Hata sasa hivi hizo show offs zinalipa.JoJo was Mistress mkuu, na enzi hzo show off zilikuwa zinalipa mno
Kwahiyo uDC unalipa kuliko Muziki ?Yes tutammiss sana, maadili hayamruhusu kuingia studio kutoa wimbo
Unataka waandishi wa habari wasifanye kazi yao ili uje kulalamika humu jf?Kuteuliwa DC siku Moja kanenepa mashavu, hafu apunguze show off na makamera, hivi hawa ma DC huwa hawapewi hata seminar kidogo kabla ya kuanza, wasije fanya ya sabaya bure
Kiranga bhana,Nikki kashaniomba vitabu vya uchumi kusoma najua ni msomi wa uchumi kwa maana ya kwamba anafuatilia mambo ya uchumi kuyasoma, regardless ya kasoma kozi gani.
Na wewe nj nani?huyu ni niki mwenyewe 😎
Kama mbowe aliota kuwa waziri mkuu, I akuwaje hamissa ashindweHii nchi bwana ina vituko sana. Siyo ajabu siku moja tukasikia Hammisa Mobeto anakuwa Waziri Mkuu.
Ngoja nikaulize, nikipata jibu ntakuja kukujibuKwahiyo uDC unalipa kuliko Muziki ?
Ngoja nikujibu mkuu,maana nimeona mnabishana na jamaa tangu huko juuKazi ni ku-report peke yake, kama ndivyo kwa Tanzania ni kipi cha ajabu kwa DC kutembelea miradi (sisemi kwamba hii sio habari, habari hio hata selfie ingetosha) mwandishi inabidi aende extra mile...., kama issue ni miradi (news ni miradi na sio nani amekwenda kutizama miradi) imekutwa vipi, ilikuwa wapi, ilitakiwa kuwa wapi na pesa ngapi zimetumika na zimetumikaje... (hizo ndio kazi za waandishi na sio tu kubonyeza kidude cha kamera)
Huyo unayemueleza ni kilaza wa mwisho kabisa, hakuna lolote analojuaNgoja nikujibu mkuu,maana nimeona mnabishana na jamaa tangu huko juu
Ktk hili Jambo ambalo ww unasema Nikki anatafuta 'misifa' kutembea na waandishi Ktk mambo yasiyo ya msingi,nakuomba Tu jiandae kisaikolojia kukereka zaidi..
Why ?
Kwa sababu kabla hajachaguliwa kwenye upande huu wa siasa jamaa Tyr ni celebrity na ana mashabiki na kila anachofanya kinauzika.Kwa hiyo Kwa sasa amekuwa mwanasiasa ndiyo ameongeza Wigo wa kufatiliwa,so mkuu usishangae makamera ktk mambo yasiyo ya msingi Kwa hawa wanasiasa wawili (Nikki&Jokate)
Hiyo ni kawaida duniani kote Kwa watu wa Aina hii pindi wakikabidhiwa madaraka kwenye sekta mbalimbali kubwa..kabla hawajafanya Jambo Tyr wao wenyewe ni habari.
Alikuambia lini?Huyo nae ni Think-Tank wa MATAGA ! Aliwaambiw watu Dubai ni nchi..
Mwenzie alisema Sadam Hussein alikua Rais wa Kuwait
HahahahaKwa pamoja na nani?! Isemee nafsi yako.
Hii ilikiwa siku nyingi kabla ya uteuzi. Si baada ya uteuzi.Kiranga bhana,
Hivi vitabu vya economics vinasomwa kama vitabu vya Erick Shigongo? Katika level aliyofikia na cheo chake cha u-DC atakiwa kutumia professionals waliopo huko Kisarawe ili atoe maamuzi sahihi badala kuhangaika na kusoma mavitabu ya economics. Cheo chake ni Cha hekima zaidi na si Cheo Cha kusoma soma mavitabu ili atoe maamuzi.
Hizi promo mnazofikiria mnampa hapa JF zitamponza muda si MrefuKatika kuendeleza slogan ya mama yetu mpendwa mama Samia ya kazi iendelee. Mkuu wa wilaya ya kisarawe Mh.Nikki wa Pili ameanza kazi kwa kishindo kikubwa.
