Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Najiuliza Hilo swali zile grocery za barabarani huwa wanajisaidia wapKama huelewi utaratibu kaa kimya!!hayo maeneo yote yako chini ya manispaa, na DC, na DED, ndio wahusika , wenye vyombo vya utekelezaji, na wasimamizi wa BY LAWS!!zamu hii lazima wawekewe utaratibu, mtu anafungua grocery juu ya mtalo, wateja wake wanajisaidia barabarani!!