Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni matokeo ya kuhendekeza siasa za vyama badala ya kuangalia Maslahi ya Taifa.

Hili Jambo ukiona CDF ameliongea hadharani ujue kuna Warning anatoa kiutu uzma.

Wakimbizi wnaaoteuliwa wanateuliwa na Viongozi wa kisiasa na ndani ya vyama tawala.

Ndio maana tunasema pawepo na Checks and Balance.

Leo Hii Rais anaweza kumteua mtu yeyote akampa Uraia na kumteua kuwa Waziri Mkuu na hakuna mtu wa kumzuia.
Na kaiongelea mbele ya mkuu wa nchi
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024


CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema hali ya ulinzi na usalama ni shwari licha ya uwepo wa matukio ya kigaidi na itikadi kali na kuwa kuna vijana wanaochukuliwa na kwenda kujiunga kwenye makundi ya Kigaidi Nchini DR Congo, Msumbiji na Somalia.

Amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anashiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

CDF: BAADHI YA WAKIMBIZI WAMEPEWA TEUZI SERIKALINI KATIKA NAFASI ZENYE MAAMUZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuanzia Januari Mosi, 2023 hadi Desemba 31, 2023 jumla ya Waomba Hifadhi 138,149 walipokelewa Nchini Tanzania.

Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.

Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

Twende sawa Ndugu Mwandishi hiyo ni positive au Negative?
 
Wahamiaji haramu hujipenyeza kwanza kwenye vyombo via usalama, vyama tawala na ukaribu/urafiki na familia za viongozi.
Changamoto kubwa huwa ipo hapo (siyo kwa Tanzania tu).
Hata hivyo, viongozi waovu huwapenda na huwatumia kuwadhibiti wazawa.
Jambo la muhimu ni raia kujitambua na kuwatambua wageni pia kuwatendea haki katika hadhi yao ya ugeni au ukimbizi.
 
Wahamiaji haramu hujipenyeza kwanza kwenye vyombo vya usalama, vyama tawala na ukaribu/urafiki na familia za viongozi.
Changamoto kubwa huwa ipo hapo (siyo kwa Tanzania tu).
Hata hivyo, viongozi waovu huwapenda na huwatumia kuwadhibiti wazawa.
Jambo la muhimu ni raia kujitambua na kuwatambua wageni pia kuwatendea haki katika hadhi yao ya ugeni au ukimbizi.
 
Sasa CDF analalamika au anapongeza wakimbizi kupenya serikalini?

Au anaripoti, anakemea au ni nini shida?
Wanaongeaga kinidhamu hao na kizalendo ila wakilianzisha kuwasaka na kukomesha hao vinyemelezi vya ugaidi na imani utatokomezwa mara moja...Mungu ibariki Tanzania maana Ugaidi na vikundi vya kihalifu sikia tu kwa jirani...tuna amini vyombo vyetu litakwisha hili!!!!
 
Wahamiaji haramu hujipenyeza kwanza kwenye vyombo via usalama, vyama tawala na ukaribu/urafiki na familia za viongozi.
Changamoto kubwa huwa ipo hapo (siyo kwa Tanzania tu).
Hata hivyo, viongozi waovu huwapenda na huwatumia kuwadhibiti wazawa.
Jambo la muhimu ni raia kujitambua na kuwatambua wageni pia kuwatendea haki katika hadhi yao ya ugeni au ukimbizi.
Raia wa kawaida hana cha kufanya kwenye hili.

Ndugu mtoa comment nikupe changamoto kwenye hoja yako.

Najua kila raia ana haki ya kuchagua mrengo wake wa siasa au ufuasi. Je umeshaona Watanzania wasio asili ya Tanzania wanajiunga na chama nje ya ccm?

Na bahati nzuri wote ni matajiri tu.


Mchana mwema. Tuendelee kutafakari hoja ya CDF
 
Na hao JW wenyewe wamelala tu


1705919399072.png
 
Hii nchi bhana! Sasa mpaka hao wakimbizi wanajipenyeza katika nafasi nyeti za kimaamuzi; vyombo husika vya kudhibiti huo udhaifu vinakuwa vimelala usingizi, au ndiyo yale matatizo ya kuteuana kwa kujuana!!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024


CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema hali ya ulinzi na usalama ni shwari licha ya uwepo wa matukio ya kigaidi na itikadi kali na kuwa kuna vijana wanaochukuliwa na kwenda kujiunga kwenye makundi ya Kigaidi Nchini DR Congo, Msumbiji na Somalia.

Amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anashiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

CDF: BAADHI YA WAKIMBIZI WAMEPEWA TEUZI SERIKALINI KATIKA NAFASI ZENYE MAAMUZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuanzia Januari Mosi, 2023 hadi Desemba 31, 2023 jumla ya Waomba Hifadhi 138,149 walipokelewa Nchini Tanzania.

Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.

Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

Wawataje Ili wanyofolewe maana Tiss wanazingua sana.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024


CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema hali ya ulinzi na usalama ni shwari licha ya uwepo wa matukio ya kigaidi na itikadi kali na kuwa kuna vijana wanaochukuliwa na kwenda kujiunga kwenye makundi ya Kigaidi Nchini DR Congo, Msumbiji na Somalia.

Amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anashiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

CDF: BAADHI YA WAKIMBIZI WAMEPEWA TEUZI SERIKALINI KATIKA NAFASI ZENYE MAAMUZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuanzia Januari Mosi, 2023 hadi Desemba 31, 2023 jumla ya Waomba Hifadhi 138,149 walipokelewa Nchini Tanzania.

Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.

Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

Naibu waziri mkuu ni mkimbizi.....
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024


CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema hali ya ulinzi na usalama ni shwari licha ya uwepo wa matukio ya kigaidi na itikadi kali na kuwa kuna vijana wanaochukuliwa na kwenda kujiunga kwenye makundi ya Kigaidi Nchini DR Congo, Msumbiji na Somalia.

Amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anashiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

CDF: BAADHI YA WAKIMBIZI WAMEPEWA TEUZI SERIKALINI KATIKA NAFASI ZENYE MAAMUZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuanzia Januari Mosi, 2023 hadi Desemba 31, 2023 jumla ya Waomba Hifadhi 138,149 walipokelewa Nchini Tanzania.

Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.

Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

Duh. Ujumbe mzito wa siri. Huu ni mtonyo mkubwa kwa serikali. Naona JW wamewaambia TISS tunawamulika kwa kuwa ninyi ni wazembe, mmelega lega.
 
Waondolewe mapema mno hao watu.

Binafsi nilikutana na mtu wa nchi jirani.

Akakiri kuwa ni mtu wa nchi jirani na alichukua mkopo bodi kusoma chuo kimoja maarufu hapa nchini baada ya kuhitimu alikua anafanya kazi benki maarufu hapa nchini.

Kwq uchache tu vyombo vya usalama viongeze umakini tu ingawa nawaamini sana kwa kufanya kazi nzuri.
Kusema kila mtu wa mwenye asili ya nje asikae nchini haiwezekani. Ila nafasi nyeti wapewe wale ambao kweli wako nchini na nchi itakuwa salama. Kuna majasusi wengi wanaoingia kwa mambo haya ya ukimbizi
 
Back
Top Bottom