Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Na kaiongelea mbele ya mkuu wa nchiNi matokeo ya kuhendekeza siasa za vyama badala ya kuangalia Maslahi ya Taifa.
Hili Jambo ukiona CDF ameliongea hadharani ujue kuna Warning anatoa kiutu uzma.
Wakimbizi wnaaoteuliwa wanateuliwa na Viongozi wa kisiasa na ndani ya vyama tawala.
Ndio maana tunasema pawepo na Checks and Balance.
Leo Hii Rais anaweza kumteua mtu yeyote akampa Uraia na kumteua kuwa Waziri Mkuu na hakuna mtu wa kumzuia.
100%Maneno ya CDF yamenifanya niogope na kutetemeka.
Sijui kwa nini walah.
Bado nashauri Rais asiende hiyo ziara ya kesho kutwa yaani January 24. Ashughulikie haya matatizo ya ndani asichukulie poa hata kidogo. Maandamano ni jambo la kutumia sana akili na utashi mwema kuyapokea na kufanyia kazi hadidu
Twende sawa Ndugu Mwandishi hiyo ni positive au Negative?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024
CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema hali ya ulinzi na usalama ni shwari licha ya uwepo wa matukio ya kigaidi na itikadi kali na kuwa kuna vijana wanaochukuliwa na kwenda kujiunga kwenye makundi ya Kigaidi Nchini DR Congo, Msumbiji na Somalia.
Amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anashiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.
CDF: BAADHI YA WAKIMBIZI WAMEPEWA TEUZI SERIKALINI KATIKA NAFASI ZENYE MAAMUZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuanzia Januari Mosi, 2023 hadi Desemba 31, 2023 jumla ya Waomba Hifadhi 138,149 walipokelewa Nchini Tanzania.
Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.
Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.
Hakuna anayejua.......tunachoamini tu kuwa Amefanyia Utafiti wa hicho anachoongea na ame predict hatari iliyopo.Sasa CDF analalamika au anapongeza wakimbizi kupenya serikalini?
Au anaripoti, anakemea au ni nini shida?
Maana yake CDF amevipa achangamoto vyombo hivyo.Uhamiaji na TISS wanafanay kazi gani?
Wanaongeaga kinidhamu hao na kizalendo ila wakilianzisha kuwasaka na kukomesha hao vinyemelezi vya ugaidi na imani utatokomezwa mara moja...Mungu ibariki Tanzania maana Ugaidi na vikundi vya kihalifu sikia tu kwa jirani...tuna amini vyombo vyetu litakwisha hili!!!!Sasa CDF analalamika au anapongeza wakimbizi kupenya serikalini?
Au anaripoti, anakemea au ni nini shida?
Raia wa kawaida hana cha kufanya kwenye hili.Wahamiaji haramu hujipenyeza kwanza kwenye vyombo via usalama, vyama tawala na ukaribu/urafiki na familia za viongozi.
Changamoto kubwa huwa ipo hapo (siyo kwa Tanzania tu).
Hata hivyo, viongozi waovu huwapenda na huwatumia kuwadhibiti wazawa.
Jambo la muhimu ni raia kujitambua na kuwatambua wageni pia kuwatendea haki katika hadhi yao ya ugeni au ukimbizi.
Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.
Hii statement kama haijatolewa kisiasa basi ni statement hatari Sana kwa usalama WA nchi! Je ni akina Nani hao?
Na yule mlimpa hadhi ya kupewa mnsafara je?Bashe Waziri wa Kilimo.
Wawataje Ili wanyofolewe maana Tiss wanazingua sana.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024
CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema hali ya ulinzi na usalama ni shwari licha ya uwepo wa matukio ya kigaidi na itikadi kali na kuwa kuna vijana wanaochukuliwa na kwenda kujiunga kwenye makundi ya Kigaidi Nchini DR Congo, Msumbiji na Somalia.
Amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anashiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.
CDF: BAADHI YA WAKIMBIZI WAMEPEWA TEUZI SERIKALINI KATIKA NAFASI ZENYE MAAMUZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuanzia Januari Mosi, 2023 hadi Desemba 31, 2023 jumla ya Waomba Hifadhi 138,149 walipokelewa Nchini Tanzania.
Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.
Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.
Naibu waziri mkuu ni mkimbizi.....Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024
CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema hali ya ulinzi na usalama ni shwari licha ya uwepo wa matukio ya kigaidi na itikadi kali na kuwa kuna vijana wanaochukuliwa na kwenda kujiunga kwenye makundi ya Kigaidi Nchini DR Congo, Msumbiji na Somalia.
Amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anashiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.
CDF: BAADHI YA WAKIMBIZI WAMEPEWA TEUZI SERIKALINI KATIKA NAFASI ZENYE MAAMUZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuanzia Januari Mosi, 2023 hadi Desemba 31, 2023 jumla ya Waomba Hifadhi 138,149 walipokelewa Nchini Tanzania.
Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.
Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.
Duh. Ujumbe mzito wa siri. Huu ni mtonyo mkubwa kwa serikali. Naona JW wamewaambia TISS tunawamulika kwa kuwa ninyi ni wazembe, mmelega lega.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024
CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema hali ya ulinzi na usalama ni shwari licha ya uwepo wa matukio ya kigaidi na itikadi kali na kuwa kuna vijana wanaochukuliwa na kwenda kujiunga kwenye makundi ya Kigaidi Nchini DR Congo, Msumbiji na Somalia.
Amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anashiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.
CDF: BAADHI YA WAKIMBIZI WAMEPEWA TEUZI SERIKALINI KATIKA NAFASI ZENYE MAAMUZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuanzia Januari Mosi, 2023 hadi Desemba 31, 2023 jumla ya Waomba Hifadhi 138,149 walipokelewa Nchini Tanzania.
Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.
Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.
Kusema kila mtu wa mwenye asili ya nje asikae nchini haiwezekani. Ila nafasi nyeti wapewe wale ambao kweli wako nchini na nchi itakuwa salama. Kuna majasusi wengi wanaoingia kwa mambo haya ya ukimbiziWaondolewe mapema mno hao watu.
Binafsi nilikutana na mtu wa nchi jirani.
Akakiri kuwa ni mtu wa nchi jirani na alichukua mkopo bodi kusoma chuo kimoja maarufu hapa nchini baada ya kuhitimu alikua anafanya kazi benki maarufu hapa nchini.
Kwq uchache tu vyombo vya usalama viongeze umakini tu ingawa nawaamini sana kwa kufanya kazi nzuri.