Mkuu wa Mkoa, jukumu la kuwaondoa Wamachinga ni lako. Usilikwepe

Mkuu wa Mkoa, jukumu la kuwaondoa Wamachinga ni lako. Usilikwepe

Kama huelewi utaratibu kaa kimya!!hayo maeneo yote yako chini ya manispaa, na DC, na DED, ndio wahusika , wenye vyombo vya utekelezaji, na wasimamizi wa BY LAWS!!zamu hii lazima wawekewe utaratibu, mtu anafungua grocery juu ya mtalo, wateja wake wanajisaidia barabarani!!
Najiuliza Hilo swali zile grocery za barabarani huwa wanajisaidia wap
 
Katika vitu ambavyo ulipaswa uende navyo taratibu tena kwa Umakini mkubwa mno ni hili Suala la Wamachinga ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nilidhani kuwa Wewe ni Mtoto wa mjini kweli tena wa Kawe na hili ungelishtukia upesi.

Kama kuna Kitu ambacho Rais na CCM hawataki Kukisikia ni Wamachinga Kubughudhiwa hapa nchini.

Hakuna asiyejua kuwa Mtaji Mkuu ( Mama ) wa Kiushawishi na Kisiasa wa CCM na ni hawa Wamachinga.

Kwakuwa ulipoteuliwa ghafla ulionekana hufai kuwa RC wa Dar sasa Watu wamekutega nawe umeingi mazima mazima.

Sikushauri tena kuwa uachane na huu Mpango wako, ila ninachojua umeshatoa Sababu ya Wewe Kutumbuliwa rasmi.

Upo uwezekano Mkoa wa Dar es Salaam akapewa Mwanamke au Kijana mwenye Msimamo na Ushawishi ndani ya CCM.

RC Amos Makalla napenda sana ubakie kuwa RC wa Dar ukizingatia ni mwana Simba SC Mwenzangu ila unaondolewa.

Unawaondoa Wamachinga kama ulivyoahidi ila Wamachinga hawa hawa watamfanya akutoe.

Wabaya wako ndani ya Mkoa, System na CCM wamekutafuta na wakakudanganya kuhusu Wamachinga nawe umeuvagaa.

Ni Suala la muda tu, ila Unatumbuliwa!
Hivi wewe Genta unajua kuwa alikuwa Mweka hazina wa CCM huyo kijana makala?
 
HAPANA kabisa hivi hao Wamachinga watabaki mpaka lini?
wamefunga mitaa,
wamefunga barabara
wamezinga maduka ya wanaolipa Leseni
wamefunga mpaka njia za wenye nyumba
NAONA MAKALLA ATAONESHA MFANO NA RAIS yupo naye Mwendazake alikosea sana kutaka kura za hisani wala sio Mama Rais Samia Suluhu Hassan
Wataendelea kuwapo, haya yote tunayoyasikia ni kutuonesha tu kuwa na wao wapo kazini.
 
Mkuu wa Mkoa kuagiza wakuu wa wilaya wawaondoe wamachinga barabarani ni kuwapa mzigo wasiouweza asilani.

Hawa wamachinga walikwisha pewa jeuri na viongozi wakuu wa taifa na tumeshuhudia waliojaribu kuwaondoa waliondoka wao!

Wewe binafsi uliwahi kuwapa muda wa kuondoka kwenye eneo la ujenzi wa mwendokasi lakini bado wapo hivyo kuwakwaza wajenzi.

Nakubaliana na ww hakuna Dc mwenye uwezo na ujasiri kwa hili la wamachinga Rc Makalla alibebe mwenyewe
 
Mkuu wa Mkoa kuagiza wakuu wa wilaya wawaondoe wamachinga barabarani ni kuwapa mzigo wasiouweza asilani.

Hawa wamachinga walikwisha pewa jeuri na viongozi wakuu wa taifa na tumeshuhudia waliojaribu kuwaondoa waliondoka wao!

