Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Chukua tahadhari mkuu.Iwe kwa bahati mbaya au kwa makusudi huo mtego wa kuoa hatutouingia ....timu KATAA NDOA😁
Ni ushauri tu,Usitutishe
Na gharama za kumuweka ndani wa halali ni ndogo tofauti na gharama anazotumia kuwavusha hao wa kimya kimya!Mi nakwambia ukweli kabisa
Haya mapenzi haram unayofanya kila siku kwa kuwaleta watoto wa watu Geto kwako wanalala na wewe kisha alfajiri unawarejesha kwao...
Ipo siku yako nakwambia!
Mtoto wa watu akifia geto kwako, hakuna mtu atakuelewa hapo, we waone tu wanakuchekea na kukupa sifa... eti wewe ni kidume.. acha kabisa ndugu chukua tahadhari!
Sisi binadamu tunapita, hatueleweki tutakatia kamba muda gani, saa gani.. usiku au mchana!
Kama umefikia umefikia uwezo wa kupanga Geto na kuvusha kina dada kila leo, basi unaweza kuoa na kumiliki Mwanamke kihalali kabisa...
NAKUSHAURI OA..
Hao wanandoa wengi ndio wanaishia kuua wenza wao kwa sababu za wivu wa kimapenzi ...Chukua tahadhari mkuu.
Mbunye ni tam ila ile kwa utaratibu
Huko huko!Mi nakwambia ukweli kabisa
Haya mapenzi haram unayofanya kila siku kwa kuwaleta watoto wa watu Geto kwako wanalala na wewe kisha alfajiri unawarejesha kwao...
Ipo siku yako nakwambia!
Mtoto wa watu akifia geto kwako, hakuna mtu atakuelewa hapo, we waone tu wanakuchekea na kukupa sifa... eti wewe ni kidume.. acha kabisa ndugu chukua tahadhari!
Sisi binadamu tunapita, hatueleweki tutakatia kamba muda gani, saa gani.. usiku au mchana!
Kama umefikia umefikia uwezo wa kupanga Geto na kuvusha kina dada kila leo, basi unaweza kuoa na kumiliki Mwanamke kihalali kabisa...
NAKUSHAURI OA..
Ndo hivyo mkuu nzi kufia kwenye kidonda si haramu. Nayo yatapita tuUZINZI NI HATARI SANA YESU KAKATAZA UNALALA NA BINTI WA WATU MARA ANAKUFIA NA KWAO UKUTE HATA HAWAKUJUI 🤔
Duuuh, utafanya watu waliofungiwa nje wakose msaada wa kulala, unasema unalala na mtu kisiri asipo amka jiulize na wewe vipi kama usipo amka? Kiufupi unawaza sana mkuu acha watu waendelee kuishi kwa upendoMi nakwambia ukweli kabisa
Haya mapenzi haram unayofanya kila siku kwa kuwaleta watoto wa watu Geto kwako wanalala na wewe kisha alfajiri unawarejesha kwao...
Ipo siku yako nakwambia!
Mtoto wa watu akifia geto kwako, hakuna mtu atakuelewa hapo, we waone tu wanakuchekea na kukupa sifa... eti wewe ni kidume.. acha kabisa ndugu chukua tahadhari!
Sisi binadamu tunapita, hatueleweki tutakatia kamba muda gani, saa gani.. usiku au mchana!
Kama umefikia umefikia uwezo wa kupanga Geto na kuvusha kina dada kila leo, basi unaweza kuoa na kumiliki Mwanamke kihalali kabisa...
NAKUSHAURI OA..
Tabia za kina Ms R HizoBinti anakuwa amekupenda mpaka anaamua kufa mikononi mwako 🔥🔥🔥