na Maridhiano, kama ile iliyoundwa kule Afrika Kusini.

.
 
Uliyemtag nae ni mzee wa fursa.

Hapo wakitoka wanaenda kuchungulia account zao zinasoma kiasi gani huku watanzania wakiendelea kusalitiwa.

Tangu jana nimesema maoni halisi watayapata mtaani , hapo naona watu walioshiba na account zinajazwa pesa tu kuja kusifia kwa kiasi kikubwa hayo ni maoni 0.000001% ya watu hivyo kwangu ni almost neglible.
 
..4R ni ulaghai.

..kama Raisi yuko serious na 4R aunde Tume ya Ukweli, Haki, na Maridhiano, kama ile iliyoundwa kule Afrika Kusini.

.
Tume ya ukweli unaundwaje. Hebu toa maoni yako ndugu yangu. Huku tukitafakari 4R na baadae tufanye reforms
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…