Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
KIZIMKAZI n usalama wote hekaheka. Watanganyika tuko wazi. Mpk cdf kaamua kusema Kwa umma maana yale hackilizwi. KIZIMKAZI anaonekana hajali wala nn? YY anawaza kudalalia. DP-WORLD kuna wanyarwanda Kwa mgongo wa wajomba zake
 
Tiss waingie kazini sasa washapewa hints..mama kaongea vizuri kweli katoa taadhali 2024,2025 vyombo vya ulinzi na usalama viwe makini kweli na kujiandaa kwa lolote...
 
Baada ya kusoma comment mbali mbali za wadau nimegundua watz wengi hakuna wanachokijua,kwanza kabisa tutambue tangu mwaka 1972 yaliyokua makazi ya wakimbizi ya ulyankulu,katumba,mishamo na kigoma huko watu tangu mwaka huo kutoka ktk makazi hayo wanasoma na kuhitimu shule mbali mbali zilizoko nchini haya tujiulize,Kila mwaka wanahitimu je wanaenda wapi Kama sio kwenye mfumo wa ajira.Kwa hiyo hao watu wametapakaa kwenye Kila idala na hapa CDF kachelewa kulijua na Wala tatizo sio wao bali watz wenyewe tu.Hata hao anaofanya nao kazi CDF Kuna wengine ni wenyewe ni ngumu kumtambua mtu ukizingatia nchi zetu za Africa hazikua na utaratibu wa kuwatambua watoto mapema mahali waliko zaliwa kutokana na ufinyu wa miundombinu na usikute mpaka saivi Kuna watu Bado wanajifungulia nyumbani.
 
Na Cha ajabu hao wageni ndio wana uchungu na maendeleo ya Tz kuliko sisi wazawa mfn anaetajwa kua alikua mkimbizi Ambae kashatangulia mbele za haki.
 
Na Cha ajabu hao wageni ndio wana uchungu na maendeleo ya Tz kuliko sisi wazawa mfn anaetajwa kua alikua mkimbizi Ambae kashatangulia mbele za haki.

hii drama yoote anatafutwa mmoja tu, mdosi wa pili, its about 2025 lkn hawatoboi wajiulize wao waliingiaje halafu washindwe kutolewa ?
 
hivi CDF hajui kwamba wakimbizi wa 1972 Walipewa uraia na Mwalimu, kwa hiyo wakae wasizae wasisomeshe watoto wasishiriki katika fulsa za kiuchumi? mtu akisha pewa uraia si mkimbizi tena, si magharibi tu tuna wakikuyu Wengi kata ya kipande Sumbawanga walipewa uraia, wasomari kibao. CDF this is Africa na tunapashwa tusibaguane, nadhani CDF anasahau ama hakusoma Historia kwamba tulikuwa Nchi Moja chini ya Mtawala mmoja tukiitwa Tanganyika Rwanda Urundi.. asijifanye hajui kwamaba mpaka 1884 tulikuwa Africa moja iliyokuwa inaendeshwa na na chiefdoms tulikuwa wamoja kabra hatujauzwa nakugawanywa mafungu, anamsha kitu mbaya sana na bahati mbaya kinamshwa na mtu kubwa sana kiasi itaonekana kimeagizwa kisemwe.
 
Tiss waingie kazini sasa washapewa hints..mama kaongea vizuri kweli katoa taadhali 2024,2025 vyombo vya ulinzi na usalama viwe makini kweli na kujiandaa kwa lolote...
Ujinga mtupu, Nina wajomba zangu wawili wa kike na wa kiume ni wanajeshi wa US Army na wala hawana miaka 10 Marekani.

Ujinga mtupu Jeshi kujiingiza kwenye siasa ndio maana wandharauliwa mpaka na Chalamila.

Mtu amekulia Tanzania amesoma Tanzania unataka akafanye kazi wapi?

Kwa nini asiwe mkweli tu kwamba hata marehemu alikuwa Mrundi? Si Bora hata Mrundi kuliko huyu wa Oman?
 
hivi CDF hajui kwamba wakimbizi wa 1972 Walipewa uraia na Mwalimu, kwa hiyo wakae wasizae wasisomeshe watoto wasishiriki katika fulsa za kiuchumi? mtu akisha pewa uraia si mkimbizi tena, si magharibi tu tuna wakikuyu Wengi kata ya kipande Sumbawanga walipewa uraia, wasomari kibao. CDF this is Africa na tunapashwa tusibaguane, nadhani CDF anasahau ama hakusoma Historia kwamba tulikuwa Nchi Moja chini ya Mtawala mmoja tukiitwa Tanganyika Rwanda Urundi.. asijifanye hajui kwamaba mpaka 1884 tulikuwa Africa moja iliyokuwa inaendeshwa na na chiefdoms tulikuwa wamoja kabra hatujauzwa nakugawanywa mafungu, anamsha kitu mbaya sana na bahati mbaya kinamshwa na mtu kubwa sana kiasi itaonekana kimeagizwa kisemwe.
Hajui kua pengine wanaomfanyia vetting yeye ni hao hao anao wasema mwache muda si mrefu atapangiwa kazi nyingine.
 
