white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Mkuu achana na polojo hizo, sasa hivi hilo linaenda kutendeka na kubakia historia, kwani imekuwa kero kubwa mno!!yaani waenda kwa miguu sasa hivi wanagongwa na magari kisa sehemu zao zimepangwa vitu!!kwa taarifa yako huu ni mkakati wa nchi nzima sasa!Katika vitu ambavyo ulipaswa uende navyo taratibu tena kwa Umakini mkubwa mno ni hili Suala la Wamachinga ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nilidhani kuwa Wewe ni Mtoto wa mjini kweli tena wa Kawe na hili ungelishtukia upesi...
Hatuwezi kukaa na kuwaogopa watu wakijiamulua kufanya wanavyotaka tu eti kisa utachukiwa, nenda mbagala ukaone wachina wanavyopata kazi kwenye ujenzi wa barabara za mwendokasi, hadi wanatishiwa kupigwa, kisa kuwaambia watoe bidhaa zao ili kazi zifanyike!!!, Kwani ccm mnategemea kura zilizopigwa ili kushinda?mmeanza lini?
Wiki iliyopita kule kwenye stendi ya magufuri kwa nje walikuwa wameanza kujenga mabanda, yote yalivunjwa na mgambo!!