Mkuu wa nchi lazima awe mkali na aogopwe. Asipoogopwa kila kitu kitakwenda mrama. Hata hayati Julius Nyerere aliogopwa na alikuwa mkali

Mkuu wa nchi lazima awe mkali na aogopwe. Asipoogopwa kila kitu kitakwenda mrama. Hata hayati Julius Nyerere aliogopwa na alikuwa mkali

Huu ndio ujinga wetu watanzania, nyinyi ni wauwaji Kama wauwaji wengine tu,Yani unashindwa kuwatibia ndugu zako kisa raisi hakutishii kukufukuza kazi?huu ni ujinga uliopitiliza
Siyo hospital yetu tu, hali ipo hivyo kote.

Hakuna nidhamu ya moyoni na kwa asili Waafrika hatupendi kazi, tunaona ni utumwa.

That's why tunahitaji kiongozi imara kama Magufuli anayeweza kusimamia vizuri.

Na hiyo ndio nidhamu yetu ya moyoni.
 
Hakuna kitu kinachoitwa nidhamu ya moyoni.

Maana ya nidhamu ni kufuata taratibu au sheria husika bila kujali unataka au hutaki.

Nidhamu ni uoga wa kuvunja taratibu au sheria. Without consequences hakuna binadamu ambae angefuata taratibu zote.

Bila sheria kali zinazosimamiwa ipasavyo lazima kuvuna mabua.
 
Marekani na Ulaya, ambapo tunawaiga kwa demokrasia, hawabembelezani.

Trump alikuwa anafukuza watu karibu kila siku.

Hakuna kitu kinachoitwa nidhamu ya moyoni!
Sawa uwe mkali lkn uwe na akili na uwe mafia kwelikweli siompiga dili!

Siyo kuropoka tu bila kutumia akili
 
Hakunaga kitu kinaitwa nidhamu ya moyoni ni hakuna zunguka dunia nzima,wenzetu ni sheria ngumu za kazi/ ajira ndo zinazowafanya watu wafanye kazi za bidii ikiwemo pamoja na ukali wamabosi na ufatiliaji wa karibu, ukizingua unalimwa kichwa mapema na sio kubembelezana kwenye kazi. Huyu bi ambiliki sijui katokea wapi!!?
 
Mkuu wa nchi ambae ndio ndio custodian wa mali za taifa la watanzania kudai kuwa hawezi kufokea mtumishi wa umma ni kushangaza umma wa watanzania.

Kwamba watumishi wa umma wakiharibu atawabembeleza?

Nimekaa na wazee wengi waliofanya kazi na hayati Julius Nyerere wanasema wazi kuwa Mwalimu alikuwa mkali sana.

Ilitokea akikuita kwake Msasani au Ikulu ilikuwa lazima upate wasiwasi na woga mkuu.

Wengine aliwaita kuwapongeza lakini hawakuamini walichoitiwa wapo pia aliowafokea hadaharani au hata kifichoni.

Kwamba mkuu wa nchi unafanya kazi kwa kuonea aibu wateule wako? Kwamba utakuwa unawabembeleza?

Mbona hii sio sawa? Mkuu wa kaya lazima uwe mkali ili nidhamu ipatikane kuanzia juu mpaka chini.

Hatusemi ufokee watu kama watoto wako. Bali uwe na maamuzi na maelekezo yenye kuonyesha kuwa kuna kiongozi mwenye mamlaka aisiyetaka mzaha na anataka watu wafanye kazi.

Mfano, tulitegemea umkaripie January Makamba maana mradi wa JNHP unaweweseka kama vile hauna manufaa kwa wanaCcM wenzake.
Yale mashirika ya umma yalipokufa, Nyerere alianza kuwa mpole etiii? Kuongoza nchi ni sayansi, sio kuropoka tu kama kichaa wa awamu Ile, kuteka watu, kupiga risasi, kutumia akina sabaya na makonda
 
Hakuna kitu kinachoitwa nidhamu ya moyoni.

Maana ya nidhamu ni kufuata taratibu au sheria husika bila kujali unataka au hutaki.

Nidhamu ni uoga wa kuvunja taratibu au sheria. Without consequences hakuna binadamu ambae angefuata taratibu zote.

Bila sheria kali zinazosimamiwa ipasavyo lazima kuvuna mabua.
...nidhamu sio uoga wa kufunja Sheria...Nidhamu ni moyo na utashi wa kufuata Sheria!
 
Yale mashirika ya umma yalipokufa, Nyerere alianza kuwa mpole etiii? Kuongoza nchi ni sayansi, sio kuropoka tu kama kichaa wa awamu Ile, kuteka watu, kupiga risasi, kutumia akina sabaya na makonda
Kaa kimya
 
Kuongoza maana yake ni kusimamia; hakuna uongozi bila usiamamizi.

Ndiyo maana nilishangaa sana kauli iliyotolewa na rais kwamba watu walikuwa na nidhamu ya woga kwa sababu ya kusimamiwa.