Ametembelea miradi ya afya, ujezi, mazingira, maji na uwezeshaji wa vijana akiwa na siku moja tu kazini. Ni jambo kubwa sana
Hili ni Jambo la kuigwa, mkuu wa wilaya anapaswa kutembelea miradi na kutatua changamoto hapohapo.
Mama Samia kwenye uongozi tunaomba kuwe na vijana wengi kama hawa kwa kuwa wanaonyesha hali ya kufanya kazi kwa bidii kubwa sana. Pale ppanapotokea changamoto kwao wapate somo au namna bora ya kufanya kazi yao vizuri.
Mama Samia kwa pamoja tunakupenda sana Chapa kazi tupeleke nchi ya ahadi.
#kazi iendelee#
View attachment 1827568
Mkuu cariha kuna kitu unatakiwa ukinotice Tu..si unaona huu Uzi unavyotembea? Unajua Kwa nn?Ngoja nikujibu mkuu,maana nimeona mnabishana na jamaa tangu huko juu
Ktk hili Jambo ambalo ww unasema Nikki anatafuta 'misifa' kutembea na waandishi Ktk mambo yasiyo ya msingi,nakuomba Tu jiandae kisaikolojia kukereka zaidi..
Why ?
Kwa sababu kabla hajachaguliwa kwenye upande huu wa siasa jamaa Tyr ni celebrity na ana mashabiki na kila anachofanya kinauzika.Kwa hiyo Kwa sasa amekuwa mwanasiasa ndiyo ameongeza Wigo wa kufatiliwa,so mkuu usishangae makamera ktk mambo yasiyo ya msingi Kwa hawa wanasiasa wawili (Nikki&Jokate)
Hiyo ni kawaida duniani kote Kwa watu wa Aina hii pindi wakikabidhiwa madaraka kwenye sekta mbalimbali kubwa..kabla hawajafanya Jambo Tyr wao wenyewe ni habari.
Wapi Nimesema hayo ? Unaweza ukaniqoute ?..., Nimesema kazi hizi mara nyingi zinafanyika behind the scenes sababu na macamera kibao hata huenda usipate majibu yenye tija kutokana na watu kuogopa makameraNgoja nikujibu mkuu,maana nimeona mnabishana na jamaa tangu huko juu
Ktk hili Jambo ambalo ww unasema Nikki anatafuta 'misifa' kutembea na waandishi Ktk mambo yasiyo ya msingi,nakuomba Tu jiandae
Mambo yasiyo na msingi yanayohitaji Kamera yaendelee tu ila kuna ya msingi ambayo huenda hayahitaji kamera nayo yazingatiwe..., tena hapa huenda ndio mengi zaidi kwenye hii kazi....kisaikolojia kukereka zaidi..
Why ?
Kwa sababu kabla hajachaguliwa kwenye upande huu wa siasa jamaa Tyr ni celebrity na ana mashabiki na kila anachofanya kinauzika.Kwa hiyo Kwa sasa amekuwa mwanasiasa ndiyo ameongeza Wigo wa kufatiliwa,so mkuu usishangae makamera ktk mambo yasiyo ya msingi Kwa hawa wanasiasa wawili (Nikki&Jokate)
Habari sawa ila habari gani ya udaku au ya policy n.k. Trump alikuwa habari kila sekunde ila utija wa hizo habari its an argument for another day.... (kumbuka point hapa ni utekelezaji wa majukumu, sasa mtekelezaji akiwa ndio news zaidi ya utekelezaji wenyewe...) well that's politics kama nilivyosema kuanzia awaliHiyo ni kawaida duniani kote Kwa watu wa Aina hii pindi wakikabidhiwa madaraka kwenye sekta mbalimbali kubwa..kabla hawajafanya Jambo Tyr wao wenyewe ni habari.
Nimekupata ndg yangu Kiranga kuhusu usomaji wa vitabu, Ila mashaurini ndg DC aachane na habari ya publicity ambazo hazina impact , anatakiwa kutumia watalam zaidi ya kujiaminisha Kwamba yeye anaweza bila wao, so baada ya kutembelea hio miradi what is next.Hii ilikiwa siku nyingi kabla ya uteuzi. Si baada ya uteuzi.
Mimi nafurahi kuona DC ambaye ana tabia ya kujisomea atapata cha kuongeeza Kisarawe kama mfumo ukimruhusu.
SawaLakini Jokate kashine kwa mbinu hiyo hiyo.