Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza

Utaambiwa mwenyekiti amepita bila kupingwa, kura zote amepigiwa na hakuna iliyoharibika
Mtu mmoja anapigiwaje kura? fomu ilikuwa ni moja,huo si ni uharibifu wa hela za Chama. wangekiwa na ujasiri wa kufanya kama Sumaye alivyo fanyiwa upande ule sawa, ila sasa hakuna wa kuthubutu!
 
Wakati burudani ya mziki inaendelea, mzee JK akawa anapitapita kwa wajumbe mara uso kwa uso na mgombea wa Zanzibar Dr Mwinyi, wakasalimia na kukumbatiana lakin baada ya kutaka kuachana kila mtu aendelee na yake mara kikwete akamuona mzungu mmoja hivi akamuita na akamshtua Mwinyi akawa anawatambulisha kama wajuane hivi na story zikaendelea Kama dakika 5 hivi na kapicha juu. JK buana!
 
wazungu wa ccm ni wengi mno.ndo maana kuitoa madarakani itakua ni ndoto kwa sababu ccm inamizizi nje na ndani.
 
tumerudi enzi hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…