Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Najiuliza Hilo swali zile grocery za barabarani huwa wanajisaidia wapKama huelewi utaratibu kaa kimya!!hayo maeneo yote yako chini ya manispaa, na DC, na DED, ndio wahusika , wenye vyombo vya utekelezaji, na wasimamizi wa BY LAWS!!zamu hii lazima wawekewe utaratibu, mtu anafungua grocery juu ya mtalo, wateja wake wanajisaidia barabarani!!
Hivi wewe Genta unajua kuwa alikuwa Mweka hazina wa CCM huyo kijana makala?Katika vitu ambavyo ulipaswa uende navyo taratibu tena kwa Umakini mkubwa mno ni hili Suala la Wamachinga ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nilidhani kuwa Wewe ni Mtoto wa mjini kweli tena wa Kawe na hili ungelishtukia upesi.
Kama kuna Kitu ambacho Rais na CCM hawataki Kukisikia ni Wamachinga Kubughudhiwa hapa nchini.
Hakuna asiyejua kuwa Mtaji Mkuu ( Mama ) wa Kiushawishi na Kisiasa wa CCM na ni hawa Wamachinga.
Kwakuwa ulipoteuliwa ghafla ulionekana hufai kuwa RC wa Dar sasa Watu wamekutega nawe umeingi mazima mazima.
Sikushauri tena kuwa uachane na huu Mpango wako, ila ninachojua umeshatoa Sababu ya Wewe Kutumbuliwa rasmi.
Upo uwezekano Mkoa wa Dar es Salaam akapewa Mwanamke au Kijana mwenye Msimamo na Ushawishi ndani ya CCM.
RC Amos Makalla napenda sana ubakie kuwa RC wa Dar ukizingatia ni mwana Simba SC Mwenzangu ila unaondolewa.
Unawaondoa Wamachinga kama ulivyoahidi ila Wamachinga hawa hawa watamfanya akutoe.
Wabaya wako ndani ya Mkoa, System na CCM wamekutafuta na wakakudanganya kuhusu Wamachinga nawe umeuvagaa.
Ni Suala la muda tu, ila Unatumbuliwa!
Rais Samia yupi?Rais Samia hakubaliani na upuuzi.
Wataendelea kuwapo, haya yote tunayoyasikia ni kutuonesha tu kuwa na wao wapo kazini.HAPANA kabisa hivi hao Wamachinga watabaki mpaka lini?
wamefunga mitaa,
wamefunga barabara
wamezinga maduka ya wanaolipa Leseni
wamefunga mpaka njia za wenye nyumba
NAONA MAKALLA ATAONESHA MFANO NA RAIS yupo naye Mwendazake alikosea sana kutaka kura za hisani wala sio Mama Rais Samia Suluhu Hassan
Mkuu wa Mkoa kuagiza wakuu wa wilaya wawaondoe wamachinga barabarani ni kuwapa mzigo wasiouweza asilani.
Hawa wamachinga walikwisha pewa jeuri na viongozi wakuu wa taifa na tumeshuhudia waliojaribu kuwaondoa waliondoka wao!
Wewe binafsi uliwahi kuwapa muda wa kuondoka kwenye eneo la ujenzi wa mwendokasi lakini bado wapo hivyo kuwakwaza wajenzi.
Nakwambia watakinukisha mbayaMkuu wa Mkoa kuagiza wakuu wa wilaya wawaondoe wamachinga barabarani ni kuwapa mzigo wasiouweza asilani.
Hawa wamachinga walikwisha pewa jeuri na viongozi wakuu wa taifa na tumeshuhudia waliojaribu kuwaondoa waliondoka wao!
Wewe binafsi uliwahi kuwapa muda wa kuondoka kwenye eneo la ujenzi wa mwendokasi lakini bado wapo hivyo kuwakwaza wajenzi.
Kwaiyo mnataka wamachinga wapange bidhaa zao Hadi kwenye njia za waenda kwa miguu??! Kwani wao nani hadi ifikie waogopwe kuondolewaKilichonisikitisha zaidi ni kwamba RC Amos Makalla ni Mtoto Mjini hasa sasa nimeshangaa ni kwanini ameshindwa Kushtuka mapema kuwa hatakiwi Dar es Salaam na kwamba kuna Watu Maalum wametumwa Kumdanganya Kimaamuzi ili akosee kama watakavyo na Bi. Hangaya amle Kichwa (amtumbue) mazima.
wamachinga ni jeshi au?! Yaan mmebakia kupinga pinga kila kitu,Nakubaliana na ww hakuna Dc mwenye uwezo na ujasiri kwa hili la wamachinga Rc Makalla alibebe mwenyewe
Hoja yako dhaifu sana, kwa hiyo nchi hii tumekuwa tunachaguliwa kiongozi na wamachinga? saficha mji wote na 2025 chama kinashinda upige kura usipige ila kusema huu upuuzi basi kesho watakuja vibaka na kusema mkitukamata hatupigi kura itabidi uwaachie tu kesho tu malaya sijui atakuja nani tena. mkuu wa mkoa safisha ni bora utengeliwe kwa kufanya jambo sawa kuliko kuendekeza huu upuuzi.Katika vitu ambavyo ulipaswa uende navyo taratibu tena kwa Umakini mkubwa mno ni hili Suala la Wamachinga ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nilidhani kuwa Wewe ni Mtoto wa mjini kweli tena wa Kawe na hili ungelishtukia upesi.
