Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa tarehe 3 na 4 Januari, 2024

Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa tarehe 3 na 4 Januari, 2024

Kwasababu sio mambo mageni 2020 yametokea nasasa huyu Mama nae anataka mitano tena ya Wizi🤮🤮🤧🤧🥵
Bado unaendelea kutoa maoni na mtazamo wako binafsi dhidi ya wengine hiyo una uhuru nayo enjoy...

Lakini lazma ung'ang'ane nayo kibinafsi kutafuta majawabu ...

vinginevyo hamna namna unaweza pata huruma kwa wanaohangaika na yao kwa uhuru na bidii....
 
MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA





Kauli Mbiu;
" TOA MAONI YAKO KUIMARISHA DEMOKRASIA "

MGENI RASMI;
Mhe. Othman Masoud Othman
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

🗓️ Tarehe 3 na 4 Januari, 2024
📍Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City - Dar es salaam

#ImarishaDemokrasia
#TunzaAmani
Maoni tena? Ccm inatuona sisi nyani😆😆
 
Kwa taarifa yako huo ushoga hata huku kwetu umejaa vibaya, tofauti ya sisi na hao wazungu ni kuwa wako wazi mno. Ila huko kulana ni janga la kidunia.
Nimeisoma katiba na sheria za Tanzania sijaona hicho. Je, wazungu hawana haki za ushoga kwenye sheria zao?
 
Back
Top Bottom