Wewe binafsi uliwahi kuwapa muda wa kuondoka kwenye eneo la ujenzi wa mwendokasi lakini bado wapo hivyo kuwakwaza wajenzi.
Nakwambia watakinukisha mbaya
 
Kilichonisikitisha zaidi ni kwamba RC Amos Makalla ni Mtoto Mjini hasa sasa nimeshangaa ni kwanini ameshindwa Kushtuka mapema kuwa hatakiwi Dar es Salaam na kwamba kuna Watu Maalum wametumwa Kumdanganya Kimaamuzi ili akosee kama watakavyo na Bi. Hangaya amle Kichwa (amtumbue) mazima.
Kwaiyo mnataka wamachinga wapange bidhaa zao Hadi kwenye njia za waenda kwa miguu??! Kwani wao nani hadi ifikie waogopwe kuondolewa
 
Katika vitu ambavyo ulipaswa uende navyo taratibu tena kwa Umakini mkubwa mno ni hili Suala la Wamachinga ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nilidhani kuwa Wewe ni Mtoto wa mjini kweli tena wa Kawe na hili ungelishtukia upesi.

Kama kuna Kitu ambacho Rais na CCM hawataki Kukisikia ni Wamachinga Kubughudhiwa hapa nchini.

Hakuna asiyejua kuwa Mtaji Mkuu ( Mama ) wa Kiushawishi na Kisiasa wa CCM na ni hawa Wamachinga.

Kwakuwa ulipoteuliwa ghafla ulionekana hufai kuwa RC wa Dar sasa Watu wamekutega nawe umeingi mazima mazima.

Sikushauri tena kuwa uachane na huu Mpango wako, ila ninachojua umeshatoa Sababu ya Wewe Kutumbuliwa rasmi.

Upo uwezekano Mkoa wa Dar es Salaam akapewa Mwanamke au Kijana mwenye Msimamo na Ushawishi ndani ya CCM.

RC Amos Makalla napenda sana ubakie kuwa RC wa Dar ukizingatia ni mwana Simba SC Mwenzangu ila unaondolewa.

Unawaondoa Wamachinga kama ulivyoahidi ila Wamachinga hawa hawa watamfanya akutoe.

Wabaya wako ndani ya Mkoa, System na CCM wamekutafuta na wakakudanganya kuhusu Wamachinga nawe umeuvagaa.

Ni Suala la muda tu, ila Unatumbuliwa!
Hoja yako dhaifu sana, kwa hiyo nchi hii tumekuwa tunachaguliwa kiongozi na wamachinga? saficha mji wote na 2025 chama kinashinda upige kura usipige ila kusema huu upuuzi basi kesho watakuja vibaka na kusema mkitukamata hatupigi kura itabidi uwaachie tu kesho tu malaya sijui atakuja nani tena. mkuu wa mkoa safisha ni bora utengeliwe kwa kufanya jambo sawa kuliko kuendekeza huu upuuzi.
 
Issue ni wamachinga wanaopanga bidhaa barabarani, Serikali ya mkoa wa Dar es Salaam ni vema ikaandaa maeneo rafiki ya kufanyia biashara kwa wamachinga watakao ondolewa barabarani au njia za waenda kwa miguu.
Elimu itolewe kabla ya kutekelezazoezi hilo, na kazi iendelee.
 
Serikali nzima ipo nyuma ya hili. Anayetaka kuota ndoto za mchana, aendelee. Machinga wataondolewa, hakuna wa kutumbuliwa wala kutumbua.
 
