Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Kaka yangu alikaa miaka 8 bila mtoto. Na hawakuwa na shida yeyote ile.
Kwangu mimi nilipachika ndani ya wiki kadhaa tu.
Kwangu mimi nilipachika ndani ya wiki kadhaa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmh aiseeYou mean miezi au miaka!
Kama ni miezi ondoa shaka kula maisha. Hata mwaka we kula tu! Alarm labda miaka 2
Miaka 8 aiseeKaka yangu alikaa miaka 8 bila mtoto. Na hawakuwa na shida yeyote ile.
Kwangu mimi nilipachika ndani ya wiki kadhaa tu.
hupigi pipe unapataje mtotoUTAPATA MTOTO NA HII HAIJALISHI UMEOA AU HAUJAOA AU UNAPIGA PAIPU AU HAUPIGI
SASA HOFU YA NINI
mmhUsimtie mimba mkeo mapema furahieni maisha kwanza na mjuane na kuzoeana vizuri
Angalau mwaka mmoja wa ndoa bila mtoto ni muhimu sana
Akishazaa na kupata mtoto mwanamke hutengeneza bond kali sana na mtoto kuliko mume
Waume wengi huhisi wanadharauliwa na upendo umeshuka
Miaka 10 na huna watoto njeMkuu mwezi wa Pili tu?
Watu mwaka wa 10 huu Rhumba linachezwa ila bila bila.
Sio mimi MkuuMiaka 10 na huna watoto nje
AiserTumeoana January mtoto early November, piga kazi bablai
Ondoa shaka katika ilo,subira muhimu sana,kila mtu ananyakati zake alizopangiwa kupata jambo lake.....Mie nilioa mwezi wa nane mwishoni, na nikajaariwa kupata mtoto mwezi wa 6 wa mwaka unaofuatawakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa….Niko na mashaka
sawa mkuu nitakufuataOndoa shaka katika ilo,subira muhimu sana,kila mtu ananyakati zake alizopangiwa kupata jambo lake.....Mie nilioa mwezi wa nane mwishoni, na nikajaariwa kupata mtoto mwezi wa 6 wa mwaka unaofuata
Mwezi ule ule wa kwanza wa kuishi pamoja kitu kikanasa
tafuna mbegu za mlonge na mkeo nae azitafune, wakat huo huo mkeo achemshe maganda na majani yake awe anakunywa kama chai, mm ilinipa matokeo mda mfupi baada ya kutaabika kwamwaka mzimami napiga pipe