mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Huwezi kuwatofautisha Hao wanaoitwa Sukuma gang na Ccm ! Kwa sababu MTU wanayempigania alikuwa ni mwana Ccm mwenzao !!Kumbe ni watu wawili tofauti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuwatofautisha Hao wanaoitwa Sukuma gang na Ccm ! Kwa sababu MTU wanayempigania alikuwa ni mwana Ccm mwenzao !!Kumbe ni watu wawili tofauti?
Msukuma mwenzio hayupo tena utabwata ujinga tu haikusaidii.Ili taifa lolote listawi vyema lazima mihimili mitatu ya dola iwe huru. Lazima Bunge liweze kuisimamia serikali. Mahakama iwe huru kutafasiri sheria na kutoa haki.
Lakini ukiona mkuu wa nchi anashinikiza nyuma ya pazia kumg'oa spika anayesimamia
majukumu yake kwa kuhoji fyongo za serikali kukopa hovyo. Tambua huyo mkuu wa nchi ana nia ovu juu ya taifa lake.
Matokeo yake ni haya tunayoyaona huko Loliondo na Bunge lipo kimya.
Tozo za ajabu ajabu zisizo na mashiko.
Safari za ajabu ajabu tu nje ya nchi.
Kula kwa urefu wa kamba yako ...ruksa.
View attachment 2273818
🤣🤣🤣Msukuma mwenzio hayupo tena utabwata ujinga tu haikusaidii.
Hakuna rais wa hovyo alowahi kutokea nchini kama wa awamu ilopita, aliongoza nchi bila kutumia katiba, alivuruga mifumo yote ya kisheria, alikaa juu ya bunge na hilo aliwahi kutamka hadharani, alikua anatoa hukumu badala ya majaji,
Sasa sjui wewe na huyo tondo wako ndugai muufyate tu hampati tena upendeleo
🤣🤣🤣Msukuma mwenzio hayupo tena utabwata ujinga tu haikusaidii.
Hakuna rais wa hovyo alowahi kutokea nchini kama wa awamu ilopita, aliongoza nchi bila kutumia katiba, alivuruga mifumo yote ya kisheria, alikaa juu ya bunge na hilo aliwahi kutamka hadharani, alikua anatoa hukumu badala ya majaji,
Sasa sjui wewe na huyo tondo wako ndugai muufyate tu hampati tena upendeleo
MTu yoyoe wa kumtetea Ndugai ni muovu zaidiIli taifa lolote listawi vyema lazima mihimili mitatu ya dola iwe huru. Lazima Bunge liweze kuisimamia serikali. Mahakama iwe huru kutafasiri sheria na kutoa haki.
Lakini ukiona mkuu wa nchi anashinikiza nyuma ya pazia kumg'oa spika anayesimamia
majukumu yake kwa kuhoji fyongo za serikali kukopa hovyo. Tambua huyo mkuu wa nchi ana nia ovu juu ya taifa lake.
Matokeo yake ni haya tunayoyaona huko Loliondo na Bunge lipo kimya.
Tozo za ajabu ajabu zisizo na mashiko.
Safari za ajabu ajabu tu nje ya nchi.
Kula kwa urefu wa kamba yako ...ruksa.
View attachment 2273818
Si arudi Zanzibar akaongozeKelele zinapigwa sana kwa sababu hizi
1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Kaa kimyaKwamba huyo ndugai ndo mwema sana au,aliongoza miaka mingapi na kipi cha maana alichokifanya?. Wakati wake umekwisha Wacha wengine watawale?. Wakati yeye anapinga wengine kuihoji serikali watu hamkuona et
ONDOENI HUU UPUMBAVU uMBWA nyieKelele zinapigwa sana kwa sababu hizi
1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Ukipata akili utajitambuaMsukuma mwenzio hayupo tena utabwata ujinga tu haikusaidii.
Hakuna rais wa hovyo alowahi kutokea nchini kama wa awamu ilopita, aliongoza nchi bila kutumia katiba, alivuruga mifumo yote ya kisheria, alikaa juu ya bunge na hilo aliwahi kutamka hadharani, alikua anatoa hukumu badala ya majaji,
Sasa sjui wewe na huyo tondo wako ndugai muufyate tu hampati tena upendeleo
Kwako wewe kumuondoa Jobo ndio tatizo Ila watu kuokotwa kwenye viroba haikuwa tatizoWewe una chuki zako tu. Hatukusikia akitengeneza njama kumuondoa spika kisa tu anahoji serikali.
Kwani bunge ni mali ya Job?Kwako wewe kumuondoa Jobo ndio tatizo Ila watu kuokotwa kwenye viroba haikuwa tatizo
Ukiona mtu anakimbilia matusi badala ya hoja basi jua imeisha hiyo. Unasema kanipa mimba wakati hujui jinsia yangu, kila mtu akikushinda kwa hoja unakimbilia swala la Jiwe kumpa mimba mtu huyo. Jitahidi sana akili yako iendane na umri wako dude.Hapa jiwe anahusika vipi? Au alikupa mimba inakusumbua?
Umesahau yale ya CAG alipohoji kuhusu 1.5 tr?Wewe una chuki zako tu. Hatukusikia akitengeneza njama kumuondoa spika kisa tu anahoji serikali.
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa Ndungayii ndiye alishirikiana na Jiwe katika kuficha ufisadi wa 1.5tr mpaka kupelekea CAG kuondolewa.Kiongozi yoyote wa bunge mwenye Nia ovu, lazima ang'olewe.
Sasa ni muda muafaka wa wewe kuhama nchi ili wakati anaiuza wewe usiwepo. Sina uhakika kama unajua vizuri matatizo aliyoyaacha JiweHuyu maza atauza nchi hii kwa madeni
Nakazia, awapige spana za kutosha hao sukuma gang mpaka akili ziwakae sawaAisee nyie wanaccm wachumiatumbo naona mmechanganyikiwa. Tangu lini mmeanza kuamini Uhuru wa bunge na mahakama?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]imekula kwenu.
Rais Samia piga kazi Mama. Kaza zaidi Spana.
Naomba ni muulize kwani anafoka akiwa wapi,shotii hakukimbizwa ila alikimbia mwenyewe baada ya kujutia uovu aliousimania na kushirikiSukuma gang mnaangaika sana, baada ya Jiwe kufa mmekuwa kama misukule iliyofiwa mchawi wao. Umesahau mambo ya Jiwe unakomaa na mambo ya Mh Rais wetu kipenzi cha Watanzania.
Kila siku mnalia lia humu alafu unauliza kama kuna uhakika wa hilo?Tutalia una uhakika?.