Hoja yako dhaifu sana, kwa hiyo nchi hii tumekuwa tunachaguliwa kiongozi na wamachinga? saficha mji wote na 2025 chama kinashinda upige kura usipige ila kusema huu upuuzi basi kesho watakuja vibaka na kusema mkitukamata hatupigi kura itabidi uwaachie tu kesho tu malaya sijui atakuja nani tena. mkuu wa mkoa safisha ni bora utengeliwe kwa kufanya jambo sawa kuliko kuendekeza huu upuuzi.
Hicho alichosema ni nukuu tu toka kwa mwendazake, yeye alisema hawa ni wapigakura wake wasibugudhiwe na ruksa kufanya biashara hata mlangoni kwa mkuu wa mkoa na barabara zimejengwa kwa ajili yao wafanyie biashara, sasa sijiui unamkatalia nini, kauli ile ndiyo inayowafanya viongozi wote kuwaogopa wamachinga na kila aliyewagusa aliondoka yeye.
 
Hicho alichosema ni nukuu tu toka kwa mwendazake, yeye alisema hawa ni wapigakura wake wasibugudhiwe na ruksa kufanya biashara hata mlangoni kwa mkuu wa mkoa na barabara zimejengwa kwa ajili yao wafanyie biashara, sasa sijiui unamkatalia nini, kauli ile ndiyo inayowafanya viongozi wote kuwaogopa wamachinga na kila aliyewagusa aliondoka yeye.
Hajasema nukuu usipotoshe na hata kama JPM ameshafariki hii ni serikali mpya na sera mpya ni kama chanjo alizikataa na sasa zinakubaliwa hakuna haja ya kumuingiza Marehemu katika hili. Tuongelee ya sasa kama wamachinga walikuwa wapiga kura wake basi Mama wapiga kura wake watembea kwa miguu na wafanya biashara. Hakuna kuwa kiburi machinga wala nini kwanza hao hata hawapigi kura wako busy na biashara tu. Safisha mji mkuu wa mkoa.
 
Chochote kinachofanyika bila utaratibu ni ghasia na fujo
Ghasia ni ile unayofanya bila ruhusa, ukiruhusiwa kufanya biashara katikati ya barabara, hiyo si ghasia ndiyo sababu hawaguswi na mtu yoyote.
 
Nafikiri hivi..kama kuna mtu anajitaftia riziki sehemu na habughuzi riziki zako achana naye!
Kutafuta riziki ni sawa, ila kuna watu ambao halimashauri za wilaya zimechukua hela chungu nzima kama kodi, na ada za leseni ila kwa usumbufu wa hawa wajasiriamali wamefunga njia zote za kufikia haya maduka!! Wewe binafsi unaona hii ni sawa!?
 
Katika vitu ambavyo ulipaswa uende navyo taratibu tena kwa Umakini mkubwa mno ni hili Suala la Wamachinga ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nilidhani kuwa Wewe ni Mtoto wa mjini kweli tena wa Kawe na hili ungelishtukia upesi.

Kama kuna Kitu ambacho Rais na CCM hawataki Kukisikia ni Wamachinga Kubughudhiwa hapa nchini.

Hakuna asiyejua kuwa Mtaji Mkuu ( Mama ) wa Kiushawishi na Kisiasa wa CCM na ni hawa Wamachinga.

Kwakuwa ulipoteuliwa ghafla ulionekana hufai kuwa RC wa Dar sasa Watu wamekutega nawe umeingi mazima mazima.

Sikushauri tena kuwa uachane na huu Mpango wako, ila ninachojua umeshatoa Sababu ya Wewe Kutumbuliwa rasmi.

Upo uwezekano Mkoa wa Dar es Salaam akapewa Mwanamke au Kijana mwenye Msimamo na Ushawishi ndani ya CCM.

RC Amos Makalla napenda sana ubakie kuwa RC wa Dar ukizingatia ni mwana Simba SC Mwenzangu ila unaondolewa.

Unawaondoa Wamachinga kama ulivyoahidi ila Wamachinga hawa hawa watamfanya akutoe.

Wabaya wako ndani ya Mkoa, System na CCM wamekutafuta na wakakudanganya kuhusu Wamachinga nawe umeuvagaa.

