Kuna mijitu misengerema sana Mkuu. Kwamba Waziri hana reliable source kama hawa Chawa? Pumbavu kabisa.Kwahiyo mnabishana na waziri wa jinsia, wanawake na watoto aliye confirm tukio na kulaani kitendo cha mkuu wa wilaya sababu ya mahaba yenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mijitu misengerema sana Mkuu. Kwamba Waziri hana reliable source kama hawa Chawa? Pumbavu kabisa.Kwahiyo mnabishana na waziri wa jinsia, wanawake na watoto aliye confirm tukio na kulaani kitendo cha mkuu wa wilaya sababu ya mahaba yenu?
I know nothing bro, nilidhani kachanganya na yule mwingine wa 360 Alopewa ukuu wa Wilaya SingidaSimon Simalenga alikuwa Afisa Uhusiano wa Clouds Media acha ubishi
Waziri ndie anacheza huo mchezo ama?Kama hadi sasa haijatolewa taarifa rasmi juu ya tuhuma za DC Simon Simalenga basi yawezekana zilikuwa ni siasa chafu tu
Kama hivyo ndivyo basi siasa zetu zimefika pabaya
Nakumbuka mbunge George Mwenesongole gari yake iliharibiwa na maradhi zake wa kisiasa huko huko mkoani Songwe
Nawe unaona Sawa tu?Huyo dr. gwajima alimshindwa rev. Gwajima atamweza dc?
Uzuri rso ameshaeleza kinagaubaga tatizo hilo kwa katibu mkuu kiongozi na mama akasema, aendelee na kazi lakini asirudie.
Gwajigelo ripoti yake atapeleka kwa pm na pm atapeleka kwa prezdaa inawekwa kabatini.
Yule mgogo wa 360 aliteuliwa DED Mbulu na mwenzake Hassan Ngoma ni DC wa Ruangwa hadi sasaI know nothing bro, nilidhani kachanganya na yule mwingine wa 360 Alopewa ukuu wa Wilaya Singida
Cc Pascal MayalaWaziri ndie anacheza huo mchezo ama?
Kisheria inaruhusiwa hata kama kuna sababu?Mtu hawezi kukupiga tu bila sababu
OmakamboYani hajielewi vibaya mno, binti hana confidence kabisa
Unalipuka nini sasa? Jibu hoja kwa hoja sio matusiKnyoko wwee badala ya kumtetea huyo mtoto unakunya tu uharo ng'e ng'e ng'e video mavi yako!
Niliposikiliza mara ya kwanza hiyo clip nilijua ni mauzauza tuu, hakuna muunganiko wa matukio, hata huyo binti ukimhoji leo tena ataongea habari tofauti kabisaYani hajielewi vibaya mno, binti hana confidence kabisa
Mwanafunzi WA michongo na mtangazaji WA michongo.Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
😆😆😆lakini mbona bandeji wameweka kama katolewa jino lote,au kuna ghiriba hapo kama anavyodai yohana mbatizaji.Waziri ndie anacheza huo mchezo ama?
Kwahiyo na waziri Gwajima muongo pamoja na tume yake aliyounda kutoka ustawi wa jamii? Acheni mahaba ya kijinga vijana
Kwa mtu duni kama Simalenga afanyiwe mchezo mchafu ili iweje ?Kama hadi sasa haijatolewa taarifa rasmi juu ya tuhuma za DC Simon Simalenga basi yawezekana zilikuwa ni siasa chafu tu
Kama hivyo ndivyo basi siasa zetu zimefika pabaya
Nakumbuka mbunge George Mwenesongole gari yake iliharibiwa na maradhi zake wa kisiasa huko huko mkoani Songwe
Kwani unawachukuliaje Hao wakuu wa wilaya? Malaika sana, watu fulqni special au?Kwamba Mkuu wa Wilaya asinge agiza Polisi wafanye hiyo kazi?
Kabisa inawezekana huyo binti alikuwa anamtaka mkuu wa wilaya akaamua akizushe. Haki itendeke kwa mkuu wa wilayaMwanafunzi WA michongo na mtangazaji WA michongo.
Hilo ni plani ya kumchafua DC.
Kavimba Kwenye mashavu???
Haya hilo bandeji Kwenye jicho limefuata nini????????