Wewe ndio umesema huo udikteta ila kura zimepigwa live hapa na zimehesabiwa live watu tumeona sasa hayo ya udikteta ni yako wewe na wenzako wenye mitazamo hasi na chonganishi.Madictator huwa hawapati kura kwa hiari.
Wewe ndio umesema huo udikteta ila kura zimepigwa live hapa na zimehesabiwa live watu tumeona sasa hayo ya udikteta ni yako wewe na wenzako wenye mitazamo hasi na chonganishi.
Acha kukuza Mambo mkuu unataka kunambia kuwa wewe hukuelewa kuwa alikuwa anasisitiza muda, mbona na Mh Mwinyi rais mstaafu aliambiwa hivyo hivyo tena Kuna viongozi wengine walikatishwa kabisa, ila yote hayo hukuona unakuja kushupalia eti kadharauliwa.Kumbe mkuu uliona ile. Kile ni kitendo cha dharua sana kwa mtu mnayeheshimiana. Ukiona mtu anakaripiwa vile mbele ya hadhara, ujue huwa anapewa lugha nyingine nyingi za kejeli off camera. Na yote hiyo huchangiwa na mtu kuendekeza nidhamu za woga.
Umenikumbusha enzi hizo tukichagua kuku na yai. Ubishi unaanzia hapo, je kati ya kuku na yai nani alianza? Baadae kukawa na jembe na nyumba. Hapo Ubishi ukawa kati ya jembe na nyumba ni kipi bora katika maisha ya kila siku. Mara nyingi yule aliyekuwa na alama ya jembe alishinda si kwa sababu anafaa bali kwa sababu wengi wetu tulikuwa tunatoka familia maskini za wakulima. Hivyo tulipendelea jembe kuliko hizo nyumba ambazo kwanza hatukuwa nazo na pili tulizihusisha na matajiri wa mijini.tumerudi enzi hiziView attachment 1503658
Wewe ndio umesema huo udikteta ila kura zimepigwa live hapa na zimehesabiwa live watu tumeona sasa hayo ya udikteta ni yako wewe na wenzako wenye mitazamo hasi na chonganishi.
Na wasomi wasio na ajira.Yani hapo inatakiwa lipigwe Bomu la Nagasaki na heroshima ndo wangeelewa hawapendwi.
Poleni walimu,poleni watumishi
Acha kukuza Mambo mkuu unataka kunambia kuwa wewe hukuelewa kuwa alikuwa anasisitiza muda, mbona na Mh Mwinyi rais mstaafu aliambiwa hivyo hivyo tena Kuna viongozi wengine walikatishwa kabisa, ila yote hayo hukuona unakuja kushupalia eti kadharauliwa.
Habari wakuu,
Ninekuja mtembelea jamaa yangu hapa nimemkuta anafuatilia mkutano wa CCM na zoezi la upigaji kura liko linafanyika huko. Kilichonichekesha katika zoezi hili ni:
1. Hakuna usiri
2. Wajumbe wanapigiana kura (nimeona mmoja anapiga kwa niaba ya mwenzake)
3. Maandalizi hayakuwa vizuri (kuna uchache wa peni ) naona wana azimana tu, hawajui hata walienda fanya nini.
4. Naona watu wanatumia kujitangaza, baada ya kupiga kura wanajionesha ili teuzi zipite kwao.
5. Ukusanyaji wa kura ni vichekesho
kifupi, sijaona cha maana katika hili zoezi; liko kiswahili swahili sana.
Wewe ni jinsia gani?Msanii Bob Haisa ni balaaaaa,
Kaua Sana na hilo SONGI💃💃👊👊
Nilisha kwambia hii hoja ya udikteta kwasasa haina mashiko mkuu achana nayo tu.Mkuu nilichokuambia sijakosea. Madictator wote hutengeneza hofu, na hupata kura zote kutokana na hofu wanayotengeneza. Nadhani uliona majibu aliyopewa jana jamaa aliyelalamikia kuhusu wapinzani kutoka huko watokako, na kupitishwa bila kupingwa. Yale ndio majibu haswa ya madictator. Ukiona kiongozi anapata kura 100%, basi ujue huyo anaoongoza makondoo na sio watu wanaofikiri.
Hizo laana za kudharau wazee mkuu ni mbaya kuwa nazo makini.Approach ya kuzingatia muda hutumika na heshima pia. Mwinyi ni mlamba viatu wa wazi. Simply ni mnafiki mwenye umri mkubwa.