Who cares iwapo nidhamu hiyo ni ya woga au ni ya halali ilimradi shughuli za serikali zinakwenda inavyotakiwa?
aliyekua anasimamia nidhamu,aliitwa nyapara.dikteta
 
Kwa hiyo wewe na vilaza wenzako mnasubiria Rais aje kuwapingia majukumu na muda sahihi wa kufanya kazi?!
Pumbavu kabisa, ndio maana umaskini umeamua kukita kambi kwetu.
Mkuu kwenye hii hospital ninayofanyia kazi siku hizi tunaingia ofisi 07:30 then tunakuwa na vikao vya Morning Report mpaka 09:00 hadi 09:30.

Hapo mtaenda kuhudumia wagonjwa hadi kwenye 10:30 halafu watu wanaenda canteen kunywa chai. Chai inanyweka huku stori zinapigwa hata mpaka 12:00 hivi au zaidi.

Mkirudi mnafanya kazi saa moja au moja na nusu mnarudi canteen kupata lunch ndio mpaka saa 15:30 watu wanarudi ku-sign out. Siku imeisha.

Hiyo ndio nidhamu ya moyoni ya hawa Watanzania hapa nilipo. Enzi za Magufuli tulinyooshwa na kazi zilifanyika kwa weledi knowing ukizingua imekula kwako.

RIP Magufuli.
 
Hakuna Mtanzania anayependa kufanya kazi bila kusukumwa.

Ndio maana sasa hivi ubora wa huduma za umma umeshuka sana.

Tunapewa majibu ya hovyo na hatuna cha kuwafanya.
Wakaanga sumu utawajua tu. Malalamishi daily utafikiri wao ni watanzania zaidi ya wengine Nyie wafia legacy sonoma itawaua kabla ya 2025. Au nasema uwongo ndugu zangu?! Hakuna cha legacy; mberee kwa mberee!

Cc Nyakarungu. Kukaanga sumu haiwasaidii. Fanyeni kazi, ongezeni pato lenu lisheni familia zenu na jamaa zenu. Mzee Makamba kataamka wazi juzi kwamba sasa hivi kila moja wenu analamba asali.
 
Kinachotakiwa ni kujenga mifumo na taasisi imara, badala ya Rais kuja kuwasimamia manesi hospitalini ili mfanye kazi zenu vizuri inapaswa madaktari na manesi waajiriwe na Hospital husika au DMO kwa mikataba maalumu badala ya ajira za kudumu zinazotolewa na utumishi.
Siyo lazima aje Rais. Kipindi cha Magufuli hata bila Rais kuja kulikuwa na usimamizi mzuri.

Kila mtu aliwajibika ipasavyo huku akijua asipofanya hivyo atakuwa kwenye matatizo.

Sasa hivi hakuna anayesimamia... Jana ndio tumeambiwa hii ni nidhamu ya moyoni.
 
Kwa hiyo wewe na vilaza wenzako mnasubiria Rais aje kuwapingia majukumu na muda sahihi wa kufanya kazi?!
Pumbavu kabisa, ndio maana umaskini umeamua kukita kambi kwetu.
Wewe ndiye mpumbavu usiyejua kusoma "between the lines". Rudi shule pengine utaielewa vizuri hiyo comment.
 
Kwa hiyo wewe na vilaza wenzako mnasubiria Rais aje kuwapingia majukumu na muda sahihi wa kufanya kazi?!
Pumbavu kabisa, ndio maana umaskini umeamua kukita kambi kwetu.
Acha hasira we kibwengo. Mkuu wa nchi ndio msimamizi wa watumishi wote wa umma. Lazima onyesha mamlaka yake ya usimamizi.
 
Kinachotakiwa ni kujenga mifumo na taasisi imara, badala ya Rais kuja kuwasimamia manesi hospitalini ili mfanye kazi zenu vizuri inapaswa madaktari na manesi waajiriwe na Hospital husika au DMO kwa mikataba maalumu badala ya ajira za kudumu zinazotolewa na utumishi.
Unaona taka taka unazoongea hapo? Yani madaktari na manesi waajiliwe na DMO kwa mkataba.. ila nyie walimu na kada nyingine mpate ajila za kudumu.. kwa akili matakataka kama hiyo hivi hata familia yako unaweza kuiongoza wewe?? Your brain is a useless piece of shit...
 
Kinachotakiwa ni kujenga mifumo na taasisi imara, badala ya Rais kuja kuwasimamia manesi hospitalini ili mfanye kazi zenu vizuri inapaswa madaktari na manesi waajiriwe na Hospital husika au DMO kwa mikataba maalumu badala ya ajira za kudumu zinazotolewa na utumishi.
Mfumo imara wa kusimamia watu ni taasisi ya urais imara inayoonyesha kuwa rais anasimamia watumishi...
 
Kama mnataka Rais aje kufanya kazi za kusimamia manesi na madaktari hospitalini kazi za DMO na RMO ni zipi? Kazi za Halmashauri na idara ya afya ni zipi? Kazi za Katibu na waziri wa Afya ni zipi?
Msitufanye wote wapuuzi kubwatuka ujinga wenu,Huyo Sang'udi na wenzake ambao hawahudumii wagonjwa hadi Rais aje awasimamie wakapimwe mkojo
Acha hasira we kibwengo. Mkuu wa nchi ndio msimamizi wa watumishi wote wa umma. Lazima onyesha mamlaka yake ya usimamizi.
 
Back
Top Bottom