prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,184
- 3,369
Ndiyo mambo yake huyo jamaa ,nilikuwa assigned kazi Fulani mkoani kwake ,nikaifanya vizuriAlimdharirisha mkuuwa shule fulani iko simiyu,ni mtu wa kumzaa lakini kamtukana kwa maneno ya shombo,mpuuzi sana bwana yule,akafie mbali na ufirauni wake
Ni mtu wa majivuno na kisirani hasa akijua Kuna wanawake around ,alinitolea maneno ya shombo sana ,Sasa acha yamkute ,oyaa Yahya nasemaje kma unasoma hapa ushanijua bila shaka ,nasema ukome Mara Mia na usikumbukwe tena nyau weweAlimdharirisha mkuuwa shule fulani iko simiyu,ni mtu wa kumzaa lakini kamtukana kwa maneno ya shombo,mpuuzi sana bwana yule,akafie mbali na ufirauni wake
Removed Regional Commissioner is the victim of the planned and targeted Sexpionage operation and sexual entrapment scandal.Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
2. Amemteua Bw. Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Kabla uteuzi, Bw. Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu.
3. Amemteua Bw. Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Bw. Magala anachukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
4. Amemteua Bw. George Hillary Herbet kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi, Bw. Herbet alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.
Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa Mahakama ya Rufani utafayika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.
====
Pias soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi
Anafurahia harufu ya kinyesi.Dah tigo imemponza....angepiga shimo tu
inaweza kuwa kweli!Mganga wake kamponza
Loooooh! Picha hii jamani!Wala hata sishituki.
Unatoa kibaka unaingiza jambazi.
Gekul yupo gereza gani?
Huyu Kenani haya mamlaka ya kucharaza watu bakora aliyatoa wapi?
Yaani nchi bado ina majambazi yanayovunja sheria kwa kufanya " corporal punishment" ila yanapewa tu nafasi kwa kuhamishwa..
Mbona mafisadi wanaoiba hawacharazwi bakora hadharani.?
View attachment 3014548
Kihongosi viboko.Loooooh! Picha hii jamani!
Dah ndio bas tena....akajiajiri sasaAnafurahia harufu ya kinyesi.
Watu walipigwa viboko bila ushahidiL
Hao ndio wateule wa mama !
Licha ya alichokifanya hakuna hatua alizochukuliwa zaidi ya kupewa vyeo CCM na serikalini.
Kihongosi viboko.
Gekul chupa.
Nawanda ulawiti.
Huyu Nawanda kapumzishwa tu atarudi , CCM ni ile ile.
oooooh! Picha hii jamani!
Format iliyotolewa na katibu mkuu kiongozi kwenye uteuzi /utenguzi wa Zuhura Yunus ndiyo standard zuri sana.Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
2. Amemteua Bw. Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Kabla uteuzi, Bw. Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu.
3. Amemteua Bw. Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Bw. Magala anachukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
4. Amemteua Bw. George Hillary Herbet kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi, Bw. Herbet alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.
Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa Mahakama ya Rufani utafayika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.
====
Pias soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi
wote ni hao hao, maharamia, kama si mzinzi ana lile. CCM wote ni hao hao ila makosa yanatofautianaRais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara akichukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Rais Samia amemteua pia Elias Daniel
Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba, kabla ya uteuzi, Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais - Ikulu na pia Rais Samia amemteua George Hillary Herbert kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani, kabla ya uteuzi, Herbert alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.
Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa
Mahakama ya Rufani utafanyika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.
Sources MillardAyoUPDATES
Kwa hiyo msolopaganzi imemponzaPhD.
Jamaa ana sifa balaa. Anapenda kujikweza mno. Alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora, nilishafanya naye kazi moja.
Ni mjivuni na mpenda wanawake. A very shallow candidate!.
Hayupo wa kumpa madaraka filauni huyo ndo kwaheri mwalimuNdiyo mambo yake huyo jamaa ,nilikuwa assigned kazi Fulani mkoani kwake ,nikaifanya vizuri
Ni mtu wa majivuno na kisirani hasa akijua Kuna wanawake around ,alinitolea maneno ya shombo sana ,Sasa acha yamkute ,oyaa Yahya nasemaje kma unasoma hapa ushanijua bila shaka ,nasema ukome Mara Mia na usikumbukwe tena nyau wewe
Tamaa hawaHuyu dada naye ni mwasherati sana, sasa yeye alikuwa anamfuata wa nini??? Badala akae akasome anadekeza ngono! Hii dhambi itawapeleka wengi moton sana
Atarudi tu...---ni nchi inayowakombatia wezi,wazinzi nkHayupo wa kumpa madaraka filauni huyo ndo kwaheri mwalimu
Akafanye kazi ya kutapisha vyoo maana anafurahia harufu ya kinyesiDah ndio bas tena....akajiajiri sasa