Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Wakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa. Niko na mashaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimba ya nje nilipiga mzigo mara moja mtu akadaka mimbaUmekuwa kuku wew 😂😂😂😂
Kuwa na utulivu mkuu, watu imetuchukua miaka 5 kupata mtoto,
On professional side, mkuu, kusema unachelewa kupata mtoto inabidi usubiri japo miaka miwili au mitatu,
Tafiti zinaonyesha, watu ambao hawana shida zozote za uzazi wakijamiina regularly kwa mwaka mzima, ni 80% tu ndio hupata ujauzito kwa mwaka wa kwanza, ila kufika mwaka wa tatu inakuwa 99%, so endelea kupiga uno mzee kwa utulivu
ila nitafata ushauri mkuuUmekuwa kuku wew 😂😂😂😂
Kuwa na utulivu mkuu, watu imetuchukua miaka 5 kupata mtoto,
On professional side, mkuu, kusema unachelewa kupata mtoto inabidi usubiri japo miaka miwili au mitatu,
Tafiti zinaonyesha, watu ambao hawana shida zozote za uzazi wakijamiina regularly kwa mwaka mzima, ni 80% tu ndio hupata ujauzito kwa mwaka wa kwanza, ila kufika mwaka wa tatu inakuwa 99%, so endelea kupiga uno mzee kwa utulivu
Tulikaa mwaka mmoja.wakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa….Niko na mashaka
Ndo mana kuna % hapo mkuu, endelea kupiga mzigo tumimba ya nje nilipiga mzigo mara moja mtu akadaka mimba
Mkuu kwani kinachokupa wasiwasi ni nini?Wewe ni Me/Ke?Kula Vizuri,Zoea Missionary Style.Piga mechi kuanzia mida ya usiku na Asubuhi...Enjoy the SEX and the BABY will come.Umekuwa kuku wew 😂😂😂😂
Kuwa na utulivu mkuu, watu imetuchukua miaka 5 kupata mtoto,
On professional side, mkuu, kusema unachelewa kupata mtoto inabidi usubiri japo miaka miwili au mitatu,
Tafiti zinaonyesha, watu ambao hawana shida zozote za uzazi wakijamiina regularly kwa mwaka mzima, ni 80% tu ndio hupata ujauzito kwa mwaka wa kwanza, ila kufika mwaka wa tatu inakuwa 99%, so endelea kupiga uno mzee kwa utulivu
Siku hiyo hiyoMi nimeowa na mimba juu yani daah...
yaaanMbona Una haraka Sana.Relax atakuja Tu.
mi napiga pipeMkuu kwani kinachokupa wasiwasi ni nini?Wewe ni Me/Ke?Kula Vizuri,Zoea Missionary Style.Piga mechi kuanzia mida ya usiku na Asubuhi...Enjoy the SEX and the BABY will come.
ha ha hw hongera mkuuSikutaka kuuziwa Mbuzi kweny kiroba
Piga mimba moja swaaaaaafi kisha tuka funga ndoa
Ndani ya mwezi hivi haizidi haposiku hiyo hyo