scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Asee,miezi miwili ushaanza kuhaha hivi?hivi kwa staili hii kuna kuvumiliana kwenye changamoto kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee,miezi miwili ushaanza kuhaha hivi?hivi kwa staili hii kuna kuvumiliana kwenye changamoto kweli?
Kazi yenyewe ya kulea inachosha uhuru unapungua,outings za mara kwa mara zinapungua,nakubaliana na wewe bora wakae hata mwaka.Shida ya vijana wa siku hizi unakuta washakaa sana kabla ya kuoana ko hamna jipyaUsimtie mimba mkeo mapema furahieni maisha kwanza na mjuane na kuzoeana vizuri
Angalau mwaka mmoja wa ndoa bila mtoto ni muhimu sana
Akishazaa na kupata mtoto mwanamke hutengeneza bond kali sana na mtoto kuliko mume
Waume wengi huhisi wanadharauliwa na upendo umeshuka
haswaaKazi yenyewe ya kulea inachosha uhuru unapungua,outings za mara kwa mara zinapungua,nakubaliana na wewe bora wakae hata mwaka.Shida ya vijana wa siku hizi unakuta washakaa sana kabla ya kuoana ko hamna jipya
Yaani miezi miwili ni ngumu?sijui utakuwa mwanaume wa aina gani,angalia shetani asije akakujaribu kupitia udhaifu wako.Wakati wa Mungu ndo sahihi,jichunge sanani ngumu
Nine yrsWakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa. Niko na mashaka.
AiseeNine yrs
Aisee hii comment ina nipa imaniUsiwe na wasiwasi mkuu, mwenyezi mungu hutoa kwa wakati. Mimi nilipata mtoto wa kwanza nikiwa chuo mwaka wa mwisho, kwa bahati nzuri au mbaya wife (by that time she was my girlfriend tu) alijifungua kwa operation and during operation, dokta akagundua kuwa ana uvimbe kwenye mirija ya uzazi and she was lucky to conceive.
Akashauri ule uvimbe usitolewe mapema kwani atashindwa kutunza mimba ikitokea amepata tena ila tu atapata wakati mgumu ku conceive tena. It took us 4 years to have a second born alhamdulillah ( 1.5years of Active mating[emoji3]) and i know it will take time again for her to conceive again but by faith we move. All is well
mmhVijana njoo dawa ni bure kabisaa ni hela ya kutuma tu kwa basi...
Furahia maisha ya ndoa kwanza, watoto utakimbizana nao maisha yote.Wakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa. Niko na mashaka.
Nataka nimsaidie mwanetu,sasa atajuaje kama shida haipo kwake,lazoka hilo jambo lifanyikehuu siyo wana kabisa ukiaminiwa jiaminishe
Mkuu ulikumbuka kutubu kwa comment ulizomtembelea member mwenzetu marehemu Mpauko miaka 4 iliyopita?Mayai yapo na yanapevuka. Tumefanya hadi procedure inaitwa IUI lakini hatukufanikiwa.
Naomba Mungu atutoe kwenye hili
Pia nafikili kufanya IVF which cost abt 10 tzs milions
alimfanyajeMkuu ulikumbuka kutubu kwa comment ulizomtembelea member mwenzetu marehemu Mpauko miaka 4 iliyopita?
Kwa wenye huruma tu! Nahitaji ajira niweze kuishi
Habarini wakuu! Mimi ni kijana wa miaka 24 ,Naishi Mtwara kwa sasa.Ni kiziwi nilipata hili tatizo nikiwa darasa la pili mwaka 2003. Nasikia na kuzungumza na mtu vizuri tukiwa jirani tukitazamana(facial language na lips movement) Nimehitimu mafunzo ya ualimu mwaka 2018 (GPA 3.7) pia nina...www.jamiiforums.com
Kuna muda Mungu hunyanyua matatizo yetu katika namna ya ajabu.
HatariMimi mwezi mmoja tu tayari anaanza kutapika na kulala hovyo.
Asante mkuu kwa barakaUTAPATA MTOTO NA HII HAIJALISHI UMEOA AU HAUJAOA AU UNAPIGA PAIPU AU HAUPIGI
SASA HOFU YA NINI