Kama kuna Kitu ambacho Rais na CCM hawataki Kukisikia ni Wamachinga Kubughudhiwa hapa nchini.
Hakuna asiyejua kuwa Mtaji Mkuu ( Mama ) wa Kiushawishi na Kisiasa wa CCM na ni hawa Wamachinga.
Kwakuwa ulipoteuliwa ghafla ulionekana hufai kuwa RC wa Dar sasa Watu wamekutega nawe umeingi mazima mazima.
Sikushauri tena kuwa uachane na huu Mpango wako, ila ninachojua umeshatoa Sababu ya Wewe Kutumbuliwa rasmi.
Upo uwezekano Mkoa wa Dar es Salaam akapewa Mwanamke au Kijana mwenye Msimamo na Ushawishi ndani ya CCM.
RC Amos Makalla napenda sana ubakie kuwa RC wa Dar ukizingatia ni mwana Simba SC Mwenzangu ila unaondolewa.
Unawaondoa Wamachinga kama ulivyoahidi ila Wamachinga hawa hawa watamfanya akutoe.
Wabaya wako ndani ya Mkoa, System na CCM wamekutafuta na wakakudanganya kuhusu Wamachinga nawe umeuvagaa.
Ni Suala la muda tu, ila Unatumbuliwa!
Hicho alichosema ni nukuu tu toka kwa mwendazake, yeye alisema hawa ni wapigakura wake wasibugudhiwe na ruksa kufanya biashara hata mlangoni kwa mkuu wa mkoa na barabara zimejengwa kwa ajili yao wafanyie biashara, sasa sijiui unamkatalia nini, kauli ile ndiyo inayowafanya viongozi wote kuwaogopa wamachinga na kila aliyewagusa aliondoka yeye.Hoja yako dhaifu sana, kwa hiyo nchi hii tumekuwa tunachaguliwa kiongozi na wamachinga? saficha mji wote na 2025 chama kinashinda upige kura usipige ila kusema huu upuuzi basi kesho watakuja vibaka na kusema mkitukamata hatupigi kura itabidi uwaachie tu kesho tu malaya sijui atakuja nani tena. mkuu wa mkoa safisha ni bora utengeliwe kwa kufanya jambo sawa kuliko kuendekeza huu upuuzi.
Hajasema nukuu usipotoshe na hata kama JPM ameshafariki hii ni serikali mpya na sera mpya ni kama chanjo alizikataa na sasa zinakubaliwa hakuna haja ya kumuingiza Marehemu katika hili. Tuongelee ya sasa kama wamachinga walikuwa wapiga kura wake basi Mama wapiga kura wake watembea kwa miguu na wafanya biashara. Hakuna kuwa kiburi machinga wala nini kwanza hao hata hawapigi kura wako busy na biashara tu. Safisha mji mkuu wa mkoa.Hicho alichosema ni nukuu tu toka kwa mwendazake, yeye alisema hawa ni wapigakura wake wasibugudhiwe na ruksa kufanya biashara hata mlangoni kwa mkuu wa mkoa na barabara zimejengwa kwa ajili yao wafanyie biashara, sasa sijiui unamkatalia nini, kauli ile ndiyo inayowafanya viongozi wote kuwaogopa wamachinga na kila aliyewagusa aliondoka yeye.
Ghasia ni ile unayofanya bila ruhusa, ukiruhusiwa kufanya biashara katikati ya barabara, hiyo si ghasia ndiyo sababu hawaguswi na mtu yoyote.Chochote kinachofanyika bila utaratibu ni ghasia na fujo
Watembea kwa miguu wanatembea juu ya vibanda?Kwa hiyo watembea kwa miguu sio binadamu?
Kutafuta riziki ni sawa, ila kuna watu ambao halimashauri za wilaya zimechukua hela chungu nzima kama kodi, na ada za leseni ila kwa usumbufu wa hawa wajasiriamali wamefunga njia zote za kufikia haya maduka!! Wewe binafsi unaona hii ni sawa!?Nafikiri hivi..kama kuna mtu anajitaftia riziki sehemu na habughuzi riziki zako achana naye!