Ni Suala la muda tu, ila Unatumbuliwa!
Mkuu pamoja na ushauri wako mzuri lakini nadhani tukijua majukumu ya viongozi wetu wa juu ya uendeshwaji wa shughuli za Serikali, hakuna tatizo lolote katika kulishughulikia suala hili, vinginevyo ni baadhi ya viongozi wa juu kutaka kujimwambafai, ni hili ndilo tatizo kubwa kwa Viongozi wengi. Suala hili kuwa chini ya Mkuu wa Mkoa ndio mahala pake; yeye na wakuu wa wilaya ndio wanapanga namna na mbinu na mikakati ya jinsi ya kulitatua.
Watendaji Kata na Mitaa/Vijiji ndio watekelezaji katika maeneo yao, ni suala la kuwezeswa na kupatiwa nyenzo za kazi.

Serikali ndio yenye Dola, hivyo ni matumaini yangu kwa % 100 inauwezo wa kutatua tatizo hili bila ya madhara yeyote na kila mmoja wetu akarizika kabisa na utekelezaji wake, la msingi ni kila Kiongozi atimize wajibu wake. Suala hili si la vyama ni suala la Kiserikali Kwa manufaa ya Wananchi wote
 
Hili jambo sio lake wala la mtu mmoja...

Hili jambo ni letu Sote....

 
Machinga wanakuwaje mtaji wa mtu ambaye anakuambia ukipeleka kura kwengine basi umeunga kijiko cha sukari baharini/ziwani; vyovyote vile, yeye ndiye mwenye kuunda serikali?

Mwendazake alitaka kuvuruga miji ili kukamilisha azma yake ya kuhakikisha wazee wa mujini wanaishi kama mashetani. Hakuhitaji kura za machinga, labda kusifiwa na kuabudiwa tu.
Kinachotakiwa sasa ni kusahau yaliyopita na kuanza kuweka miji yetu katika ustaarabu!! Zamani hawa mama lishe walikuwa angalau wanaogopa uwepo wa sheria walikuwa wanapikia maeneo yasiyokuwa na usumbufu na kuleta chakula kilichopikwa!! Sasa wanapikia popote!! Hii ni aibu sana
 
Katika vitu ambavyo ulipaswa uende navyo taratibu tena kwa Umakini mkubwa mno ni hili Suala la Wamachinga ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nilidhani kuwa Wewe ni Mtoto wa mjini kweli tena wa Kawe na hili ungelishtukia upesi.

Kama kuna Kitu ambacho Rais na CCM hawataki Kukisikia ni Wamachinga Kubughudhiwa hapa nchini.

Hakuna asiyejua kuwa Mtaji Mkuu ( Mama ) wa Kiushawishi na Kisiasa wa CCM na ni hawa Wamachinga.

Kwakuwa ulipoteuliwa ghafla ulionekana hufai kuwa RC wa Dar sasa Watu wamekutega nawe umeingi mazima mazima.

Sikushauri tena kuwa uachane na huu Mpango wako, ila ninachojua umeshatoa Sababu ya Wewe Kutumbuliwa rasmi.

Upo uwezekano Mkoa wa Dar es Salaam akapewa Mwanamke au Kijana mwenye Msimamo na Ushawishi ndani ya CCM.

RC Amos Makalla napenda sana ubakie kuwa RC wa Dar ukizingatia ni mwana Simba SC Mwenzangu ila unaondolewa.

Unawaondoa Wamachinga kama ulivyoahidi ila Wamachinga hawa hawa watamfanya akutoe.

Wabaya wako ndani ya Mkoa, System na CCM wamekutafuta na wakakudanganya kuhusu Wamachinga nawe umeuvagaa.

Ni Suala la muda tu, ila Unatumbuliwa!
Kwanza wamachinga awampendi mama yetu kutwa kumsema vibaya Bora wafurushwe warudi maporini kwao,au Chato
 
Back
Top Bottom