Baada ya kusoma comment mbali mbali za wadau nimegundua watz wengi hakuna wanachokijua,kwanza kabisa tutambue tangu mwaka 1972 yaliyokua makazi ya wakimbizi ya ulyankulu,katumba,mishamo na kigoma huko watu tangu mwaka huo kutoka ktk makazi hayo wanasoma na kuhitimu shule mbali mbali zilizoko nchini haya tujiulize,Kila mwaka wanahitimu je wanaenda wapi Kama sio kwenye mfumo wa ajira.Kwa hiyo hao watu wametapakaa kwenye Kila idala na hapa CDF kachelewa kulijua na Wala tatizo sio wao bali watz wenyewe tu.Hata hao anaofanya nao kazi CDF Kuna wengine ni wenyewe ni ngumu kumtambua mtu ukizingatia nchi zetu za Africa hazikua na utaratibu wa kuwatambua watoto mapema mahali waliko zaliwa kutokana na ufinyu wa miundombinu na usikute mpaka saivi Kuna watu Bado wanajifungulia nyumbani.
Ni uvivu na kutokuwa na elimu kuhusu Uraia kwa watanzania wengi
Hakuna wa kuwaambia wasubiri birth certificate wala kuirudia bali hata wakijifungulia hospitals wao ni mbio makwao hata hawafuatilii tena matibabu na chanjo za watoto
Angalia wahindi, waarabu na wasomali au asili zingine waliozaliwa tz yaani wakipata watoto tu cha kwanza anahakikisha amepata birth certificates za watoto wote haijalishi wamezaliwa kijijini wala wapi
Kwa sababu wamefundishwa uzawa ni mahali ulipozaliwa na una haki napo

Sisi mswahili wala hajali hilo yeye anajua ni mzawa basi atatambilika hata maofisini kwa kuongea kiswahili

Tunahitaji Elimu sana maana wakiona mhindi ana passport wanapiga kelele kumbe ni halali ingawa wengine wanazipata kiujanja ila waliozaliwa wana haki nazo na wasibaguliwe kabisa
Tulikuwa na waziri wa fedha zamani Amir Habib Jamal
 
Ujinga mtupu, Nina wajomba zangu wawili wa kike na wa kiume ni wanajeshi wa US Army na wala hawana miaka 10 Marekani.

Ujinga mtupu Jeshi kujiingiza kwenye siasa ndio maana wandharauliwa mpaka na Chalamila.

Mtu amekulia Tanzania amesoma Tanzania unataka akafanye kazi wapi?

Kwa nini asiwe mkweli tu kwamba hata marehemu alikuwa Mrundi? Si Bora hata Mrundi kuliko huyu wa Oman?
Tangu miaka hiyo Kuna wanafunzi waliokua wanachaguliwa kwenda kusoma zilizokua sekondari za vipaji maalumu kutoka makazi ya wakimbizi(kantalamba,mpanda girls,songea boys,ifunda,tabora boys,tosa maganga,iyunga n.k)jiulize baada ya kuhitimu masomo yao waliajiliwa wapi Kama sio wengine wako humo humo TISS na jeshini.
 
Ni uvivu na kutokuwa na elimu kuhusu Uraia kwa watanzania wengi
Hakuna wa kuwaambia wasubiri birth certificate wala kuirudia bali hata wakijifungulia hospitals wao ni mbio makwao hata hawafuatilii tena matibabu na chanjo za watoto
Angalia wahindi, waarabu na wasomali au asili zingine waliozaliwa tz yaani wakipata watoto tu cha kwanza anahakikisha amepata birth certificates za watoto wote haijalishi wamezaliwa kijijini wala wapi
Kwa sababu wamefundishwa uzawa ni mahali ulipozaliwa na una haki napo

Sisi mswahili wala hajali hilo yeye anajua ni mzawa basi atatambilika hata maofisini kwa kuongea kiswahili

Tunahitaji Elimu sana maana wakiona mhindi ana passport wanapiga kelele kumbe ni halali ingawa wengine wanazipata kiujanja ila waliozaliwa wana haki nazo na wasibaguliwe kabisa
Tulikuwa na waziri wa fedha zamani Amir Habib Jamal
Tatizo sio kufatilia birth certificate tatizo ni kwamba tangu miaka ya 60 birth certificate zilikua zinatolewa na kwanini mpaka mtu mwenyewe aifatilie?
 
Tatizo sio kufatilia birth certificate tatizo ni kwamba tangu miaka ya 60 birth certificate zilikua zinatolewa na kwanini mpaka mtu mwenyewe aifatilie?
Ni kweli ila ni mali yako lazima udai
Zamani kulikuwa na nidhamu
 
Back
Top Bottom