Mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje?

simple mbona wakati mhudumu anajaribu kufungua mango wa ndege at the sametime mahalia nae alikuwa ana hangaika kuufungua mlango huo huo hivyo ukajikuta umefunguka. ndo ilivyokuwa
 

wewe umejuaje kulikuwa na giza mpaka ktk cockpit??
 
Akili ya kimaskini sana hii. Haitakusaidia kitu...
 
Ccm Wanasonya Na Kutema Mate Kando, Comment Chachu Kama Ndimu
 
Milango ya ndege hutumia Mannually mzee. Tuliza kichwa hiko utagundua dogo ni fix tu
 
Mimi suala la dogo kuwa kafungua mlango haliniingii akilini maana ni ngumu kwa nje kufungua
 
Mlango wa ndege kufunguliwa kwa nje,
tena kuvunjwa kwa kutumia kasia. Isitoshe ndege ilikuwa ndani ya maji.

Ni jinsi gani unaweza kupiga mlango mpaka ufunguke na ni ndani ya maji?

Mimi sikatai ila najaribu kuangalia ugumu uliopo.
Pia liangalie la airhostess kuelekeza mlango ulipo wa dharura kisha kuufungua na bado ripoti inaeleza wahudumu wote wamepoteza maisha
 
Kuna manusura alisema mudumu ndie aliyefungua mlango, hapa inawezekana mhudumu alifungua kitasa na aliyekua nje alifungua mlango, kwa aliyekua ndani ni dhahiri mlango ulikua mzito kutokana na presha ya maji, na muda huo pia akili za waliokua ndani ni tofauti na waliokua nje.
 
Kwanza vumbi tu la udongo na maji yale ya Ziwani aliwezaje kuonana na Pilot? Ukizingatia tukio limetokea punde...
 
Mlango wa ndege kufunguliwa kwa nje,
tena kuvunjwa kwa kutumia kasia. Isitoshe ndege ilikuwa ndani ya maji.

Ni jinsi gani unaweza kupiga mlango mpaka ufunguke na ni ndani ya maji?

Mimi sikatai ila najaribu kuangalia ugumu uliopo.
Msikilize vizuri majaliwa na yule majeruhi wa kwanza kuhojiwa utapata labda kwa uchache tu nanukuu kutoka kwa majeruhi

Wakati ajali imetokea muhudumu mmoja wa ndege aliwahi mlangoni akijaribu kufungua mlango na baadae aliona watu wameanza kutoka ila hajui kama ni yule mhudumu alifungua au sio yeye maana huyo majeruhi alikuwa mbali na mlango na hajui kama aliwahi kutoka na yeye hivyo kwa maelezo hayo majaliwa inawezekana alifungua mlango ambao tayari ulikuwa unaelekea kufunguka ila kuuvuta ukiwa ndani ilikuwa shida ila yeye kupiga kasia ilikuwa rahisi kwake inawezekana lakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…