Mkuu pamoja na ushauri wako mzuri lakini nadhani tukijua majukumu ya viongozi wetu wa juu ya uendeshwaji wa shughuli za Serikali, hakuna tatizo lolote katika kulishughulikia suala hili, vinginevyo ni baadhi ya viongozi wa juu kutaka kujimwambafai, ni hili ndilo tatizo kubwa kwa Viongozi wengi. Suala hili kuwa chini ya Mkuu wa Mkoa ndio mahala pake; yeye na wakuu wa wilaya ndio wanapanga namna na mbinu na mikakati ya jinsi ya kulitatua.Katika vitu ambavyo ulipaswa uende navyo taratibu tena kwa Umakini mkubwa mno ni hili Suala la Wamachinga ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nilidhani kuwa Wewe ni Mtoto wa mjini kweli tena wa Kawe na hili ungelishtukia upesi.
Kama kuna Kitu ambacho Rais na CCM hawataki Kukisikia ni Wamachinga Kubughudhiwa hapa nchini.
Hakuna asiyejua kuwa Mtaji Mkuu ( Mama ) wa Kiushawishi na Kisiasa wa CCM na ni hawa Wamachinga.
Kwakuwa ulipoteuliwa ghafla ulionekana hufai kuwa RC wa Dar sasa Watu wamekutega nawe umeingi mazima mazima.
Sikushauri tena kuwa uachane na huu Mpango wako, ila ninachojua umeshatoa Sababu ya Wewe Kutumbuliwa rasmi.
Upo uwezekano Mkoa wa Dar es Salaam akapewa Mwanamke au Kijana mwenye Msimamo na Ushawishi ndani ya CCM.
RC Amos Makalla napenda sana ubakie kuwa RC wa Dar ukizingatia ni mwana Simba SC Mwenzangu ila unaondolewa.
Unawaondoa Wamachinga kama ulivyoahidi ila Wamachinga hawa hawa watamfanya akutoe.
Wabaya wako ndani ya Mkoa, System na CCM wamekutafuta na wakakudanganya kuhusu Wamachinga nawe umeuvagaa.
Ni Suala la muda tu, ila Unatumbuliwa!
Kinachotakiwa sasa ni kusahau yaliyopita na kuanza kuweka miji yetu katika ustaarabu!! Zamani hawa mama lishe walikuwa angalau wanaogopa uwepo wa sheria walikuwa wanapikia maeneo yasiyokuwa na usumbufu na kuleta chakula kilichopikwa!! Sasa wanapikia popote!! Hii ni aibu sanaMachinga wanakuwaje mtaji wa mtu ambaye anakuambia ukipeleka kura kwengine basi umeunga kijiko cha sukari baharini/ziwani; vyovyote vile, yeye ndiye mwenye kuunda serikali?
Mwendazake alitaka kuvuruga miji ili kukamilisha azma yake ya kuhakikisha wazee wa mujini wanaishi kama mashetani. Hakuhitaji kura za machinga, labda kusifiwa na kuabudiwa tu.
Kwanza wamachinga awampendi mama yetu kutwa kumsema vibaya Bora wafurushwe warudi maporini kwao,au ChatoKatika vitu ambavyo ulipaswa uende navyo taratibu tena kwa Umakini mkubwa mno ni hili Suala la Wamachinga ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nilidhani kuwa Wewe ni Mtoto wa mjini kweli tena wa Kawe na hili ungelishtukia upesi.
Kama kuna Kitu ambacho Rais na CCM hawataki Kukisikia ni Wamachinga Kubughudhiwa hapa nchini.
Hakuna asiyejua kuwa Mtaji Mkuu ( Mama ) wa Kiushawishi na Kisiasa wa CCM na ni hawa Wamachinga.
Kwakuwa ulipoteuliwa ghafla ulionekana hufai kuwa RC wa Dar sasa Watu wamekutega nawe umeingi mazima mazima.
Sikushauri tena kuwa uachane na huu Mpango wako, ila ninachojua umeshatoa Sababu ya Wewe Kutumbuliwa rasmi.
Upo uwezekano Mkoa wa Dar es Salaam akapewa Mwanamke au Kijana mwenye Msimamo na Ushawishi ndani ya CCM.
RC Amos Makalla napenda sana ubakie kuwa RC wa Dar ukizingatia ni mwana Simba SC Mwenzangu ila unaondolewa.
Unawaondoa Wamachinga kama ulivyoahidi ila Wamachinga hawa hawa watamfanya akutoe.
Wabaya wako ndani ya Mkoa, System na CCM wamekutafuta na wakakudanganya kuhusu Wamachinga nawe umeuvagaa.
Ni Suala la muda tu, ila Unatumbuliwa!