Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yupo Mkenya mmoja anaitwa Cristopher Kirubi alisoma Kairuki Univercity na kuajiriwa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro.
Mbona ndugu zetu wanaajiriwa Nchi zingine?

Sioni tatizo hapo ikiwa vilifuatwa vigezo.
 
Nishapanda gari na mtu anazungumza kiswahili cha kongo lakini niliona wakati akitoa waleti ana kitambulisho cha NIDA.
 
Hili nilisikia sana maeneo ya kibiti mwaka 2019.
 
Tiss waingie kazini sasa washapewa hints..mama kaongea vizuri kweli katoa taadhali 2024,2025 vyombo vya ulinzi na usalama viwe makini kweli na kujiandaa kwa lolote...
Siku zote walikuwa wapi kwani

Ova
 
Kama kijana kakulia Tanzania kuanzia akiwa mdogo kumuondoa kwenye madara kwasababu ya wazazi kuwa wakimbizi ni ubaguzi na haina manufaa yeyote. Tuwape uraia watu na tuondokane na ubaguzi

Hilo pia linawezekana maana haya ya vyeti unaweza kukuta kama ulizaliwa hospital na jina lako lipo huko Kuna uwezekano mkubwa wa wafanyakazi kuuza jina lako na kumpa mtu cheti chako maana kuna watu wengi wala hawajawahi kuuliza wala kuuliza na hata kujua ina faida gani

Hivi unafikiri kwanini watu huwa wanaambiwa wewe sio mtz au hujazaliwa hapa
Utakuta jina anafanyia kazi mtu mwingine kabisa

Yaani usalama huu wanaokazana watu kuusema hawajui kuna watu wana jina la babu yangu 😄 🤣
 
Mambo ya ugaidi yametoka wapi tena kinachoongelewa ni watu kufuata utaratibu ndo maana ya kuwepo uhamiaji hata marekani watu kibao wanakua deported sababu tu hawajafuata utaratibu
Sasa utaratibu huo ufuatwe je wanatoa hizo huduma wako clean na kufuata masharti yote bila kupindisha?
Home office ya UK kuna wafanyakazi kibao wqnaijeria ila wazawa au walikuja wadogo lakini wanafuata sheria walizopewa na sio vingine
Ukiomba passport huonani na binadamu bali kila kitu online mpaka picha unaituma mara moja tu
Kama nao hawataomba chochote tusingefika huku
Mkuu wa Majeshi anajua analenga wapi mumuelewe
 
Tabia ya Serikali kusema wengine sio raia na kuhoji asili zao pale wanapokuwa na maoni tofauti ndio inafanya iwe rahisi hata wasio raia wa TZ kuingia kwasababu tu wanapo support chama na Serikali.
 
Well done CDF, namna hiyo, sasa angalau tunaanza kuona JWTZ tunaIolitaka, jamani muongee sasa na mufike mbali "MUKEMEE" viongozi, wengi wao hawawaogopi, hawawa heshimu ndomana wanaipeleka nchi kama wanavyotaka, juzi katoka mmoja katoa amri mukazibue vyoo tar. 24 hii ni dharau kubwa sana kwa JWTZ.
 
Linaitwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, siyo la CCM, CHADEMA au TLP, watambue nafasi yao na kufanya wajibu wao.
 
Hayo unauliza wewe yeye kashamaliza kazi
 
Sidhani kama ni hivyo.
 
Katika nafasi zenye maamuzi!! Hii ni hatari sana!! Jeshi likisema hivyo ni ujumbe mzito kwa watala!! Kama majina wanayo wawape TISS wafanyie kazi haraka sana!!
 
mhutu hana tatizo bali mtusi ndio mwenye tatizo na watusi wapo wengi kwenye sector nyeti na hao ndio wabaya kuliko yeyote na ndio maana kagame anatamba kwa sababu hiyo
 
CDF ameongea mambo mazito mno kuhusu wakimbizi na walowezi wengine kujipenyeza serikalini kwenye nafasi nyeti, ni maajabu amiri jeshi mkuu kwenye hotuba yake ameonesha kuwa yeye anawaza uchaguzi tu na namna ya kulitumia jeshi kuvuka.

Inawezekana wamemwambia sana huko sirini lakini hana muda na hilo, wameamua kuweka mambo hadharani wananchi tujue, wakijua labda SSH atapata msukumo wa kulivali njuga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…