Mkuu wa wilaya Kigamboni asema wanajeshi wanapiga na kuua wananchi

Mkuu wa Wilaya anastahili pongezi kwa kufichua huo uovu wa Wanajeshi, wakamatwe waletwe Mahakamani na wakipatikana na hatia waning'inizwe.
Khe! Kwani ilikuwa ni siri?
Huyo Mkuu wa Wilaya anastahili awe ameshaondolewa(Kutumbuliwa) kwenye nafasi hiyo tena kwa haraka sana kwani ameiumbua Serikali iliyomweka hapo Ofisini ie. Mh. Rais amemteua kilaza fulani kushika nafasi kubwa na nyeti kama hiyo. Kwa kifupi ni kama Baba wa nyumbani analalamika eti watoto wake mwenyewe 7-9 yrs old ameshindwa kuwadhibiti.
 
 
Wavuliwe Magwanda kibarua kioteshwe majani wasifikiri kuwa wao ni Miungu watu.
Mkuu; Hawavuliwi magwanda kihovyo-hovyo au kirahisi-rahisi kama unavyodhani. Tena kibarua kuotesha majani kibarua chao napo ni kazi pia.
 
Achukue hatua kama zipi?
 
Mkuu; Hawavuliwi magwanda kihovyo-hovyo au kirahisi-rahisi kama unavyodhani. Tena kibarua kuotesha majani kibarua chao napo ni kazi pia.
Kwa umri wangu huu nimeona wengi wakitimuliwa na kufukuzwa kazi kwa makosa mbali mbali yakiwemo ya utovu wa nidhamu.
 
Kwa umri wangu huu nimeona wengi wakitimuliwa na kufukuzwa kazi kwa makosa mbali mbali yakiwemo ya utovu wa nidhamu.
Mkuu; Ukisikia "Utovu wa nidhamu" Jeshini unaficha mengi sana. Usidhani ni neno jepesi kivile kauli hiyo. Unaweza kukumbuka ni wanajeshi wangapi wamelambana shaba na ni kwa nini? Unajua ni kwa nini mwanajeshi anatambulika kwa namba na sio jina tu?
 
Jeshi la tanzania ndo jeshi linaloongoza kwa ushamba kuliko majeshi yote duniani.
Wewe raia unapata wapi jeuri ya kutuita sisi makamanda ni washamba?Nchi tumeiepusha kwenye kuvamiwa na maadui wewe unatuita washamba?hebu fafanua maana ya ushamba
 
Watoto wenye baba dizaini yako, hao watoto ni yatima
 
Wewe raia unapata wapi jeuri ya kutuita sisi makamanda ni washamba?Nchi tumeiepusha kwenye kuvamiwa na maadui wewe unatuita washamba?hebu fafanua maana ya ushamba
Hapo sasa !! 😳🙏
 
Jibu sahihi...
 
Jamaa baadhi hawana akili na hawajitambui kabisa, hawana upendo kwa watu wengine
 
Labda wanamdharau pia inawezekana kashindwa kutimiza jukumu lake km mwenyeki wa ulinzi wa wilayaya husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…