Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024


CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema hali ya ulinzi na usalama ni shwari licha ya uwepo wa matukio ya kigaidi na itikadi kali na kuwa kuna vijana wanaochukuliwa na kwenda kujiunga kwenye makundi ya Kigaidi Nchini DR Congo, Msumbiji na Somalia.

Amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anashiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

CDF: BAADHI YA WAKIMBIZI WAMEPEWA TEUZI SERIKALINI KATIKA NAFASI ZENYE MAAMUZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuanzia Januari Mosi, 2023 hadi Desemba 31, 2023 jumla ya Waomba Hifadhi 138,149 walipokelewa Nchini Tanzania.

Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.

Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

Maneno ya CDF yamenifanya niogope na kutetemeka.

Sijui kwa nini walah.

Bado nashauri Rais asiende hiyo ziara ya kesho kutwa yaani January 24. Ashughulikie haya matatizo ya ndani asichukulie poa hata kidogo. Maandamano ni jambo la kutumia sana akili na utashi mwema kuyapokea na kufanyia kazi hadidu
 
Raia kutoka Zanzibari kwa sasa pia wamejazana mnoooooo kwenye taasisi za serikali zisizo za Muungano usiokuwa na Muunganiko, hadi watu tunashindwa kuhema

Ukiwagusa wanakwambia kwao Tanga, lakini story na mazungumzo yao yote ni kuhusu Zanzibar;

Jamaa hawajui hata ng'ombe sasa kweli kuna Mtanganyika asiyejua ng'ombe???
 
Hivi kiuhalisia miaka ya 1700--watanzania walikuwa ni akina nani?
 
Waondolewe mapema mno hao watu.

Binafsi nilikutana na mtu wa nchi jirani.

Akakiri kuwa ni mtu wa nchi jirani na alichukua mkopo bodi kusoma chuo kimoja maarufu hapa nchini baada ya kuhitimu alikua anafanya kazi benki maarufu hapa nchini.

Kwq uchache tu vyombo vya usalama viongeze umakini tu ingawa nawaamini sana kwa kufanya kazi nzuri.
Uhamiaji na TISS wanafanay kazi gani?
 
Hao Wahamiaji haramu wanajificha kwenye kivuli cha CCM. Hapo ndio tatizo kubwa lilipo. CCM wako tayari kufanya chochote ila sio kugusa maslahi Yao ndio maana Wana wanachama Hadi WA Kichina
Kwani familia ya Mbowe ni watanzania? Unachosema ni kweli- mzee Mbowe alijificha kwenye TANU sasa mwanae anajificha kwenye CHADEMA
 
Maneno ya CDF yamenifanya niogope na kutetemeka.

Sijui kwa nini walah.

Bado nashauri Rais asiende hiyo ziara ya kesho kutwa yaani January 24. Ashughulikie haya matatizo ya ndani asichukulie poa hata kidogo. Maandamano ni jambo la kutumia sana akili na utashi mwema kuyapokea na kufanyia kazi hadidu
Nadhani kwa upande wao wana kitu ila katoa taarifa na wengine wafanye km walivyofanya wao jeshi

Ila ukweli inaogopesha ingawa hii kauli ni kengele Nadhani
 
JobTrueTrue, Mwenye waachama wake kafunga kiremba kuziba masikio na miwani kuchuja vya kuona.
 
Okay....ndio kajua leo au ameamia k
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024


CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema hali ya ulinzi na usalama ni shwari licha ya uwepo wa matukio ya kigaidi na itikadi kali na kuwa kuna vijana wanaochukuliwa na kwenda kujiunga kwenye makundi ya Kigaidi Nchini DR Congo, Msumbiji na Somalia.

Amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anashiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

CDF: BAADHI YA WAKIMBIZI WAMEPEWA TEUZI SERIKALINI KATIKA NAFASI ZENYE MAAMUZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuanzia Januari Mosi, 2023 hadi Desemba 31, 2023 jumla ya Waomba Hifadhi 138,149 walipokelewa Nchini Tanzania.

Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.

Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024
Tuna mashaka hata CHAMA CHETU kimetekwa na WAKIMBIZI / MAJIZI / MABEBERU.
N


Maneno ya CDF yamenifanya niogope na kutetemeka.

Sijui kwa nini walah.

Bado nashauri Rais asiende hiyo ziara ya kesho kutwa yaani January 24. Ashughulikie haya matatizo ya ndani asichukulie poa hata kidogo. Maandamano ni jambo la kutumia sana akili na utashi mwema kuyapokea na kufanyia kazi hadidu
Wahamiaji wote matajiri wako Ccm ndio mahali salama kwao.
 
Raia kutoka Zanzibari kwa sasa pia wamejazana mnoooooo kwenye taasisi za serikali zisizo za Muunganiko usio na Muunganiko, hadi watu tunashindwa kuhema

Ukiwagusa wanakwambia kwao Tanga, lakini story na mazungumzo yao yote ni kuhusu Zanzibar;

Jamaa hawajui hata ng'ombe sasa kweli kuna Mtanganyika asiyejua ng'ombe???
Ni matokeo ya kuhendekeza siasa za vyama badala ya kuangalia Maslahi ya Taifa.

Hili Jambo ukiona CDF ameliongea hadharani ujue kuna Warning anatoa kiutu uzma.

Wakimbizi wnaaoteuliwa wanateuliwa na Viongozi wa kisiasa na ndani ya vyama tawala.

Ndio maana tunasema pawepo na Checks and Balance.

Leo Hii Rais anaweza kumteua mtu yeyote akampa Uraia na kumteua kuwa Waziri Mkuu na hakuna mtu wa kumzuia.
 
Back
Top Bottom